Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
CCM, CDM, ACT,CUF, NCCR nk, mnaotupa karata zenu kuomba ridhaa kuongoza katika nyadhifa zozote zilizopo na sisi wapiga kura, uzi huu unatuhusu, sote kabisa.
Kama ilivyo katika mashindano, hatima ya ushindi au kushindwa kwenye...