Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 368,278
- 851,918
Kama kuna mtu atatokea hapa na kubisha basi huyo ndie rafiki mwenyewe.. Na baadhi ni marafiki zetu hapa JF
Unahitaji usaidizi wa kitu kwa mfano ununuzi wa kiwanja, nyumba, gari mtambo nknk
Sasa katika cycles zako za marafiki unaona fulani ndio anafaa.. Wewe kutokana na kutokuwa mjuzi ama kukosa muda ama kuwa mbali unaamua kumtumia yeye
Huyu mtu badala ya kuwaza uaminifu wako kwake yeye anaanza kukuwekea password😂
Cha kuuzwa buku atakipandisha mpaka buku3 I'll ushuke mpaka buku 2 atengeneze buku na bado hapo utamtoa...😂
Unahitaji usaidizi wa kitu kwa mfano ununuzi wa kiwanja, nyumba, gari mtambo nknk
Sasa katika cycles zako za marafiki unaona fulani ndio anafaa.. Wewe kutokana na kutokuwa mjuzi ama kukosa muda ama kuwa mbali unaamua kumtumia yeye
Huyu mtu badala ya kuwaza uaminifu wako kwake yeye anaanza kukuwekea password😂
Cha kuuzwa buku atakipandisha mpaka buku3 I'll ushuke mpaka buku 2 atengeneze buku na bado hapo utamtoa...😂