wewe

Wewe Gombel is a female supernatural being or ghost in Javanese mythology. It is said that she kidnaps children.This myth is taught to encourage children to be cautious and to stay at home at night. Traditionally, the Wewe Gombel is represented as a woman with long, hanging breasts. Modern representations include vampire-like fangs. This is a popular spirit that also appears in comics.

View More On Wikipedia.org
  1. Chakorii

    Wewe ni mmojawapo kati ya wale watakaodanganywa leo?

    Habari ya wakati huu..uzi huu unakukuta sehemu gani ya kudanganywa?kitandani?unatembea?kwenye daladala?uko vacay?au ndio hueleweki ndugu mtanzania mwenzangu? Bhana mapenzi ni matamu sana ukimpata mtu mnaeendana nae na kupendana🥰lakini ukikutana na wale wa “babe I will call you in the next...
  2. F

    Kama wewe ni kijana mwenye umri usiozidi miaka 22, na una ubunifu au uvumbuzi wa hali ya juu tayari na unatafuta fedha za mradi wako fuatilia uzi huu

    Soma vizuri hadi mwisho na ujaze fomu iliyowekwa mwishoni kabla ya mwisho wa mwezi February. Researchlink International (www.researchlinktz.com) itatoa msaada wa kitaalam wa ku-apply kuongeza uwezekano wa kufaulu. Kuna fursa nzuri ya kupata fedha kutoka kwa kampuni ya Thiel Foundation. Kampuni...
  3. Equation x

    Je, umejipanga kutoka na nani humu ndani katika siku ya wapendanao?

    Zimebaki siku chache sana, siku ya wapendanao ifike. Mjuavyo tena, maisha ya mwanadamu kuna wakati yanahitaji faraja, ingawa kuna changamoto nyingi huwa tunazipitia katika harakati zetu za kila siku. Lakini ni vizuri pia kutenga muda na kufurahi pamoja, na mtu anayeweza kuteka hisia zako, na...
  4. Kaka yake shetani

    Ogopa mwanamke anayebandika kucha juu ya kucha au kope, rahisi sana wapanga

    Hawa wanawake kwa kweli nimewapa nyota tatu za jeshi. Dada mmoja wiki tofauti kaja dukani kanunua simu tofauti ambazo ni iPhone 14 na Samsung S23, zote hizo ni wanaume wawili tofauti, mmoja iPhone na wapili Samsung. Ila kwa vile ni biashara, aisee!
  5. Kiboko ya Jiwe

    Wewe Makonda, uadilifu umeanza lini? Makontena yako 20 ulikwepa kodi ya sh. 1.2 bilioni. Acha kuhadaa wananchi

    2018 kuna wakati ulianza kuwehuka mara makontena si yangu ni ya CWT, walipoulizwa chama cha walimu walikana licha ya maigizo yako ya kuchukua wanafunzi na walimu wachache kwenda kuwaonyesha makontena bandarini. Baadaye ukakana huyatambui. Baadaye tena ukaanza kugawa laana kwa watakaonunua kama...
  6. MIXOLOGIST

    Kuna ile siku ambayo unaenda kazini halafu kichwa hakina ushirikiano na wewe

    Mazee Leo tarehe 7/2/2024 ndiyo ile siku nimekuja ofisini alafu kichwa hakina ushirikiano na mimi Suluhisho: Kwakua nimejiajiri, nakwenda lunch ndefu mpaka mpira wa Nigeria na South Africa uishe Suluhisho hili weka mbali na watoto au wale wafanyakazi walioajiriwa
  7. M

    Wewe ishawahi kukukuta?

    Habarini wanajamvi... Iko hivi, wiki kadhaa nyuma katika ya usiku wa manane nikiwa nipo macho huku nimelaza mwili kitandani nikiwa na akili zangu timamu kabisa. Nimeona kama mtu ama niseme ni mtu mwenye jinsia ya kike kavaa nguo aina ya nikab... Ila uso alikuwa hajafunika. Akipita huku...
  8. Expensive life

    Kama wewe ni mwanaume na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukapewa milioni 1 hadi 3, jitafakari

    Kuna kipindi huwa tunapata matatizo ya ghafla, eidha msiba, maradhi etc. Kipindi kibaya siku zote huja ukiwa hauna kitu yaani mweupe kabisa mfukoni na unakuta kuna uhitaji wa pesa. Sasa kama wewe ni mwanaume haswa na hakuna sehemu unaweza ukaaminika ukaazimwa chochote iwe kazini, marafiki...
  9. S

    Mwanaume oa mke anayekupenda hata kama wewe humpendi. Utaishi kama mfalme

    Utajiburuzia unavyotaka. Utamwendesha unavyotaka. Utachepuka na kuzaa nje tani yako. Utamwachisha mpk kazi na ataacha. Na kamwe hutomsikia anasema chochote, maana anakupenda mpk kafika mwisho. Hatojaribu kukunyima tendo la ndoa. Ukiona mwanamke asiyekupenda lkn wewe mwanaume ndiyo unampenda...
  10. Wimbo

    Rais Samia; mwisho wa siku wewe ni Mtanzania Mzanzibari mkazi wa kizimkazi

    Tunamshukuru Mungu kwa kukutunuku nafasi hiyo, kama ulivyosema mwenyewe " uliluzukiwa" na kweli it was not easy for you kukalia kiti hicho kwa sababu imani ya walio wengi kwa kuangalia wanawake wengine waliowahi kuongoza Nchi mf Madamu Banda wakaharibu isingelikuwa rahisi kukuamini, ingebidi...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Kazi ambazo ni rahisi kukuingiza kwenye laana wewe na familia yako kama hutokuwa makini

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Kazi ni shughuli yoyote halali inayokuingizia kipato. Shughuli hiyo lazima izingatie haki za wengine yaani kutodhulumu au kuharibu haki za wengine. Hiyo ndio huitwa kazi. Sio uuze madawa ya kulevya au uwe mwizi au fisadi au kahaba uiite hiyo ndio kazi. Hakuna...
  12. LIKUD

    Mhitimu unayeamini waliopata sifuri Form 4 ndio kutimiza ndoto zao basi elewa kwamba ulipoteza muda shuleni

    Watu kadhaa wamenitag kwenye Uzi wa matokeo ya Necta ili nijionee jinsi vijana wa shule za Kayumba walivyo pata zero na 4 kwa wingi. Ni kama vile wanasema "Wewe si ndo unajifanya kuzipigia kampeni shule za Kayumba ona sasa walicho kipata?" Hapo hapo ni kama vile wanasema tena "Hawa vijana...
  13. LIKUD

    Mtanzania acha kujistress kuwalipia watoto wako mamilioni kwenye shule za English Mediums. Kilicho mtokea Mr. Ibu kinaweza kukutokea hata wewe pia

    Simsomeshi mwanangu ili baadae aje kuwa ananipa hela. La hasha! Ninamsomesha mtoto wangu ili aweze kupata uwezo wa kujitegemea mwenyewe na kuwa responsible member of a society. Kuwa responsible member of a society ni pamoja na kuwa useful to his or her parents or siblings in time of need like...
  14. U

    Ukiwa na simu haina bando la mawazo waweza stuka umelala saa kumi alfajiri, wewe ni mmojawapo?

    Muda huu ni saa tisa na nusu nipo kwenye internet tangu saa tano nilipoingia kitandani. Nahama mitaa ya reddit naingia youtube, naingia Twitter, naingia Netflix, sasa nimekuja kuchungulia JF Hali hii tunaipitia wangapi? MUHIMU: Sijaajiriwa nina biashara yangu nayoamua niende muda gani naotaka.
  15. R

    Natoa pongezi nyingi kwa timu yetu ya Taifa kwa kazi kubwa waliyofanya

    Natoa pongezi nyingi kwa timu yetu ya Taifa kwa kazi kubwa waliyofanya. Natoa pongezi kwa wale wote waliofika Ivory Cost kuwapa joto. Natoa pongezi kwa kila mmoja wetu ambaye ni mzalendo anayekubali kwamba kuna kufunga na kufungwa lakini pia kuna droo Vijana wetu na watoto wetu wameupiga mwingi...
  16. Robert Heriel Mtibeli

    Tukio la Ubakaji shuleni: Wazazi muwe Makini na watoto mnaopeleka shule za Bweni

    TUKIO LA UBAKAJI SHULENI: WAZAZI MUWE MAKINI NA WATOTO MNAOPELEKA SHULE ZA BWENI Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Mwaka 2016 nilipata kibarua cha kujiegesha katika shule ya binafsi maeneo ya Mwembe Mtengu, Kigamboni. Ile shule nikakuta waalimu wengine vijana ambao ni rika langu. Hapakuwa na...
  17. Intelligent businessman

    Ungekuwa wewe ungejitetea vipi?

    Mzee Juma alikuwa amekaa nje ya nyumba yake asubuhi anakunywa pombe. Mudi jirani yake anapita na kumuuliza, "Juma, kwa nini umekaa hapo asubuhi yote hii ukinywa pombe?" Juma: Kuna baadhi ya mambo hayawezi kuelezeka. Mudi: Kwa hiyo nini kilichotokea ambacho ni kibaya sana? Juma: Ngoja...
  18. Ahyan

    Hongera sana Feisal Salum (fei toto), umeonyesha kwamba wewe ni mchezaji muhimu sana, na umeonyesha kwamba unapaswa ucheze kwa dk 80 ama 90

    Huyu mchezaji anakipaji kikubwa sana cha mpira wa miguu, ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza presha ya timu uwanjani, ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza na kuifanya timu imiliki eneo la kiungo, ikumbukwe kwamba ana uwezo wa kucheza namba 6, 8 na 10 Ukimtoa tu na kumuweka benchi basi ujue dimba...
  19. Victor Mlaki

    Namna ya kutambua kama umeokoka au wewe ni Mkristo

    Leo mtu akitokea na kuwauliza waumini wengi wa makanisa ya kiroho swali la Je! ni kweli tutakwenda mbinguni?.Bila shaka wengi watajibu ndiyo na sababu watakayoitoa kubwa ni kwamba wamempokea na kumkiri Yesu kama Bwana na Mwokozi. Lakini pamoja na jibu hilo bado siyo sababu kuu ingawa ni sehemu...
Back
Top Bottom