wewe

Wewe Gombel is a female supernatural being or ghost in Javanese mythology. It is said that she kidnaps children.This myth is taught to encourage children to be cautious and to stay at home at night. Traditionally, the Wewe Gombel is represented as a woman with long, hanging breasts. Modern representations include vampire-like fangs. This is a popular spirit that also appears in comics.

View More On Wikipedia.org
  1. Criss

    Gwajima usiingie mkenge jua target ni wewe

    Leo wazuri mkuu wa Mtandao Mwigulu Nchemba ametoa amri kwa waziri wa mambo ya ndani akayafungulie makanisa ya Ufufuo na uzima sambamba na kuziputia upya sheria za umiliki wa nyumba za ibada . Agizo hilo limetolewa kwa maelekezo kwamba kufunguliwa kwao siyo kunetokana na msamaha wa kudumu ,no...
  2. Think2

    Hili jeshi ndo mlikuwa mnategemea lichukue nchi??

    Leo ndo nimeamini hakuna jeshi bali ni kikundi cha wanasiasa Jeshi gan uchwara kama hili? Wanapongezana kwa mauaji kwa kupandishana vyeo Gen Z, taifa halitokombolewa kwa kuwategemea JW bali ni wananchi pekee wanaweza kufanya hivyo
  3. Lord Denning

    PostGE2025 Yaani uonewe na Al Jazeera, BBC, France 24 na CNN? Wewe nani kwa mfano?

    Unajua hata kwenye kupima mizani kuna mambo hayaaingii akilini. Machawa na Wajinga wanaotumwa na Samia kujaribu kutuliza upepo wanaleta propaganda mfu eti Wanaonewa na CNN Wanasahau jambo lililosemwa na CNN kitaalam zaidi lilishasemwa na vyombo vinavyoaminika vya kimataifa vya habari wakiwemo...
  4. H

    Rais Samia, Unakotupeleka Utalaaniwa na Vizazi Vyote Vya Tanzania Na Dunia. Nchi Hii Haijawahi Kuwa na Ugomvi wa Kidini, Wewe Unauanzisha kwa Nguvu

    Nchi hii, pamoja na mapungufu mengi, hatujawahi kuwa na ugomvi au uhasama wa kidini. Ndiyo maana kuna watu utasikia anaitwa Abel Abdalah, wengine utamsikia akiitwa Petro mume wake Khadija, au Abdallah mumewe Rozaria. Nilipoenda kumtembelea rafiki yangu bruda Peramiho, nilishuhudia shekhe...
  5. Lord Denning

    PostGE2025 Nakuhakikishia Samia, kamwe hutofanikiwa kupandikiza mbegu ya Udini kwetu. Tumekukataa wewe na Chama chako

    Baada ya kuona Watanganyika hatukutaki, baada ya kuona Dunia imekukataa naona usivyo na akili umeamua kupandikiza mbegu ya udini ili ututoe Watanganyika kwenye mstari. Usichokijua ni kwamba hukuwateka na kuwapoteza watu wa dini moja tu. Hujaua watu wa dini moja tu. Umeua, umeteka na kupoteza...
  6. Bawabu wa pili

    PostGE2025 Kihongosi: Watanzania wengi walipiga kura kabla ya vurugu, ni maeneo machache yaliyokuwa yameaithiriwa na vurugu na ndio maana hatukupata 100%

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi amethibitisha kuwa ushindi wa CCM katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 29 ulikuwa dhahiri na sivyo taarifa zinavyosambaa kuwa batili akilinganisha kuwepo kwa idadi nyingi ya vituo vya kupigia...
  7. Billion Dolar

    Kama wewe ni mtumish wa umma nenda kakope benki utanishukuru baadaye

    Wakubwa nimewaza tu kwa sauti tunakoelekea mambo yanaenda kuharibika pesa itakuwa adimu sana na pengine serikali ikashindwa kulipa mishahara, ikitolea hivyo mabenki yatapoteza imani na watumishi hivyo hawatakopesha. Ukikopa sasa hivi anguko la uchumi likitokea ukutwe una ka hela unaweza...
  8. Secret Star

    Kama wewe Sio Kipofu Itambue Namba hii

    Itambue Namba Iliyofichwa Katika Vyumba Hivyo. ‘Karibu kwenye Macho Makali Challenge!’ ‘Anatafutwa mtu mwenye macho makali zaidi!’ ‘Kwenye picha hii kuna jedwali lenye vyumba 16…’ ‘Namba moja kati ya 1 hadi 16 imefichwa Kwenye Chumba Fulani.’ ‘Je, unaweza kuitambua?’ ‘Taja namba unayoona...
  9. Pendaelli

    PostGE2025 Onyesha sumu yako mapema watu wakujue wewe ni nani

    Ni msemo niliuona mahali kwamba onyesha sumu yako mapema nyoka asingekuwa na sumu watu tungemgeuza kamba! Kilicho tokea wakati wa kutangazwa mawaziri na manaibu wao alionyesha sumu yake mapema kabisa ili tujue yeye ni nani na kwamba si muoga wa maneno ya watu matamko na mijadala yao...
  10. tonicimmobility

    PostGE2025 Mpoto: Daktari Samia wewe ni Profesa wa Uchumi

    Katika hafla fupi ya kuapishwa kwa Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa wziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyofanyika leo November 14, 2025 jijini Dodoma, Mwanamashairi na msanii maarufu kwa kughani Mrisho Mpoto ameonekana katika hafla hiyo akitumbuiza kwa kueleza sifa za Rais Samia.
  11. Pakome

    Mange Kimambi watu wanakusikia, ili wakuelewe vizuri hakikisha unafika kwenye maandamano ili ufe nao kinyume na hapo wewe ni Mhalifu na Tapeli

    Mange Kimambi watu wanakusikia, ili wakuelewe vizuri hakikisha unafika kwenye maandamano, kinyume na hapo utabaki kuitwa Mhalifu na Tapeli Kufika kwako kwenye maandamano kutauthibitishia uma kuwa ni namna gani uliwapenda mpaka ukaamua kufa nao na sio wao wafe kwaajili yako huku ukiwa umebakia...
  12. stakehigh

    Kuanzia sasa hutapata ruhusu ya kuingia marekani kama wewe ni kibonge

    https://m.youtube.com/watch?v=AbCEjPguQdY
  13. Genius Man

    Kama wewe ni polisi na unapinga mauwaji yanayoendelea acha kazi chuki na ubaguzi mnaoujenga kwa watu mtakuja kujuta

    Kama wewe ni polisi na unapinga mauwaji yanayoendelea acha kazi chuki na ubaguzi mnaoujenga kwa watu mtakuja kujuta.
  14. Genius Man

    Kwa muujibu wa katiba rais ni yule aliyechaguliwa kidemokrasia na wananchi haisemi kujiwahisha kujiapisha kuwa tayari wewe ni rais

    Kwa muujibu wa katiba rais ni yule aliyechaguliwa kidemokrasia na wananchi haisemi kujiwahisha kujiapisha kuwa tayari wewe unakuwa ni rais, haisemi kununua watu waku fanyie uchawa kuwa wewe unaweza kuwa rais kinyume cha kuchaguliwa na wananchi. Kitendo kilichofanyika ni kujitangaza kuwa ni rais...
  15. Lamomy

    Nikita nakutafuta wewe malaika uliyetumwa kwangu siku ya maandamano

    Hello guys! Asanteni wote mlioniulizia kwa nia njema ya kutaka kujua kama nipo mzima. Ni upendo mkubwa mmenionyesha familia yangu 😭 Pongezi kwa wote mliotoka na kurudi salama, kwa ndugu zetu mliopoteza maisha ROHO ZENU ZIPUMZIKE MAHALI PEMA.🕊️ Nyie ni mashujaa wetu 💪🫡 Tanzania haitowasahau...
  16. Nyani Ngabu

    Mimi nimeshawataarifu ICC juu ya unyama wa Samuya. Wewe unasubiri nini!

    Tayari hili janamke nishalitolea taarifa huko ICC. Nimeambatanisha picha za kawaida pamoja na video za ushahidi wa unyama wake kwa kadri ya kiasi kinachoruhusiwa. Wewe mdau kama umeumizwa na yaliyotokea, basi fanya hima ili uwe katika upande sahihi wa kihistoria. Kokote kule unakoweza...
  17. Stuxnet

    GE2025 Kama hujafa maandamano ya 29/10 basi wewe ni key board warrior tu, msituchoshe

    Wanajijuwa, kazi zao kuchochea maandamano, wanakufa vijana wasiojielewa wao wanabakia kuandika threads tu za kuonyesha maandamano yalivyofanikiwa. Hawa hapa; Mshana Jr, brazaj, Carlos The Jackal, Lord Denning, Kalamu, CHIEF PRIEST, Seran, Mayor Quimby, The seer, Mbaga Jr, JokaKuu, Mzee...
  18. Nyani Ngabu

    GE2025 Wewe siyo Rais wangu!

    Ndiyo, wewe hapo kwenye hiyo picha. Wewe siyo rais. Hujashinda uchaguzi wowote ule na unalijua hilo na kila mtu analijua hilo. Hujapigiwa kura na watu milioni 31. Hujapata 97.6% ya kura zilizopigwa kwa sababu hakuna kura zilizopigwa. Hilo unalijua kabisa hata ujikaushe namna gani. Huna...
  19. Mtu Alie Nyikani

    Kama unapinga udhalimu wa CCM hapa JF Kuwa makini, Kuna makachero wa utekaji. Usitoe namba yako ya Simu humu

    Habari wana JF. Siku imekucha na makucha yake. Kama ilivyo saivi hali si shwari kabsa, roho za watanganyika zinawindwa kila sehemu, si Kijiji, mnjini wala mitandaoni hali ni mbaya mno. Kwa mantiki hiyo naomba niwape tahadhari hasa wale ambao tunapaza sauti zetu kwa njia ya maandishi na...
  20. Carlos The Jackal

    Sasa wewe Murilo, Umeshasema Umemkamata Niffer, Lakini mpaka Sasa Ndugu wanazungushwa Kila Kituo, Hizi Degree zenu za Sheria mnazinunuaga?

    Katika jambo ninaliliamini 100% Mapolisi wengi aina ya Muliro, Mafwele na genge lao , Huwa Elimu zao ni za kuunga unga sana, Wakiwaga chuoni Wanaishia Kuhonga na kununua Mitihani . Unaweza jiuliza, Muliro kasema wamemkamata Niffer, lakini bado Mpaka muda huu Ndugu wa Niffer Wanazunguka Kila...
Back
Top Bottom