wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Jerusalem: Sababu tatu za kuzuka kwa ghasia kati ya Wapalestina na Wayahudi

    REUTERS: Ghasia zilizuka nje ya msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa zamani wa Jerusalem Jerusalem imekuwa ikigonga vichwa vya habari kufuatia ghasia ambazo zimekuwa zikiripotiwa mjini humo kati ya Wapalestina na vikosi vya usalama vya Israeli ambazo zimewaacha mamia wakijeruhiwa mbali na...
  2. mtimawachi

    JamiiForums Tanzania Utekelezaji wa mambo haya uliishia wapi?

    Hivi nani aliibua mchakato wa vazi la taifa? Uliishia wapi? AU yule aliyeshauri vitambulisho vya NIDA, vina tija gani kwa sasa? KUNA waziri alisema tiketi zipatikane kwa njia ya mtandao sijui aliishia wapi USAFI kila mwezi je? Mchungaji Mtikila aliwahi sema nchi hii haiwezi kuendelea sababu...
  3. DustBin

    JamiiForums Tanzania Doube B yule mpiga kinanda yu wapi siku hizi?

    Kama heading inavyojieleza..! Mwenye kufahamu alipo please. Ukisikiliza nyimbo za miaka ya nyuma kidogo alikua anatajwa sana. Double B...
  4. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Tulikuwa wapi kumsaidia Mdude mpaka tunasubiri siku ya hukumu? Huu ni uzembe mkubwa

    "Kesho J3,asubuhi, nitaungana na Familia ya CHADEMA katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kusikiliza hukumu ya kesi inayomkabili Mdude Nyagali, Mdude amepitia miaka 5 ya mateso na uonevu usio kifani.ataheshimishwa kwa kuisimamia Imani! Naamini haki itatendeka."- @freemanmbowetz
  5. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Yu wapi kachero mbobezi Bernad Membe?

    Amekuwa kimya sana kiasi cha kusahaulika kwenye pilikapilika na siasa za Tanzania. Sina kumbukumbu kama alirudi CCM na kusamehewa makosa. Lakini matukio kibao yametokea hapa katikati na amekuwa kimya bila kutoa tamko la aina yoyote.
  6. comte

    JamiiForums Tanzania ACT-Wazalendo- mnapatikana wapi ukiacha kwenye mitandao ya Mh. Zitto

    Leo nimekutana na mwajiriwa na taasisi ya Banki Kuu ya Tanzania akiwa amechanganyikiwa. Kilicho mchanganya ni kitu cha ajabu sana. Aliniambia kesho 13.06.2021 wana ufunguzi wa jengo lao jipya jijini Mwanza. Kwa vile Banki Kuu ya Tanzania ni ya watanzania wote bila kujali tofauti zao- alikuwa...
  7. Evelyn Salt

    JamiiForums Tanzania Pishi la boga, nakosea wapi?

    Wapishi wa humu nawasalimu. Napenda sana kula boga, ila upishi wangu unanikatisha tamaa, nikinunua boga kwenye migahawa huwa nakula linakua zuri linakua na unga unga kama kiazi kitamu. Ishu sasa nije nilipike mimi, linakua lina maji maji, yani linanyonya maji sijui likiiva nikiliweka kwenye...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Wazoefu wa Bima ya Magari: Je, ukinunua online sticker unafata wapi?

    Habari wadau.. Gari limeisha bima leo na niko bush hakuna ofisi za kampuni za bima.. nataka ninunue online kwa sim banking.. Ila najiuliza sticker naipataje? Maana kesho narudi mjini sitaki usumbufu wa traffic njiani
  9. B

    JamiiForums Tanzania Bei za mabati na saruji juu, Serikali ipo wapi?

    Kuna nini viwandani? kama uzalishaji umepungua Serikali iruhusu vifaa vya ujenzi kama bati na saruji kutoka nje kuingizwa nchini. Bati za Simba Dumu zilizokuwa zikiuzwa bundle 1 bati 16 shilingi 325,000/= hadi kufikia juzi bei ilikuwa imefika shilingi 400,000/= kwa bundle 1 la bati za simba...
  10. Njiwa wangu

    JamiiForums Tanzania Wapi zinauzwa hizi machine?

    Habarini za asubuhi wakuu, naomba kuuliza wapi naweza pata hizi mizani vidogo digital scale na wanauza kwa Tsh. ngapi na je zinaweza kuwa na soko maeneo gani?
  11. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Customer Software

    Nahitaji Customer Software wapi naweza nikaipata. Msaada.
  12. fasiliteta

    JamiiForums Tanzania Hivi kampeni ya CHADEMA kututoa line za Vodacom iliishiaga wapi?

    Jamaa wanaongozwaga na emotional mbaya sana. Kina Lema na viongozi wake walianzishaga hii kampeni, cha ajabu haijulikani iliishiaga wapi. CHADEMA kuna umber la viongozi sanaaaa,ni kama kichaka chaajizi, manyang'anyi,watu wa visasi, CHUKI, hilba na kukata Tamaaa Sanaa. CHADEMA wanahitaji...
  13. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada dawa za eye drop kama hizi nazipata wapi?

    Nahitaji moja ya dawa zifuatazo au moja wapo: 1. Oclumed eye drop 2. Can-c eye drop Msaada maana nimetafuta sana nimekosa.
  14. Ntovye

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi yule "Mwanaharakati Huru", Cyprian Musiba?

    Habari Wana jamvi. Ni muda sasa umepita, sijamsikia jamaa huyu anayejiita mwanaharakati, ndugu Cyprian Musiba. Mara ya mwisho nilimsikia kama sikosei miezi minne iliyopita. Yawezekana, wasiojulikana wametokomea naye au harakati zake zilikuwa za mtu mmoja na sio masuala yanayogusa jamii...
  15. O

    JamiiForums Tanzania Kuku aina ya Kuroiler F1 wanapatikana wapi?

    Nahitaji kujua wapi naweza kupata kuku aina ya kuroiler ambapo naweza kupata vifaranga wa F1. hii ina maana huyo supplier yeye awe na Parent stock ya F0. Location iwe kati ya Morogoro, Iringa au Dodoma
  16. ngumbuke

    JamiiForums Tanzania Wako Wapi Wasanii hawa?

    Jana Jioni Baada ya Kuchoshwa na Kazi za Kaisari, niliingia You tube kutafuta nyimbo nilizokuwa nikizisikiliza. Nikabahatika kumkumbuka Msanii mmoja toka Iringa akifahamika kama Mike T aka Mnyalu. Kwa haraka nikazikumbuka kazi zake mbili KAMA na NYALU LAND. Kisha nikamkumbuka Babu Inspekta...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Mawaziri mpo wapi, mbona hatuwasikii mara baada ya uapisho?

    Naona wameingia mitini na ile kasi waliyoingia nayo sasa imepotea kabisa, tunaemuona ni Rais Samia na Waziri Mkuu kunani hizi ziara zilitakiwa kufanywa na mawaziri au mmenuna kwa kuwa kuna jicho linaangaza posho zenu? Mishahara mlipwe posho mzikwapue kwa kazi gani kubwa kihivyo? Mkitumbuliwa...
  18. mzushi

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Kattanga yupo wapi?

    Leo ni mara ya pili katika kipindi cha karibu wiki ya tatu sasa Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Kattanga hajaonekana hadharani na nafasi yake imekuwa ikikaimiwa na Mhe. Kusiruka. Yeyote mwenye taarifa za huyu Mheshimiwa tafadhari tunaomba atudokeze.
  19. Ugumu wangu

    JamiiForums Tanzania Baba Swalehe uko wapi Mkuu?

    Jamani wana JF namtafuta huyu rafiki yangu wa siku nyingi sana humu Nyumba ya furaha, lakini simsikii kabisa baba Swalehe uko wapi nakutafuta mkuu?
  20. Patra31

    JamiiForums Tanzania Power of VFX bongo sijui tunafeli wapi tu

Back
Top Bottom