Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Watu wanashindwa kuelewa tu. Ni kuwa wanaonda kugombea ubunge si kwamba walienda kuchukua form wakijua kuwa Rais hatojua. Taarifa walizitoa kwa Rais naye aliruhusu pasipo na shaka.
Kutengua ni jambo analolifanya in public watu tu wapate picha flani lakini wote watia nia wanafahamu kuwa wana kibali mbele zake kwenda shiriki chaguzi hizo. Msidhani mtu anaweza kuwa mpumbavu akaacha nafasi ya ukatibu mkuu au ukuu wa Mkoa/Wilaya akafanye gumbling kwenye ubunge.
Ni sawa na kwenda kupeleka barua ya kujiuzulu boss wako akakubali ila akakwambia itabidi nichukue nafasi hii kuwaambia watu nmekufukuza ili wawe waoga na kazi then ntakupatia mafao yako yote bila shida.
Kutengua ni jambo analolifanya in public watu tu wapate picha flani lakini wote watia nia wanafahamu kuwa wana kibali mbele zake kwenda shiriki chaguzi hizo. Msidhani mtu anaweza kuwa mpumbavu akaacha nafasi ya ukatibu mkuu au ukuu wa Mkoa/Wilaya akafanye gumbling kwenye ubunge.
Ni sawa na kwenda kupeleka barua ya kujiuzulu boss wako akakubali ila akakwambia itabidi nichukue nafasi hii kuwaambia watu nmekufukuza ili wawe waoga na kazi then ntakupatia mafao yako yote bila shida.