Dua
JF-Expert Member
- Nov 14, 2006
- 3,229
- 662
Hongera sana Watanzania kwa kutuheshimisha na kutuletea maendeleo. Dkt. Magufuli utaendelea kuwa kileleni katika uongozi uliotukuka.
Sasa tuna kazi moja kubwa ya kuijenga Tanzania kuelekea kwenye maendeleo ya kweli ya kuwanufaisha Watanzania kutokana na kazi zao. Watanzania tusonge mbele kuangalia tuboreshe wapi na tuongeze wapi.
Hongera sana Dkt. Magufuli kwa uongozi wako imara ambao hautetereki.