Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Kwa wale mliokua mnapenda hesabu darasani. Magufuli amechaguliwa na watanzania 12.5 million. Watu katika daftari la wapiga kura waliojiandikisha Tanzania nzima 29.8.
Roughly ni kua 42% ya watu wooote wenye vitambulisho vya kura ndio wamemchagua Magufuli.
Hii figure mnaionaje wananzengo?
NB: Watu waliojitokeza kwenda kupiga kura jumla ni milioni 15 sawa na 50%. Inamaana nusu ya wapiga kura hawakuenda kupiga kura.
Roughly ni kua 42% ya watu wooote wenye vitambulisho vya kura ndio wamemchagua Magufuli.
Hii figure mnaionaje wananzengo?
NB: Watu waliojitokeza kwenda kupiga kura jumla ni milioni 15 sawa na 50%. Inamaana nusu ya wapiga kura hawakuenda kupiga kura.