Krismasi ni likizo ya kipagani, Yesu hakuzaliwa December 25

BAKIIF Islamic

JF-Expert Member
Jul 11, 2021
594
1,827
Hakuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 25 Disemba na ndio maana baadhi ya makundi ya Wakristo yanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 6 Januari.

Wakristo wa Orthodox kama vile wa nchini Ethiopia wao wanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 7 Januari na ndio wakati wa sherehe zao za X-Mass.

Kosa lingine kubwa la Ukristo wa watu wengi ni kuhusu siku ya kuzaliwa Yesu. Wachungaji walikuwa wamelala kondeni na mifugo yao wakati wa kuzaliwa Kristo (Luka 2:8).

wachungaji wasingeweza kulala nje kondeni tarehe 25 Disemba inayodaiwa kuzaliwa Nabii Isa AS kwani ni kipindi cha baridi kali na watu hawawezi kulala nje kondeni kipindi hicho.

Tarehe 25 Disemba ilikuwa ni sikukuu ya Kipagani huko Ulaya kabla ya Ukristo kuingia. Kwa sababu hiyo Wakristo wa kweli wasisherehekee kuzaliwa kwa Kristo tarehe 25 Disemba. Kwa matendo, waumini wa kweli wa Kristo watumie siku za mapumziko ya watu wote, k.m Krisimasi, kuabudu pamoja popote iwezekanavyo."

Uingizwaji upotofu ndani ya mafundisho ya Nabii Isa AS kulikita mizizi zaidi katika karne za kati yaani karne za giza barani Ulaya.

Krismasi ni likizo ya kipagani
Kwa kweli kusherehekea Krismasi inahusu kudhihirisha mupagani wako wa ndani.

Injili hazitaji hata kidogo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu na Wakristo wa mwanzo hawakupendezwa hata kidogo na kuzaliwa kwa Yesu (as). Ilikuwa karne tatu tu baada ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati Ukristo ulipokuwa dini rasmi ya Milki ya Roma,

Krismasi iliadhimishwa kwa mara ya kwanza. Hata wakati huo, haikuadhimishwa sana. Krismasi ilipata umaarufu mwaka wa 800 WK, Charlemagne alipotawazwa kuwa maliki wa Milki ya Roma siku ya Krismasi. (Chimbuko la Krismasi: Ibada za Kipagani, Sherehe za Walevi na Zaidi).

Ili kufanya Ukristo upendeke zaidi kwa wapagani, viongozi wa kanisa la Kikristo la mapema waliiga mila za kipagani katika sherehe zao za Krismasi.

Krismasi, sikukuu ya ‘siku ya kuzaliwa kwa Bwana’, imeadhimishwa Desemba 25 tangu 354, kwa lengo la kukandamiza sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wa kipagani aitwae ''Sol Invictus'' (Jua Lisiloshindwa).

Waroma walikua wakisherehekea siku ya kuzaliwa kwa Mithra, mungu-jua wao, mnamo Desemba 25. Siku ya kuzaliwa ya Mithra ilionwa kuwa siku takatifu zaidi ya mwaka.

Ilikuwa desturi ya wapagani kusherehekea siku ile ile ya ishirini na tano ya Desemba siku ya kuzaliwa kwa Jua, ambapo waliwasha taa kwa ishara ya sikukuu. Katika sherehe hizi Wakristo pia walishiriki. Kwa hiyo, makasisi wa Kanisa walipoona kwamba Wakristo walikuwa na mwelekeo wa kusherehekea sikukuu hii ya kipagani, walichukua shauri na kuazimia kwamba Uzazi wa kweli wa Kuzaliwa kwa Yesu unapaswa kuadhimishwa siku hiyo… tarehe ishirini na tano mwezi wa Disemba ili kuhamisha ibada ya wapagani kutoka ibada ya kuabudu Jua hadi kwa yeye Yeus aliyeitwa Jua la Haki.

Viongozi wa kanisa walichagua tarehe hiyo “ili ipatane na sherehe ya kipagani ya Waroma ya ‘kuzaliwa kwa jua lisiloshindwa,’ wakati wa majira ya baridi kali.

1703331062006.png
 
Hakuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 25 Disemba na ndio maana baadhi ya makundi ya Wakristo yanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 6 Januari.

Wakristo wa Orthodox kama vile wa nchini Ethiopia wao wanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 7 Januari na ndio wakati wa sherehe zao za X-Mass.

Kosa lingine kubwa la Ukristo wa watu wengi ni kuhusu siku ya kuzaliwa Yesu. Wachungaji walikuwa wamelala kondeni na mifugo yao wakati wa kuzaliwa Kristo (Luka 2:8).

wachungaji wasingeweza kulala nje kondeni tarehe 25 Disemba inayodaiwa kuzaliwa Nabii Isa AS kwani ni kipindi cha baridi kali na watu hawawezi kulala nje kondeni kipindi hicho.

Tarehe 25 Disemba ilikuwa ni sikukuu ya Kipagani huko Ulaya kabla ya Ukristo kuingia. Kwa sababu hiyo Wakristo wa kweli wasisherehekee kuzaliwa kwa Kristo tarehe 25 Disemba. Kwa matendo, waumini wa kweli wa Kristo watumie siku za mapumziko ya watu wote, k.m Krisimasi, kuabudu pamoja popote iwezekanavyo."

Uingizwaji upotofu ndani ya mafundisho ya Nabii Isa AS kulikita mizizi zaidi katika karne za kati yaani karne za giza barani Ulaya.

Krismasi ni likizo ya kipagani
Kwa kweli kusherehekea Krismasi inahusu kudhihirisha mupagani wako wa ndani.

Injili hazitaji hata kidogo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu na Wakristo wa mwanzo hawakupendezwa hata kidogo na kuzaliwa kwa Yesu (as). Ilikuwa karne tatu tu baada ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati Ukristo ulipokuwa dini rasmi ya Milki ya Roma,

Krismasi iliadhimishwa kwa mara ya kwanza. Hata wakati huo, haikuadhimishwa sana. Krismasi ilipata umaarufu mwaka wa 800 WK, Charlemagne alipotawazwa kuwa maliki wa Milki ya Roma siku ya Krismasi. (Chimbuko la Krismasi: Ibada za Kipagani, Sherehe za Walevi na Zaidi).

Ili kufanya Ukristo upendeke zaidi kwa wapagani, viongozi wa kanisa la Kikristo la mapema waliiga mila za kipagani katika sherehe zao za Krismasi.

Krismasi, sikukuu ya ‘siku ya kuzaliwa kwa Bwana’, imeadhimishwa Desemba 25 tangu 354, kwa lengo la kukandamiza sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wa kipagani aitwae ''Sol Invictus'' (Jua Lisiloshindwa).

Waroma walikua wakisherehekea siku ya kuzaliwa kwa Mithra, mungu-jua wao, mnamo Desemba 25. Siku ya kuzaliwa ya Mithra ilionwa kuwa siku takatifu zaidi ya mwaka.

Ilikuwa desturi ya wapagani kusherehekea siku ile ile ya ishirini na tano ya Desemba siku ya kuzaliwa kwa Jua, ambapo waliwasha taa kwa ishara ya sikukuu. Katika sherehe hizi Wakristo pia walishiriki. Kwa hiyo, makasisi wa Kanisa walipoona kwamba Wakristo walikuwa na mwelekeo wa kusherehekea sikukuu hii ya kipagani, walichukua shauri na kuazimia kwamba Uzazi wa kweli wa Kuzaliwa kwa Yesu unapaswa kuadhimishwa siku hiyo… tarehe ishirini na tano mwezi wa Disemba ili kuhamisha ibada ya wapagani kutoka ibada ya kuabudu Jua hadi kwa yeye Yeus aliyeitwa Jua la Haki.

Viongozi wa kanisa walichagua tarehe hiyo “ili ipatane na sherehe ya kipagani ya Waroma ya ‘kuzaliwa kwa jua lisiloshindwa,’ wakati wa majira ya baridi kali.

View attachment 2850677
Sawa
 
Hakuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 25 Disemba na ndio maana baadhi ya makundi ya Wakristo yanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 6 Januari.

Wakristo wa Orthodox kama vile wa nchini Ethiopia wao wanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 7 Januari na ndio wakati wa sherehe zao za X-Mass.

Kosa lingine kubwa la Ukristo wa watu wengi ni kuhusu siku ya kuzaliwa Yesu. Wachungaji walikuwa wamelala kondeni na mifugo yao wakati wa kuzaliwa Kristo (Luka 2:8).

wachungaji wasingeweza kulala nje kondeni tarehe 25 Disemba inayodaiwa kuzaliwa Nabii Isa AS kwani ni kipindi cha baridi kali na watu hawawezi kulala nje kondeni kipindi hicho.

Tarehe 25 Disemba ilikuwa ni sikukuu ya Kipagani huko Ulaya kabla ya Ukristo kuingia. Kwa sababu hiyo Wakristo wa kweli wasisherehekee kuzaliwa kwa Kristo tarehe 25 Disemba. Kwa matendo, waumini wa kweli wa Kristo watumie siku za mapumziko ya watu wote, k.m Krisimasi, kuabudu pamoja popote iwezekanavyo."

Uingizwaji upotofu ndani ya mafundisho ya Nabii Isa AS kulikita mizizi zaidi katika karne za kati yaani karne za giza barani Ulaya.

Krismasi ni likizo ya kipagani
Kwa kweli kusherehekea Krismasi inahusu kudhihirisha mupagani wako wa ndani.

Injili hazitaji hata kidogo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu na Wakristo wa mwanzo hawakupendezwa hata kidogo na kuzaliwa kwa Yesu (as). Ilikuwa karne tatu tu baada ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati Ukristo ulipokuwa dini rasmi ya Milki ya Roma,

Krismasi iliadhimishwa kwa mara ya kwanza. Hata wakati huo, haikuadhimishwa sana. Krismasi ilipata umaarufu mwaka wa 800 WK, Charlemagne alipotawazwa kuwa maliki wa Milki ya Roma siku ya Krismasi. (Chimbuko la Krismasi: Ibada za Kipagani, Sherehe za Walevi na Zaidi).

Ili kufanya Ukristo upendeke zaidi kwa wapagani, viongozi wa kanisa la Kikristo la mapema waliiga mila za kipagani katika sherehe zao za Krismasi.

Krismasi, sikukuu ya ‘siku ya kuzaliwa kwa Bwana’, imeadhimishwa Desemba 25 tangu 354, kwa lengo la kukandamiza sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wa kipagani aitwae ''Sol Invictus'' (Jua Lisiloshindwa).

Waroma walikua wakisherehekea siku ya kuzaliwa kwa Mithra, mungu-jua wao, mnamo Desemba 25. Siku ya kuzaliwa ya Mithra ilionwa kuwa siku takatifu zaidi ya mwaka.

Ilikuwa desturi ya wapagani kusherehekea siku ile ile ya ishirini na tano ya Desemba siku ya kuzaliwa kwa Jua, ambapo waliwasha taa kwa ishara ya sikukuu. Katika sherehe hizi Wakristo pia walishiriki. Kwa hiyo, makasisi wa Kanisa walipoona kwamba Wakristo walikuwa na mwelekeo wa kusherehekea sikukuu hii ya kipagani, walichukua shauri na kuazimia kwamba Uzazi wa kweli wa Kuzaliwa kwa Yesu unapaswa kuadhimishwa siku hiyo… tarehe ishirini na tano mwezi wa Disemba ili kuhamisha ibada ya wapagani kutoka ibada ya kuabudu Jua hadi kwa yeye Yeus aliyeitwa Jua la Haki.

Viongozi wa kanisa walichagua tarehe hiyo “ili ipatane na sherehe ya kipagani ya Waroma ya ‘kuzaliwa kwa jua lisiloshindwa,’ wakati wa majira ya baridi kali.

View attachment 2850677

View: https://youtu.be/detQwPoVQLY?si=EtGEkizyjDrpzKH8

Dr Sulle alishalifafanua vizuri sana hili. Takbiriii
 
Nyie subirieni mje kutuchinjia kuku kesho kutwa muondoke na vichwa na utombo acheni kelele
Sio Biblia wala Yesu na wafuasi wake waliosema kitu kuhusu sherehe za Krismasi ambazo sasa zinahusisha viingilio vya sherehe, biashara, na matumizi yaliyochupa mpaka, ni utovu wa akili kwa mfananisho wowote wa imani.
 
Sio Biblia wala Yesu na wafuasi wake waliosema kitu kuhusu sherehe za Krismasi ambazo sasa zinahusisha viingilio vya sherehe, biashara, na matumizi yaliyochupa mpaka, ni utovu wa akili kwa mfananisho wowote wa imani.
Haelewi huyo na asikilize hiyo video ya Dr Sule ataelewa tu
 
Wakristo wengi hufikiria Krismasi kuwa sikukuu ya kilimwengu au sikukuu ya kitamaduni, lakini Wayahudi wengi leo hawafikirii Krismasi kabisa.
Christmas kwanza haina maana ni neno lilikopwa kutoka kwa Warumi. Na lilikuwa lina andikwa Xmass na hiyo Xmass ukiangalia kiundani ni ushetani mtupu
 
Hakuna ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 25 Disemba na ndio maana baadhi ya makundi ya Wakristo yanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 6 Januari.

Wakristo wa Orthodox kama vile wa nchini Ethiopia wao wanaamini kuwa Nabii Isa AS alizaliwa tarehe 7 Januari na ndio wakati wa sherehe zao za X-Mass.

Kosa lingine kubwa la Ukristo wa watu wengi ni kuhusu siku ya kuzaliwa Yesu. Wachungaji walikuwa wamelala kondeni na mifugo yao wakati wa kuzaliwa Kristo (Luka 2:8).

wachungaji wasingeweza kulala nje kondeni tarehe 25 Disemba inayodaiwa kuzaliwa Nabii Isa AS kwani ni kipindi cha baridi kali na watu hawawezi kulala nje kondeni kipindi hicho.

Tarehe 25 Disemba ilikuwa ni sikukuu ya Kipagani huko Ulaya kabla ya Ukristo kuingia. Kwa sababu hiyo Wakristo wa kweli wasisherehekee kuzaliwa kwa Kristo tarehe 25 Disemba. Kwa matendo, waumini wa kweli wa Kristo watumie siku za mapumziko ya watu wote, k.m Krisimasi, kuabudu pamoja popote iwezekanavyo."

Uingizwaji upotofu ndani ya mafundisho ya Nabii Isa AS kulikita mizizi zaidi katika karne za kati yaani karne za giza barani Ulaya.

Krismasi ni likizo ya kipagani
Kwa kweli kusherehekea Krismasi inahusu kudhihirisha mupagani wako wa ndani.

Injili hazitaji hata kidogo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu na Wakristo wa mwanzo hawakupendezwa hata kidogo na kuzaliwa kwa Yesu (as). Ilikuwa karne tatu tu baada ya kuzaliwa kwa Yesu, wakati Ukristo ulipokuwa dini rasmi ya Milki ya Roma,

Krismasi iliadhimishwa kwa mara ya kwanza. Hata wakati huo, haikuadhimishwa sana. Krismasi ilipata umaarufu mwaka wa 800 WK, Charlemagne alipotawazwa kuwa maliki wa Milki ya Roma siku ya Krismasi. (Chimbuko la Krismasi: Ibada za Kipagani, Sherehe za Walevi na Zaidi).

Ili kufanya Ukristo upendeke zaidi kwa wapagani, viongozi wa kanisa la Kikristo la mapema waliiga mila za kipagani katika sherehe zao za Krismasi.

Krismasi, sikukuu ya ‘siku ya kuzaliwa kwa Bwana’, imeadhimishwa Desemba 25 tangu 354, kwa lengo la kukandamiza sikukuu ya kuzaliwa kwa mungu wa kipagani aitwae ''Sol Invictus'' (Jua Lisiloshindwa).

Waroma walikua wakisherehekea siku ya kuzaliwa kwa Mithra, mungu-jua wao, mnamo Desemba 25. Siku ya kuzaliwa ya Mithra ilionwa kuwa siku takatifu zaidi ya mwaka.

Ilikuwa desturi ya wapagani kusherehekea siku ile ile ya ishirini na tano ya Desemba siku ya kuzaliwa kwa Jua, ambapo waliwasha taa kwa ishara ya sikukuu. Katika sherehe hizi Wakristo pia walishiriki. Kwa hiyo, makasisi wa Kanisa walipoona kwamba Wakristo walikuwa na mwelekeo wa kusherehekea sikukuu hii ya kipagani, walichukua shauri na kuazimia kwamba Uzazi wa kweli wa Kuzaliwa kwa Yesu unapaswa kuadhimishwa siku hiyo… tarehe ishirini na tano mwezi wa Disemba ili kuhamisha ibada ya wapagani kutoka ibada ya kuabudu Jua hadi kwa yeye Yeus aliyeitwa Jua la Haki.

Viongozi wa kanisa walichagua tarehe hiyo “ili ipatane na sherehe ya kipagani ya Waroma ya ‘kuzaliwa kwa jua lisiloshindwa,’ wakati wa majira ya baridi kali.

View attachment 2850677
Kwanini unateseka na Mambo ya makafir?
 
Back
Top Bottom