Kama una miaka 25 Wewe ni kijana mzee kama Una miaka 26 Wewe ni mzee kijana

Kijana LOGICS

Senior Member
Dec 16, 2023
140
525
Nawakumbusha tu ukifika miaka 25 unakuwa kijana mzeee.

Ukiwa na miaka 26 Wewe ni mzee kijana so changa karata ZAKO MAPEMA ukiwa na nguvu.

Kama Una miaka 40+ Anza kufanya mazoezi kuwa na tabia ya kucheck sukari, pressure n.k.
 
Back
Top Bottom