BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Jana nimekutana na mwamba mmoja kavaa fresh tu na ukimtazamaunajua huyu anaelekea katika ofisi flani yenye hadhi au labda ni mtu mwenye mishe zake za kuelewekwa, lakini ajabu nikaona anaongea peke yake.
Awali wakati namkaribua sikutilia shaka sana hilo niliamini labda kuna kitu kaaa sikioni, si unajua tena siku hizi teknologia ipo juu, lakini haikuwa hivyo, alikuwa hajavaa kifaa chochote na tulipokaribiana nikiwa nimemtolea macho kwa ukaribu, akajishtukia akaacha kuongea.
Ni kama vile mwaba alikuwa kwenu kikao cha kwake mwenyewe kichwani.
Hii sio mara ya kwanza kutokea hali hiyo, hata mimi huwa inanitokea, hivi ni changamoto ya Afya ya Akili au maisha tu yanatupeleka puta.
Awali wakati namkaribua sikutilia shaka sana hilo niliamini labda kuna kitu kaaa sikioni, si unajua tena siku hizi teknologia ipo juu, lakini haikuwa hivyo, alikuwa hajavaa kifaa chochote na tulipokaribiana nikiwa nimemtolea macho kwa ukaribu, akajishtukia akaacha kuongea.
Ni kama vile mwaba alikuwa kwenu kikao cha kwake mwenyewe kichwani.
Hii sio mara ya kwanza kutokea hali hiyo, hata mimi huwa inanitokea, hivi ni changamoto ya Afya ya Akili au maisha tu yanatupeleka puta.