Japhet Karibu
Member
- Feb 27, 2020
- 79
- 129
Kama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Mhe. Benjamin Mkapa.
Na Mungu wetu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Amina.
Na Mungu wetu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Amina.