Singo maza mwenyewe sasašTunapochukua single maza tuhakikishe na watoto wao tunawatunza kama wetuView attachment 3597173
Kienyeji bwasheeSingo maza mwenyewe sasaš
Kaa mbali, acha kihere hereš eti sijui boga na ua lake, hakuna kitu kama hicho, women are weird, bro.
Shida watu wanazalisha wanawake wazuri, watu kubeba singo maza haikwepeki.Kienyeji bwashee
Na wakome kabisaMleta uzi hakuna sheria ya Mungu wala ya jamhuri inayovunjwa kwa mtu kuwa na single mother. Tujifunze kuheshimu maisha ya watu wengine ili mradi hawavunji sheria. Humu JF kuna nyuzi nyingi sana za kuwaongelea single mothers kama vile wana damu za watu mikononi mwao. Acheni huu upuuzi.