Room 28
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 1,047
- 1,693
Hii plot nilinunua siku za nyuma kidogo kabla ya lami haijapita kutoka kishiri kwenda Buhongwa.
Kwa mnaojua hii short cut ni kama m900 tu urefu wa hii barabara.
Saizi naona nikauze kwa bei ya hasara milion 7.5 tu.
Si pabaya maana rami n kutembea tu dk10 umefika .
Mwanza viwanja siyo ghari ukishindwa kumiliki hapa we sahau
Kwa mnaojua hii short cut ni kama m900 tu urefu wa hii barabara.
Saizi naona nikauze kwa bei ya hasara milion 7.5 tu.
Si pabaya maana rami n kutembea tu dk10 umefika .
Mwanza viwanja siyo ghari ukishindwa kumiliki hapa we sahau