Uchaguzi 2020 Ilani za Uchaguzi: CCM na CHADEMA zinakubaliana kwenye Bima kwa Wote, Maslahi ya Wafanyakazi na Bei nzuri za mazao!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,904
141,856
Tofauti na mwaka 2015 kampeni za mwaka huu zimeongeza mambo muhimu kwenye ilani za vyama.

Ikumbukwe kuwa ilani ya CCM kwenye kitabu chenye kurasa zaidi ya 350 ndio iliyosheheni mambo makubwa na baadhi ya vyama vya upinzani vimedesa huko.

Cha msingi ni kwamba Dr Magufuli na Tundu Lisu wote wameahidi mambo matatu muhimu:

1. Bima ya afya kwa wananchi wote

2. Maslahi bora kwa wafanyakazi wa umma na sekta binafsi

3. Bei nzuri kwa mazao ya wakulima na kuwatafutia masoko

Kutekeleza mambo hayo matatu kwa pamoja ndani ya miaka 5 siyo jambo jepesi na mimi binafsi namuona Dr Magufuli ndiye mwenye uwezo wa kutuongoza kuyafikia matarajio haya ya maendeleo ya watu.

Maendeleo hayana vyama.
 
Kwani hujaona namna Magufuli anavyofanya copy and paste, kuhusu Sera za Tundu Lissu?

Alianza kusema kuwa vitambuliho vya ujasiriamali vya wamachinga, mmeibiwa.

Magu akajibu kuwa vitambulisho vile wamachinga hawajalamishwa kuvinunua!

Tundu Lissu akaendelea kupiga spana kuwa ni makosa wafanyakazi wa Umma kuwa kwenye utumishi kwa miaka 5 mfululizo bila kuongezwa hata shilingi.

Magu akajibu kuwa akichagukiwa tena atawaongeza mishahara yao wafanyakazi, kwa kuwa amebaini kuwa hiyo ni Haki yao!

Lissu akaja na Sera ya watanzania wote kuatiwa Bima ya afya.

Magufuli naye kaja na Sera yake kuwa akichaguliwa tena, atatoa bima ya afya kwa kila mtanzania!

Namuomba Tundu Lissu aendelee kupiga spana.

Kumbe yote yanawezekana, isipokuwa ni ulevi tu wa madaraka unaowafanya wakubwa "wajimwambafai" na kuamini kuwa kila wanaloliamini wao na kulifanya liko sahihi kwa asilimia 100!
 
Ha ha ha ha naona meanza kujifananisha sasa tulieni bado pigo moja la mwisho pigo takatifu katika wiki ya mwisho kumalizia mtanange

Yaani baada ya hilo ndipo hapo mtakapo tangaza kuomba kuungana tulieni hivyo hivyo nyinyi sera zenu si ni flyover na miundo mbinu

Wapuuzi kweli nyinyi nani aliekwambieni sisi tunataka flyover wakati hela za mafuta ya kuweka kwenye gari za kupita kwenye hizo flyover hatuna

... au mmejijengea nyinyi hizo flyover mpite na mashangingi yenu ya kijani mliyonunua kwa pesa za walipa kodi?

# NI YEYE 2020
 
Tofauti na mwaka 2015 kampeni za mwaka huu zimeongeza mambo muhimu kwenye ilani za vyama.

Ikumbukwe kuwa ilani ya CCM kwenye kitabu chenye kurasa zaidi ya 350 ndio iliyosheheni mambo makubwa na baadhi ya vyama vya upinzani vimedesa huko.

Cha msingi ni kwamba Dr Magufuli na Tundu Lisu wote wameahidi mambo matatu muhimu:

1. Bima ya afya kwa wananchi wote

2. Maslahi bora kwa wafanyakazi wa umma na sekta binafsi

3. Bei nzuri kwa mazao ya wakulima na kuwatafutia masoko

Kutekeleza mambo hayo matatu kwa pamoja ndani ya miaka 5 siyo jambo jepesi na mimi binafsi namuona Dr Magufuli ndiye mwenye uwezo wa kutuongoza kuyafikia matarajio haya ya maendeleo ya watu.

Maendeleo hayana vyama.
Hongera sana Tundu Antiphas Lissu,

Nakuona Tarehe 28/10/2020 ukienda kupiga kura kituoni, Naona watanzania wengi wakienda kukupigia kura siku hii.

Naona vituo vya kupigia kura vikiwa vimejaa, wananchi wakiwa na furaha wakisema Ni yeye.

Naona zoezi la kupiga kura likiwa limekamilika na maeneo mengi Tanzania wananchi wakiwa mita 200 kusubiri matokeo. Wengi wakiwa hawajali kama kuna mvua au jua wanachotaka ni kupata matokeo yao.

Naona maeneo mbalimbali ya Tanzania wananchi wakianza kushangilia kuwa unaongoza kwa kura nyingi dhidi ya Mpinzani wako Magufuli na naona watanzania wengi wakiwa na furaha huku wakipigwa na butwaa kwani hawaamini yanayotokea.

Naona kiongozi mkuu wa kikosi cha walinzi wa viongozi alifika nyumbani kwako na kukutaarifu kuwa Idara nyeti ya Taifa imeamua kukuwekea ulinzi na nyumba yako ikiwekewa ulinzi na kikosi maalumu cha kulinda viongozi. Hii ni kwa sababu idara imeona ni vyema na vizuri kukutambua rasmi kama amiri jeshi mkuu mtarajiwa.

Mwisho Naona vuguvugu la ushindi wako linawashinda Tume ya Uchaguzi maana Tanzania nzima ni furaha na maandamano ya watu kushangilia kuanguka kwa Magufuli na hatimaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi inakutangaza kama mshindi wa kiti cha Uraisi.

Mungu naomba fanikisha na simamia hili kwa Jina la Yesu Kristo. Amen.
 
Tofauti na mwaka 2015 kampeni za mwaka huu zimeongeza mambo muhimu kwenye ilani za vyama.

Ikumbukwe kuwa ilani ya CCM kwenye kitabu chenye kurasa zaidi ya 350 ndio iliyosheheni mambo makubwa na baadhi ya vyama vya upinzani vimedesa huko.

Cha msingi ni kwamba Dr Magufuli na Tundu Lisu wote wameahidi mambo matatu muhimu:

1. Bima ya afya kwa wananchi wote

2. Maslahi bora kwa wafanyakazi wa umma na sekta binafsi

3. Bei nzuri kwa mazao ya wakulima na kuwatafutia masoko

Kutekeleza mambo hayo matatu kwa pamoja ndani ya miaka 5 siyo jambo jepesi na mimi binafsi namuona Dr Magufuli ndiye mwenye uwezo wa kutuongoza kuyafikia matarajio haya ya maendeleo ya watu.

Maendeleo hayana vyama.
Kuhusu wafanyakazi Magufuli hawezi fanya lolote, amewadanganya kwa miaka mitano
 
CCM ya Magufuli wanatamka tu maana hali ni tete. Hawajawahi kuwa na nia hiyo.
 
Ni kweli, hata kifo na usingizi vinafanana! Wote hawana ufahamu, wote wanafumba macho na kuacha mdomo wazi! Tatizo la ccm ni kwamba kila CHADEMA waki-act nyie mna-react! TAL alisema vitambulisho feki vya wamachinga, babalao akasema siyo lazima! Juzi kati Lissu alisema push-up hazipo mwaka huu, jamaa kufika Korogwe akapiga 5 kwa tabu! Ngoja siku aseme tutajisaidia jukwaani, mkopi mkapesti kwenye jukwaa lenu!
 
Tofauti na mwaka 2015 kampeni za mwaka huu zimeongeza mambo muhimu kwenye ilani za vyama.

Ikumbukwe kuwa ilani ya CCM kwenye kitabu chenye kurasa zaidi ya 350 ndio iliyosheheni mambo makubwa na baadhi ya vyama vya upinzani vimedesa huko.

Cha msingi ni kwamba Dr Magufuli na Tundu Lisu wote wameahidi mambo matatu muhimu:

1. Bima ya afya kwa wananchi wote

2. Maslahi bora kwa wafanyakazi wa umma na sekta binafsi

3. Bei nzuri kwa mazao ya wakulima na kuwatafutia masoko

Kutekeleza mambo hayo matatu kwa pamoja ndani ya miaka 5 siyo jambo jepesi na mimi binafsi namuona Dr Magufuli ndiye mwenye uwezo wa kutuongoza kuyafikia matarajio haya ya maendeleo ya watu.

Maendeleo hayana vyama.
CCM ni SHETANI 🐍🐍🐍🐍 na baba la uongo.

Ndio maana Magu wakati anaanza kampeni alikuwa anahubiri.

- Kujenga vipande vya barabara
- Kununua ndege ya mizigo
- Kuleta kivuko

Aliposikia Lissu anaingelea Ajira, Kodi, Bima na Mishahara na yeye akadakia juuu juu ilimradi Apaewe "KULA"

Magu siyo muumini wa kuona maisha ya watanzania yanakuwa bora. Ni bora hiyo pesa akamtoe Msigwa Jela kuliko kumlipa kijana anaefuatilia FAO LA KUJITOA Tsh Laki 6 mwaka wa NNE sasa.

Hakuna CCM atayeweza kuwasaidia raia wa nchi hii.

Chsgueni tena CCM MFUKARISHWE.

Na kama kufukarishwa hakutoshi, mtaishi kwa kukimbia kimbua kukwepa risasi za kina Ighondu na Sabaya kama Digi digi.
 
CCM ni SHETANI 🐍🐍🐍🐍 na baba la uongo.

Ndio maana Magu wakati anaanza kampeni alikuwa anahubiri.

- Kujenga vipande vya barabara
- Kununua ndege ya mizigo
- Kuleta kivuko

Aliposikia Lissu anaingelea Ajira, Kodi, Bima na Mishahara na yeye akadakia juuu juu ilimradi Apaewe "KULA"

Magu siyo muumini wa kuona maisha ya watanzania yanakuwa bora. Ni bora hiyo pesa akamtoe Msigwa Jela kuliko kumlipa kijana anaefuatilia FAO LA KUJITOA Tsh Laki 6 mwaka wa NNE sasa.

Hakuna CCM atayeweza kuwasaidia raia wa nchi hii.

Chsgueni tena CCM MFUKARISHWE.

Na kama kufukarishwa hakutoshi, mtaishi kwa kukimbia kimbua kukwepa risasi za kina Ighondu na Sabaya kama Digi digi.
Umeisoma ilani ya CCM mwanzo hadi mwisho!
 
Ni kweli, hata kifo na usingizi vinafanana! Wote hawana ufahamu, wote wanafumba macho na kuacha mdomo wazi! Tatizo la ccm ni kwamba kila CHADEMA waki-act nyie mna-react! TAL alisema vitambulisho feki vya wamachinga, babalao akasema siyo lazima! Juzi kati Lissu alisema push-up hazipo mwaka huu, jamaa kufika Korogwe akapiga 5 kwa tabu! Ngoja siku aseme tutajisaidia jukwaani, mkopi mkapesti kwenye jukwaa lenu!
TAL anatembea na ilani ya CCM kwenye Choppa!
 
Umeisoma ilani ya CCM mwanzo hadi mwisho!
Magu haheshimu katiba wala sheria ndio unamtegemea aheshimu ilani ?

Kwake ni takataka tu.

- Iko wapi sheria ya manunuzi

- Iko wapi sheria ya annual increments

- Kwake ilani, visheria, katiba ni takataka tu.

Na hakuna wa kumuuliza hata kama akahamishia HAZINA nyumbani kwake.
 
Umeisoma ilani ya CCM mwanzo hadi mwisho!

Kama lini CCM iliwahi kutembea kwenye Kauli zao !?.Kaatiba yenyewe mnaitia najisi kila Siku kisa ni Mtakatifu wenu kafanya au kasema.

Mikutano ya Siasa mliizuia kinyume na Sheria .
Hamleti mnayoita Maendeleo katika Majimbo ya Upinzani kinyume kabisa na Katiba yetu.

Zile Milioni 50 kila Kijiji zimeota mbawa mpaka leo tumebaki na manyoya.
 
Back
Top Bottom