Salaam , Shalom!!
Wakati wengine wakiacha Majina waliopewa na wazazi wao na kujiita Samaki PAPA Ili tuwaogope, wengine wakijiita Bulldozer, wengine caterpillar, wengine wakijiita Sugunyo, kumbe ni Majina FAKE.
Wanapitia na magari ya matangazo wakisema njoo Kwa mungu wa Katapila bila kumtaja Jina lake kutuhadaa, Wanamshusha chini Yesu na kujikweza wao, tusikubali kudanganyika. Wanauza mchanga maji nk nk
Imethibitika, kumbe Majina yote mazuri, ni ya Yesu, ndiye Mungu anayestahili kupewa sifa ukuu na uweza wote.
Pata mashairi haya ya wimbo huu Ili kumsifu na kumtukuza Yesu.
Majinaaa yoteee mazuriiiiii
yoteee ni yake Jehovaaaaa*4
Nikupeee Jina Gani,
kwaaaani Jina lakooo ni upekee wakoooo*4
Umenipiganiaaaaa
Nakwitaaaa Jehovanisi,
Bendera ya ushindiii wanguuuu,
Jehova RAPHA-, mponyajiii wanguuu*4
Wewe ndiyeeee,
Mchungaji wanguuuuu,
Tena kiongoziii wa MAISHA yanguuu,
Wanitazamaa kama mboni,
Ya jicho lakoooo*4
Umenifanyaaa ,
Kuwaaa Kielelezooo,
Cha waliobarikiwaaa,
Zaidi ya yoteeeeeee,
Kuwa baraka Ili nami nibariki wengineee*4
Usifiweeee,
Ewe Bwanaaa,
Muumba wanguuuu
Na Nuru yanguuu,
WEMA wakooo wanijaza moyoniii*4
Nimekupataaaa,
Na nikaridhikaa ,
Kuwa wewe ndiye yote juu ya yotee*4
Usifiweeeee,
Ewe Bwanaaaa,
Muumba wanguuuuu,
Na Nuru yanguuuuuu,
WEMA wako wanijaza moyoniii*4
Source: Dieumercie Ft Naomi Mugiraneza- Majina yote mazuri.
Ungana nami kuyataja Majina yote Mazuri Yeye sifa na ukuu kumwinua na kumtukuza Yesu.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Mungu awabariki.
Amen
Amen.
Wakati wengine wakiacha Majina waliopewa na wazazi wao na kujiita Samaki PAPA Ili tuwaogope, wengine wakijiita Bulldozer, wengine caterpillar, wengine wakijiita Sugunyo, kumbe ni Majina FAKE.
Wanapitia na magari ya matangazo wakisema njoo Kwa mungu wa Katapila bila kumtaja Jina lake kutuhadaa, Wanamshusha chini Yesu na kujikweza wao, tusikubali kudanganyika. Wanauza mchanga maji nk nk
Imethibitika, kumbe Majina yote mazuri, ni ya Yesu, ndiye Mungu anayestahili kupewa sifa ukuu na uweza wote.
Pata mashairi haya ya wimbo huu Ili kumsifu na kumtukuza Yesu.
Majinaaa yoteee mazuriiiiii
yoteee ni yake Jehovaaaaa*4
Nikupeee Jina Gani,
kwaaaani Jina lakooo ni upekee wakoooo*4
Umenipiganiaaaaa
Nakwitaaaa Jehovanisi,
Bendera ya ushindiii wanguuuu,
Jehova RAPHA-, mponyajiii wanguuu*4
Wewe ndiyeeee,
Mchungaji wanguuuuu,
Tena kiongoziii wa MAISHA yanguuu,
Wanitazamaa kama mboni,
Ya jicho lakoooo*4
Umenifanyaaa ,
Kuwaaa Kielelezooo,
Cha waliobarikiwaaa,
Zaidi ya yoteeeeeee,
Kuwa baraka Ili nami nibariki wengineee*4
Usifiweeee,
Ewe Bwanaaa,
Muumba wanguuuu
Na Nuru yanguuu,
WEMA wakooo wanijaza moyoniii*4
Nimekupataaaa,
Na nikaridhikaa ,
Kuwa wewe ndiye yote juu ya yotee*4
Usifiweeeee,
Ewe Bwanaaaa,
Muumba wanguuuuu,
Na Nuru yanguuuuuu,
WEMA wako wanijaza moyoniii*4
Source: Dieumercie Ft Naomi Mugiraneza- Majina yote mazuri.
Ungana nami kuyataja Majina yote Mazuri Yeye sifa na ukuu kumwinua na kumtukuza Yesu.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Mungu awabariki.
Amen
Amen.