Askofu Malasusa: Yeyote anayetamani kuleta machafuko katika nchi tumsihi na kumuombea ashindwe katika Jina la Yesu

Precious Diamond

JF-Expert Member
Jun 9, 2023
397
993
Askofu Malasusa akiwa katika sherehe ya kuingizwa kazini amesema;

"Tukio hili la kuingizwa kazini linatokea wakati Dunia inashuhudia vita mbalimbali ikiwa ni pamoja na vita kule Ukraine, sasa tunasikia Gaza na Israel, lakini pia nchi ya Kongo bado napitia katika masikitiko makubwa na mitikisiko mikubwa, watu hawana uhakika na usalama wao na maisha hayo.

"Hali inayofanya wananchi wengi kukosa utulivu na wanaendelea kuwa mafukura. Moja ya kundi la viongozi wa kiroho lilipita kule KOngo na kuona jinsi ambavyo nchi hizi za maziwa makuu zinavyopitia katika hali mbaya sana.

"Niwasihi sisi watanzania yeyote ambaye anatamani kuleta machafuko katika nchi tumsihi na kumuombea kabisa ili ashindwe katika jina la Yesu, tunahitaji sana amani na utulivu katika nchi yetu.

"Sisi ambao tmepata fursa ya kuona na kuishi katika maeneo ambayo watu hawana amani ni jambo ambalo halikubaliki.

"Kila mchungaji anajukumu la kudumisha amani, niwaombe ndugu zangu kama kuna jambo zuri katika lolote, ili tusiingie katika jambo lolote ambalo litatuharibia tanzania yetu tuendelee kuwa na mazungumzo, mazungumzo ni kitu muhimu sana hata Mungu mwenyewe wa Nabii Isaya aliruhusu mazungumzo, njooni tusemezane.

"Sisi sote tusikakae mazungumzo iwe ndani ya kaya, ndani ya familia, katika maisha na hasa sisi wanasiasa tusikatae mazungumzo. Ndani ya mazungumzo Mungu anaonekana, tusichukue hatua nyingine zaidi ya Mazungumzo."
 
Askofu Malasusa akiwa katika sherehe ya kuingizwa kazini amesema;

Tukio hili la kuingizwa kazini linatokea wakati Dunia inashuhudia vita mbalimbali ikiwa ni pamoja na vita kule Ukraine, sasa tunasikia Gaza na Israel, lakini pia nchi ya Kongo bado napitia katika masikitiko makubwa na mitikisiko mikubwa, watu hawana uhakika na usalama wao na maisha hayo.

Hali inayofanya wananchi wengi kukosa utulivu na wanaendelea kuwa mafukura. Moja ya kundi la viongozi wa kiroho lilipita kule KOngo na kuona jinsi ambavyo nchi hizi za maziwa makuu zinavyopitia katika hali mbaya sana.

Niwasihi sisi watanzania yeyote ambaye anatamani kuleta machafuko katika nchi tumsihi na kumuombea kabisa ili ashindwe katika jina la Yesu.
Malasusa, you must be stupid and crazy, so stupid and you do not deserve what has been crowned upon you! Before you talk of Machafuko, talk of HAKI! WAAMBIE WATAWALA KUWA WATENDE HAKI NA WALA HUTAONA MACHAFUKO.
VERY LIKELY KUWA YOU ARE REFERRING TO MAANDANANO YA CHADEMA, MOST LIKELY, KUMFURAHISHA SAMIA
KAMA HUWEZI KUONGELEA HAKI, NYAMAZA KALE SADAKA UNENEPE.
 
Malasusa, you must be stupid and crazy, so stupid and you do not deserve what has been crowned upon you! Before you talk of Machafuko, talk of HAKI! WAAMBIE WATAWALA KUWA WATENDE HAKI NA WALA HUTAONA MACHAFUKO.
VERY LIKELY KUWA YOU ARE REFERRING TO MAANDANANO YA CHADEMA, MOST LIKELY, KUMFURAHISHA SAMIA
KAMA HUWEZI KUONGELEA HAKI, NYAMAZA KALE SADAKA UNENEPE.
Nilisikitika sana huyu jamaa alivyochaguliwa kuwa Askofu Mkuu.
 
Askofu atatukanwa sana kwa kutoa nasaha zake.Wavimba macho wanapenda kusikia wanachokitaka kusikia.
 
Askofu Malasusa akiwa katika sherehe ya kuingizwa kazini amesema;

"Tukio hili la kuingizwa kazini linatokea wakati Dunia inashuhudia vita mbalimbali ikiwa ni pamoja na vita kule Ukraine, sasa tunasikia Gaza na Israel, lakini pia nchi ya Kongo bado napitia katika masikitiko makubwa na mitikisiko mikubwa, watu hawana uhakika na usalama wao na maisha hayo.

"Hali inayofanya wananchi wengi kukosa utulivu na wanaendelea kuwa mafukura. Moja ya kundi la viongozi wa kiroho lilipita kule KOngo na kuona jinsi ambavyo nchi hizi za maziwa makuu zinavyopitia katika hali mbaya sana.

"Niwasihi sisi watanzania yeyote ambaye anatamani kuleta machafuko katika nchi tumsihi na kumuombea kabisa ili ashindwe katika jina la Yesu, tunahitaji sana amani na utulivu katika nchi yetu.

"Sisi ambao tmepata fursa ya kuona na kuishi katika maeneo ambayo watu hawana amani ni jambo ambalo halikubaliki.

"Kila mchungaji anajukumu la kudumisha amani, niwaombe ndugu zangu kama kuna jambo zuri katika lolote, ili tusiingie katika jambo lolote ambalo litatuharibia tanzania yetu tuendelee kuwa na mazungumzo, mazungumzo ni kitu muhimu sana hata Mungu mwenyewe wa Nabii Isaya aliruhusu mazungumzo, njooni tusemezane.

"Sisi sote tusikakae mazungumzo iwe ndani ya kaya, ndani ya familia, katika maisha na hasa sisi wanasiasa tusikatae mazungumzo. Ndani ya mazungumzo Mungu anaonekana, tusichukue hatua nyingine zaidi ya Mazungumzo."
KKKT imekwisha. Kumbe malasusa ni mpuuzi kiasi hiki
 
Askofu atatukanwa sana kwa kutoa nasaha zake.Wavimba macho wanapenda kusikia wanachokitaka kusikia.

Hakuna askofu hapa, ni hpless kabisa. Askofu hawezi kuongea ushuzi kama huu. Serikali iue watu eti hukulelewa kuipinga serikali. Bladifaken , hakuna askofu ,
 
I mean no malice to nobody
FB_IMG_17049820361898987.jpg
 
Wote tuseme ameen, kesho maombi yakafanyike ofisi za chadema nchi nzima.

Vikosi vya wachungaji vipewe muda redioni na tv na magazeti kwa kazi hiyo.
 
Huyu inaonekana ni kiongozi mnafiki mkubwa.

Kiongozi unatakiwa zaidi kuongelea haki. Toka kale vita zilikuwepo, na kuna wakati Mungu alizibariki vita hizo kwa sababu zilikjwa ni vita za kuitafuta haki.

Kiongozi mwenye hekima, siku zote huzungumzia haki. Kwa sababu machafuko mengi na vita chanzo chake ni dhuluma. Hivi unaweza kumwambia anayepigwa, tena kwa uonevu, asipige kelele wakati anapigwa?
 
Back
Top Bottom