Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,119
Wakuu kuna jambo linaniumiza sana.
Jambo lenyewe linaitwa UNAFIKI.
Unafiki kwa nchi za Kiafrika umekuwa mkubwa sana.
Hivi mtu anautoa wapi ujasiri wa kumwambia kijana ajiajiri huku hajampa mtaji?
Alaaniwe!!!
Hakuna kijana mvivu, hakuna kijana mwenye akili timamu anapenda kuwa tegemezi. Ila pale anapokosa ajira au mtaji ndipo ataonekana mzembe.
Binafsi ni mwajiriwa, napata kipato cha wastani cha kuweza kubadili kitoweo tu.
Pia nimejiajiri kwenye biashara ya bodaboda. Nina bodaboda kama 3 hivi vijana wanaleta hesabu per day. Niliwahi kufungua duka likafa kutokana na mtikisiko ule wa kiuchumi 2016/17.
Kilimo nimewahi kugfanya kama misimu miwili ila nako sikupata faida kwakuwa management ilikuwa finyu. Kile kilimo cha kutuma fedha kwa ndugu mikoani.
Hii biashara ya bodaboda iko poa kiasi , sasa napata 24k kwa siku.
Mtaji nilipata kazini(ajira), hakuna aliyenipa mtaji nilipokuwa kwenye kipindi kigumu cha kukosa ajira.
Kama una moyo saidia watu wawili,watatu au hata mmoja apate mtaji ajiajiri. Sio unaandika mitandaoni na kutoa michanganuo ya kiuwendawazimu ya biashara huku hutoi capital huku hujatoa mtaji.
Jambo lenyewe linaitwa UNAFIKI.
Unafiki kwa nchi za Kiafrika umekuwa mkubwa sana.
Hivi mtu anautoa wapi ujasiri wa kumwambia kijana ajiajiri huku hajampa mtaji?
Alaaniwe!!!
Hakuna kijana mvivu, hakuna kijana mwenye akili timamu anapenda kuwa tegemezi. Ila pale anapokosa ajira au mtaji ndipo ataonekana mzembe.
Binafsi ni mwajiriwa, napata kipato cha wastani cha kuweza kubadili kitoweo tu.
Pia nimejiajiri kwenye biashara ya bodaboda. Nina bodaboda kama 3 hivi vijana wanaleta hesabu per day. Niliwahi kufungua duka likafa kutokana na mtikisiko ule wa kiuchumi 2016/17.
Kilimo nimewahi kugfanya kama misimu miwili ila nako sikupata faida kwakuwa management ilikuwa finyu. Kile kilimo cha kutuma fedha kwa ndugu mikoani.
Hii biashara ya bodaboda iko poa kiasi , sasa napata 24k kwa siku.
Mtaji nilipata kazini(ajira), hakuna aliyenipa mtaji nilipokuwa kwenye kipindi kigumu cha kukosa ajira.
Kama una moyo saidia watu wawili,watatu au hata mmoja apate mtaji ajiajiri. Sio unaandika mitandaoni na kutoa michanganuo ya kiuwendawazimu ya biashara huku hutoi capital huku hujatoa mtaji.