Sababu huyo mdada uliyenae hajamrudia ex wake sio kwa sababu eti anakupenda wewe kumzidi, no, ni kwa sababu ex wake hajaonesha effort ya kumtaka tena

Sababu huyo mdada uliyenae hajamrudia ex wake sio kwa sababu eti anakupenda wewe kumzidi, no, ni kwa sababu ex wake hajaonesha effort ya kumtaka tena

Stability

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2020
Posts
756
Reaction score
2,672
Niliwahi kuwa na girlfriend back in 2018,

Alienielezea namna jamaa alivyokuwa anamchapa makofi na muda mwingine kumuingilia kinguvu kingono. Na akasema hataka amrudie tena huyo mbwa

Red flag ilikuja pale yule demu akawa anamzungumzia jamaa kila mara, nikagundua huyu fala bado bado ana miss makofi ya msela😁

Baada ya mwezi mbona bado walirudiana na akaniblock kabisa😆
 
Acha uoga ukomavu wako wa akili ndo uta decide uyo demu wako arud kwa x au abak kwako
 
Back
Top Bottom