REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,470
- 9,411
Likija suala la mawasiliano katika hizi tasisi za umma ni kikwazo kikubwa sana pamoja na ukuwaji wa TEHAMA ila bado ni tatizo.
Bodi ya mikopo elimu ya juu Wana ofisi zao za Kanda wameweka na mawasiliano yao haya waapigie Sasa sm hawapokei akipokea unasikia sio ofisini.
Haya bodi wenyewe makao makuu wameweka namba ya WhatsApp tuma ujumbe Sasa haujibiwi yani unaona ujumbe umefika na umesomwa ila hawajibu haya tuma email Sasa ndio sahau kabisa kujibiwa.
Swali kama mnashindwa hudumja watu futeni hizo namba za simu watu waje ofisini wenyewe manaa mnashindwa hudumia watu.
Bodi ya mikopo elimu ya juu Wana ofisi zao za Kanda wameweka na mawasiliano yao haya waapigie Sasa sm hawapokei akipokea unasikia sio ofisini.
Haya bodi wenyewe makao makuu wameweka namba ya WhatsApp tuma ujumbe Sasa haujibiwi yani unaona ujumbe umefika na umesomwa ila hawajibu haya tuma email Sasa ndio sahau kabisa kujibiwa.
Swali kama mnashindwa hudumja watu futeni hizo namba za simu watu waje ofisini wenyewe manaa mnashindwa hudumia watu.