Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,420
- 40,406
Mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 35+ akawa smart, akawa na afya njema, akawa sio mtu wa makundi, huku uchumi wake ukiwa wa wastani n.k ana nafasi kubwa sana ya kukubalika kwa mwanamke yeyote yule; na kwa asilimia kubwa wanaume (mabaharia) hawa wenye hizi sifa wanasumbuliwa sana.
Unaweza kukuta kwa siku unapigiwa kama sio kubipiwa na warembo/majimama kadhaa wanaojitambua. Na wanatumia nguvu kidogo sana katika kutongoza, akimsemesha mdada yeyote tu...hi! mdada anachanganyikiwa kama sio kulowana. Na kama ni mtu wa kupenda mechi utazikimbia mwenyewe. Huwa ni umri wa mtu kuwa mwanaume aliyekamilika.
Unaweza kukuta kwa siku unapigiwa kama sio kubipiwa na warembo/majimama kadhaa wanaojitambua. Na wanatumia nguvu kidogo sana katika kutongoza, akimsemesha mdada yeyote tu...hi! mdada anachanganyikiwa kama sio kulowana. Na kama ni mtu wa kupenda mechi utazikimbia mwenyewe. Huwa ni umri wa mtu kuwa mwanaume aliyekamilika.