ninjajr
Senior Member
- Sep 16, 2023
- 133
- 140
Za usiku wana JF na poleni na shughuli za kujenga taifa.
Nina ndugu yangu wa kiume upande wa maza mkubwa kidogo ila ni kama tunalingana na mimi pia ni kiume tulikuwa close saana kipindi cha nyuma karibia mwaka sasa hivi ule ukaribu ulikufa wote.
Kwa mara ya kwanza tulipingana kauli hadi kufikia hatua ya kutosemezeshana na kufungiana makufuli kila mtu na life lake hakuna cha kupigiana simu wala baba ake message kwa kipindi cha mwaka mzima.
Kuna siku alinikuta mahali akatoa salamu tu hata wakati anaondok hakuniaga ndo nikavunjika moyo wa kumtafuta though kabla ya hapo pia tulikuw hatutafutan sema zilipishana wiki kazaa since Tunisian kauli .
Natokea siku hio nilifunga kufuli la kujipendekeza nisije nikaonekan mnanka.
kiukweli hio siku sikudhamiria kujibishana nae sema kwenye maongezi yake na mimi hio siku nlijikuta napata hasira baada ya kuona maneno ya kibehi na utumwa Kutoka Kwa huyu Ndug yangu.
Nimekuwa nikimsikiliza yeye ni kumfuata kama kaka mkubwa. Na kiukweli amenisave saan Kwa baadhi ya shida zangu ambazo mostly ni vijiela, amenikopesha kopesha saan 😁tumesaidian sana,tumekuwa tukiishi kama familia moja kwa muda mrefu saan,akiwa na lake Ana nambia na mm yangu anayajua ,tumefichian siri nyingi saan ambazo hata wazazi na Ndug wengine wakijua ni balaa lingine
Kesho nataka nimpigie tusahau yaliyopita. Ila msamaha siwezi nikamuomba Kwa upande wangu nilikuw sahihi kabisa kutokana na value na standard nlizochagua kuishi.Na sina kinyongo nae sema yule mpuuzi anajiona matawi saan anaambia watu hana story za kupiga na mimi.
Nafahamu asilimia yetu nyingi tumepishana kauli saan na Hawa ndugu zetu hasa wa wa karibu ,nipeni experience wana jf siku ya kwanza kuongea mlipiga story gani?
Nina ndugu yangu wa kiume upande wa maza mkubwa kidogo ila ni kama tunalingana na mimi pia ni kiume tulikuwa close saana kipindi cha nyuma karibia mwaka sasa hivi ule ukaribu ulikufa wote.
Kwa mara ya kwanza tulipingana kauli hadi kufikia hatua ya kutosemezeshana na kufungiana makufuli kila mtu na life lake hakuna cha kupigiana simu wala baba ake message kwa kipindi cha mwaka mzima.
Kuna siku alinikuta mahali akatoa salamu tu hata wakati anaondok hakuniaga ndo nikavunjika moyo wa kumtafuta though kabla ya hapo pia tulikuw hatutafutan sema zilipishana wiki kazaa since Tunisian kauli .
Natokea siku hio nilifunga kufuli la kujipendekeza nisije nikaonekan mnanka.
kiukweli hio siku sikudhamiria kujibishana nae sema kwenye maongezi yake na mimi hio siku nlijikuta napata hasira baada ya kuona maneno ya kibehi na utumwa Kutoka Kwa huyu Ndug yangu.
Nimekuwa nikimsikiliza yeye ni kumfuata kama kaka mkubwa. Na kiukweli amenisave saan Kwa baadhi ya shida zangu ambazo mostly ni vijiela, amenikopesha kopesha saan 😁tumesaidian sana,tumekuwa tukiishi kama familia moja kwa muda mrefu saan,akiwa na lake Ana nambia na mm yangu anayajua ,tumefichian siri nyingi saan ambazo hata wazazi na Ndug wengine wakijua ni balaa lingine
Kesho nataka nimpigie tusahau yaliyopita. Ila msamaha siwezi nikamuomba Kwa upande wangu nilikuw sahihi kabisa kutokana na value na standard nlizochagua kuishi.Na sina kinyongo nae sema yule mpuuzi anajiona matawi saan anaambia watu hana story za kupiga na mimi.
Nafahamu asilimia yetu nyingi tumepishana kauli saan na Hawa ndugu zetu hasa wa wa karibu ,nipeni experience wana jf siku ya kwanza kuongea mlipiga story gani?