Yakō Station (矢向駅, Yakō-eki) is a passenger railway station located in Tsurumi-ku, Yokohama, Kanagawa Prefecture, Japan, operated by the East Japan Railway Company (JR East).
Kuna mtu kahamia jirani nyumba ya pili, ana wiki ya 3 tu tangu ahamie ila nishajutia ujio wake kwa tabia zake, sijui katoka wapi huyu mtu jamani natamani hata kuhama nimpishe maana kumhamisha siwezi.
Ana tabia nyeusi sana, hata sijui niziitaje maana anaongea lugha ya matusi sijapa kuona huyu...
Kuna umri unafika kwenda kwa ndugu iwe ni kwajili ya kumjulia hali unarudi kwako, umeenda mkoa wake kikazi kakuhost ukae kwake ukimaliza unarudi kwako, unaumwa kakupeleka kwake akuuguze ukipona tafta shughuli nenda kwako
Ndugu yako kashaanza maisha ya familia ni vema umpishe,
Haya ni mambo...
Habari wana Jamii Forum,
Je, bado unarekodi taarifa za biashara kwenye daftari?
Mimi ni freelance Book-Keeper mwenye uzoefu wa Zaidi ya miaka 5 na mhitimu wa Chuo cha Ifm kwa degree ya Accounting. Ni binti mchapakazi na ninaethamini kazi za watu wengine.
Natoa huduma zifuatazo kwa biashara...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mwamba Freeman Mbowe, atahutubia Taifa la Tanzania kupitia Mkutano wake na Waandishi wa Habari utakaofanyika kwenye Makao Makuu ya Chama hicho, Kinondoni Dar es Salaam.
Mkutano huo uliobeba Mustakabhali wa nchi na Dira ya Taifa...
Pengine unamsikia tu shetani juu juu, humfahamu vizuri na unasema ni adui yako.
Unawezaje kupambana na adui usiyeijua nguvu yake?
Anafafanua kwa ufupi Mwl . Makungu m.s
0743781910
Kamwe Usimfananishe shetani na majini , mapepo , mizimu wachawi n.k. Ambao una uwezo wa kufanya nao vita kirahisi...
Pengine unamsikia tu shetani juu juu, humfahamu vizuri na unasema ni adui yako.
Unawezaje kupambana na adui usiyeijua nguvu yake?
Anafafanua kwa ufupi Mwl . Makungu m.s
0743781910
Kamwe Usimfananishe shetani na majini , mapepo , mizimu wachawi n.k. Ambao una uwezo wa kufanya nao vita kirahisi...
Habari Waheshimiwa!
Najua kuna watu hamjawahi kuitwa Waheshimiwa, ngoja niwatoe lock na ninyi muonjeonje kidogo majina ya heshima. Mimi mara ya kwanza kuitwa Mheshimiwa ni siku nimeenda kutoa posa huko madongo kuinama, niliazima VX ya kijivu, nikaiweka bendera ya Tanzania upande wa mbele, kisha...
MATESO NA KUFELI KWAKO UKIWASIMULIA HUFURAHI MIOYONI MWAO; MAFANIKIO YAKO HUWACHOMA.
Anaandika, Robert Heriel
Hili wengine tulishalijua zamani za kale, Sisi wengine huwezi kusikia shida zetu, yaani Watu wakituona hutuona kama wala Bata, Maisha Safi, Watu tusio na shida. Muda wote tunafuraha...
Habari za Wakati Huu?
BIASHARA YAKO INAHANGAIKA KUTAFUTA WATEJA?
Je wewe ni mtoa huduma,muagizaji au mzalishaji wa bidhaa zenye Ubora.Je unahitaji kufikia Soko Kubwa kwa Gharama Nafuu?Je unahitaji Timu ya Masoko ambayo imejizatiti kwa ajili ya kuhakikisha bidhaa yako inafika sokoni kwa wakati na...
Wakuu naona mnahangaika na huduma za vifurushi mimi ni DIRECT SALES AGENT toka tigo. Kuna huduma nimekuwa nikiwapatia wateja wetu Muda mrefu leo acha niwapatie wadau humu mwenye uhitaji ili tuokoe gharama za vifurushi visivyokidhi mahitaji yetu ambavyo tumekuwa tukijiunga kila siku.
Tigo...
Nifanye nini ninapoona maisha yangu yanaendelea kuwa magumu
Wakati maisha yanapoendelea kuwa magumu, kuna hatua kadhaa unazoweza kuchukua:
Chambua hali yako: Tafakari kwa kina kuhusu sababu zinazofanya maisha yako yawe magumu. Je, kuna changamoto za kifedha, kiafya, au za kihisia? Kuelewa...
VFD ni mfumo uliothibitishwa na TRA wa kutoa risiti za EFD kwa kutumia simu au kompyuta, huu mfumo ni Bora kabisa na rafiki kwa wafanyabiashara utakaokuwezesha kutoa risiti bila kikomo, Kupunguza garama kwa zaidi ya 50%, kutoa risiti za Softcopy na HARDCOPY, na sasa unaweza kutoa risiti ambayo...
Hawa watu wa DDC hata kama Wana hati, hawakutimiza sharti la msingi la kulinda ardhi yao.
Hili ni shirika la umma, liko chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, sioni sababu kwa nini lisumbue wananchi.
Rais akilifutia umiliki kwani litamfanyaje? Si ni shirika la umma? Na kiongozi ni Rais...
Salamu wana jamvi!
Kwa wajuzi wa sheria, naomba kupata ufafanuzi wa je, taratibu za kuishtaki Kampuni iliyotoa tangazo la biashara likimjumuisha mtu asiye wapa ruhusa zipoje na inawezekana?
Natanguliza shukrani!
Kulala: miaka 26
Kazi: miaka 12
Kuangalia TV: miaka 8.8
Ununuzi: miaka 8.5
Kula na kunywa: miaka 3.6
Kuvinjari mtandaoni: miaka 3.2
Mitandao ya kijamii: miaka 3
Mikutano: miaka 2
Utayarishaji: miaka 1.5
Kusafiri: miaka 1.5
Kufanya kazi za nyumbani: miaka 1.25
Mazoezi: miaka 1.2
Katika baa na...
Utengenezaji wa Meli inayotajwa kuwa kubwa zaidi duniani umekamilika nchini Finland na tayari imefanya majaribio ya kwanza ya safari ndogo kabla ya kukabidhiwa rasmi Oktoba mwaka huu ili mwaka January 2024 ianze safari zake.
Meli hii yenye ukubwa wa mita 365 (wastani wa viwanja 3.5) itakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.