nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 810
- 2,851
Ndugu zangu watanzania, sisi wajasiriamali tunaojaribu kufuata sheria na kuwa complied na sheria za Nchi tunapitia mengi sana.
Wakati wa JPM ulikuwa ukifanya returns BRELA au mabadiliko yoyote kwenye kampuni yako ulikuwa unapata huduma kwa haraka sana.
Nina miezi mitatu nimefile BRELA returns bila mafanikio, mwezi October mwanzoni Afisa mmoja wa BRELA akaniomba ili aweze kunikamilishia haraka nitoe 200,000. kwa kuwa kazi yangu ilikuwa imekaa muda mrefu nikawa sina msaada nikampatia.
Akaweza tu kunitengenezea Control Number nikalipa, baada ya hapo wananiambia kazi iko kwenye final stage, ili iweze kuwa approved inabidi nitoe 200,000 nyingine, just for a stupid and irresponsible person to press an approved button.
Nchi hii sijui tunaipeleka wapi, yaani mfumo wa Brela Online Registration System una urasimu mkubwa kuliko hata ule wa manual.
Mheshimiwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Maafisa wengine wote wanaohusika waingilie kati, wajaribu tu kuingia kwenye Online Portal ya Brela kujionea kazi ambazo zimewekwa pending bila sababu ya msingi.
Kwa kuwa wao wamekaa wanalipwa kwa kodi zetu hawajali kama wanatukwamisha katika shughuli za uzalishaji Mali au la.
Wakati wa JPM ulikuwa ukifanya returns BRELA au mabadiliko yoyote kwenye kampuni yako ulikuwa unapata huduma kwa haraka sana.
Nina miezi mitatu nimefile BRELA returns bila mafanikio, mwezi October mwanzoni Afisa mmoja wa BRELA akaniomba ili aweze kunikamilishia haraka nitoe 200,000. kwa kuwa kazi yangu ilikuwa imekaa muda mrefu nikawa sina msaada nikampatia.
Akaweza tu kunitengenezea Control Number nikalipa, baada ya hapo wananiambia kazi iko kwenye final stage, ili iweze kuwa approved inabidi nitoe 200,000 nyingine, just for a stupid and irresponsible person to press an approved button.
Nchi hii sijui tunaipeleka wapi, yaani mfumo wa Brela Online Registration System una urasimu mkubwa kuliko hata ule wa manual.
Mheshimiwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Maafisa wengine wote wanaohusika waingilie kati, wajaribu tu kuingia kwenye Online Portal ya Brela kujionea kazi ambazo zimewekwa pending bila sababu ya msingi.
Kwa kuwa wao wamekaa wanalipwa kwa kodi zetu hawajali kama wanatukwamisha katika shughuli za uzalishaji Mali au la.