Usiwe na haraka kukimbilia ku update Android ya simu yako, baadhi ya updates zinafanya simu kupata joto, battery kuisha haraka, n.k.

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Simu zetu hizi za android zina vitu vingi sana hatuchaguliwi cha kutumia, updates zake nazo sometimes huwa zinakuwa complex kidogo.

Ukiona kuna update kwenye simu yako, dont rush !! Tulia na usome mchezo.

Mfano mwezi uliopita kwa wale wenye google pixel 6 waliokimbilia kufanya updates za android 14 toleo la mwanzo kabisa simu zilikuwa zinapata joto na kuwahi kumalizika battery, i hope kwa sasa kuna update iliyorekebisha haya matatizo, ila kwa wale waliotulia kuusoma mchezo hawakuathiriwa

Ni mpaka kampuni ya simu irekebishe tena hizo updates ili kupata toleo stable, mbaya zaidi kunakuwa hauna option ya kurudi toleo lile la android kabla huja update.

Binafsi Simu yangu kwa miezi miwili hivi ina nipa notification ya android 14 nifanye update ila nime chill kwanza, nimesubiri miezi miwili ipite kwanza huku Napitia pitia forums za simu kucheki mirejesho ya waliofanya updates nimeona hakuna malalamiko kipindi chote hiki basi nami nimepata confidence, ntafanya update kesho.
 
Nina Mpenzi wanguuu Teknoooo.....

Nikiandika aaa analeta uuukhsf...

sijui ni tatizo la nini hili
 
Hua naiweka kwenye friji dkk 10 then naitoa
Me naisubiri hii izeeke ndo ni update
Sitaki kimbele front, nikaja kujuta bure.

Yako uwe unaiweka upande wa friza
Dk 10 nyingi
Ishapoa 😀😀
IMG_3016.png
 
Back
Top Bottom