matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,587
- 15,373
1: Ingia kwenye ibada ukiwa na ajenda. Usiende kwa sababu watu huwa wanaenda. Jitahidi uwe na hoja na ajenda siriasi ukizopanga kuwasilisha kwa Mungu wako.
2: Usipende kukaa nyuma au mwisho. Ili kuwa mzingativu jitahidi ukae kuanzia siti za katikati kuelekea mbele kwa mnenaji. Usiulize nyuma atakaa nani? Watakaa wanaopenda.
3: Usiende ibadani bila kitu cha kutoa. Ibada bila sadaka haijakamilika. Mungu anasema usiende mikono mitupu. Sadaka sio mchango. Sadaka lazima uinuize na kuitamkia unachotaka ikufanyie.
4: Linda kusudi la kuwa hapo. Ibadani huwa kuna mawakala wa ibirisi wanaojijua na wengine wanatumika bila kujua. Hawa ni wale wasiotulia muda wote wanazunguka, wanaongelesha watu, wanavaa kujionyesha, Wanakosoa watoa neno, wanavuruga usikuvu. Ibada yenye fujo na ukosefu wa utulivu ni ishara ya uwepo wa nguvu za giza ibadani. Usiziunge mkono. Focus.
Ni hayo tu.
Sabato njema.
2: Usipende kukaa nyuma au mwisho. Ili kuwa mzingativu jitahidi ukae kuanzia siti za katikati kuelekea mbele kwa mnenaji. Usiulize nyuma atakaa nani? Watakaa wanaopenda.
3: Usiende ibadani bila kitu cha kutoa. Ibada bila sadaka haijakamilika. Mungu anasema usiende mikono mitupu. Sadaka sio mchango. Sadaka lazima uinuize na kuitamkia unachotaka ikufanyie.
4: Linda kusudi la kuwa hapo. Ibadani huwa kuna mawakala wa ibirisi wanaojijua na wengine wanatumika bila kujua. Hawa ni wale wasiotulia muda wote wanazunguka, wanaongelesha watu, wanavaa kujionyesha, Wanakosoa watoa neno, wanavuruga usikuvu. Ibada yenye fujo na ukosefu wa utulivu ni ishara ya uwepo wa nguvu za giza ibadani. Usiziunge mkono. Focus.
Ni hayo tu.
Sabato njema.