The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.
NGUVU ZA ZIADA ZINATOKA WAPI?
Nguvu za ziada ni nguvu ambazo baadhi ya binadamu wamebarikiwa kuwa nazo . Huu ni uwezo ambao uko juu ya nguvu za kawaida za WATU . Kwa mfano , mtu kuweza kuona mambo yaliyojificha na kuyasema, au mtu kuweza kuhisi kwamba, jambo fulani litatokea na likatokea kweli...
Sisi ghorofa zetu tunajenga kwa miliono 120-200 na zinapendeza na kukalika kwa kuji nafasi. Hawa viongozi hizi ghorofa zao huwa wananunulia vifaa wapi au gharama zinatokana na nini?
===
Mamilioni kujenga nyumba za wakuu wa wilaya na mikoa. Milioni 838 kumalizia nyumba ya mkuu wa mkoa Kagera...
Iwapo Sheria ya Ulinzi wa Data itakuwepo Tanzania, Watanzania watafahamu taarifa binafsi kama jina, namba ya simu au mahali anapoishi anazozitoa anapoingia kwenye ofisi fulani, zinakuwa kwenye mikono ya nani na zinatunzwa vipi
Hii itasaidia kutoa muongozo kwa mtu kujua anatakiwa kwenda kwa nani...
NIMEULIZWA: NIOE AU NIOLEWE WAPI?
Kwa Mkono wa Robert Heriel
Watu kadhaa wameniuliza swali hili Baada ya kusoma Makala yangu inayomhusu Kaka Mkubwa PFunk Majani.
Wameniuliza; NIOE wapi? Kwa upande wa wanaume.
Wanawake nao wakaniuliza; TUOLEWE wapi?
Kwenye kuoa na kuolewa kuna maswali Makuu...
Habari wakuu,
samahani naomba kuuliza kwa wale wafuatiliaji wa kipindi cha Sport Headquater EFM 09.00 asubuhi hadi saa 12.00 NAOMBA KUJUA ALIPO MCHAMBUZI NGULI NA KIONGOZI WA MICHEZO E FM IBRAHIM MASSOUD (MAESTRO)
Ni takriban week mbili sijamsikia, Ningekuwa na mawasiliano yake ningemuuliza...
Muongo siku zake 40 ila Lissu sijui tumpe siku ngapi. Hakika antipas Lissu ametokea kua mwanasiasa anayesukumwa na chuki na uongo uliyopitiliza dhidi ya kiongozi mzuri aliyewahi kutokea bara la Afrika.
Kama Lissu ni mtu wa kawaida na sio mgonjwa wa akili angesema kitu kuonesha aibu kwa namna...
Huyu ni mmoja wa wanasiasa aliyeongoza kwa kubadilishiwa Wizara karibu tatu katika miaka mitano ya Hayati Magufuli.
Mara ya mwisho kumuona ni kabla ya uchaguzi wa 2020.
Ningependa kujuza alipo kwa sasa anafanya nini?
Pia soma: Nini kinamsibu Waziri Angela Kairuki? Miaka 3 Wizara 3!
Katika pitapita mitandaoni sijafanikiwa kukutana na mahojiano au hata tweet ya Mr Benard Membe l.
Akizungumzia chochote juu ya kifo cha Magufuli wala ingizo jipya la raisi Samia Suluhu. Huyu ndugu amesua?
Yuko wapi? Au ameachana na siasa uchwara kama Rostam?
Wengine walioko kimya.
Mzee...
Nauliza wapi wanapotoa Copy kwa bei rahisi DSM Tshs 30 mpaka 25.
Nasikia maeneo ya karibu na taasisi za kielimu i don't have ideas anapajua anipe Address.
Salaam kwenu wakuu,
Kama mada ilivyo naomba kuuliza wale jamaa waliokua wanamiliki mikwanja na ndinga kali town mpaka wananzego wakaaminishwa mafanikio mpaka uwe freemason wako wapi wakati huu?
Mbona uvumi wa hiyo jamii ya siri umepoa kwanini? Nao vyuma vimekaza?
Au ndio walukua wazee wa...
Habari,
Naomba kujuzwa ni sehem gani nitapata mtumba grade A kwa Dar es salaam.
Natamani kuanza biashara hii ya mtumba lakini jeans tupu na PIA inahitajika mtaji wa kiasi gani?
Pia soma:Chimbo la belo za mtumba grade A pasipo na matapeli na waongo zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam?
Kipindi cha JK kulikuwa na pilika pilika kuhusu huu mradi. NSSF walikuwa bize sana ili waukamilishe.
Kwa enzi hizo, 600 MW ilikua kama nusu ya umeme wote tuliokuwa tunazalisha.
Ikumbukwe kuwa umeme wa makaa bado unatumika sana duniani. Karibu asilimia 40 ya umeme duniani unatikana na makaa...
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu kwanini wasanii wetu maarufu hapa Tanzania huwezi kupata taarifa zao kwenye mitandao kama Wikipedia ili angalau ujue historia zao.
Ni ajabu kwamba hata wanamuziki wetu wakongwe huwezi kupata taarifa zao zote hasa kwenye mtandao maarufu wa Wikipedia. Mitandao...
Bandari ya Bagamoyo haitajengwa na wachina kwa mkopo.
Wanajenga mali yao wenyewe.
Mali ya china ndani ya tanzania kwa miaka 99.
Hakuna mtanzania ataruhusiwa kuingia pale kufanya lolote pale mbeganizhou ya Bagamoyo.
Nilichogundua huo mradi wa bandari ya Bagamoyo ni do or die project kwa...
Spika wa Bunge Job Ndugai, amezitaka kamati za Bunge za Hesabu za Serikali (PAC) na Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) zichambue ripoti ya CAG na kuiwakilisha bungeni katika mkutano wa nne, kwa kuwa inapotoshwa huku akimtaja Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuwa mmoja wapo
Spika wa Bunge...
Naona wanaharakati wa twita kila baada ya sentensi mbili kuhusu Mama yetu kipenzi mnasema atakuwa 'one term president'. Hivi ni lini alisema anataka vipindi viwili? Considering namna alivyoingia madarakani, hamfikirii kuwa labda alikuwa na mipango yake kabla msiba haujaingilia kati? She might...
Tena leo nakusema (nakuchana) Mubashara na kwa Uhuru kabisa kwakuwa Wewe upande wa Kabila na Mkoa ni Mtani wangu (Nyiramba na Nyaturu) na hata katika Medani za Soka la Tanzania pia ni Mtani Wewe ukiwa Yanga SC na Mimi nikiwa Simba SC.
Kwanza nikuambie tu Mtani wangu Mwigulu kuwa Kibinadamu...
Kuna teknolojia ipo kitambo ya kuendesha magari na hats mitambo mingine kwa kutumia maji ambapo kifaa hufungwa kuunganisha tenki dogo la maji na injini ya gari.
Kifaa hiki hutenganisha elements mbili zinazotengeneza maji yaani Hydrogen na Oxygen (H2O) na kutumia Hydrogen ambayo ni gesi...
Rais Samia kuunda kamati kushughulikia COVID 19. Amesema ataunda kamati ya kushughulikia kitaalamu.
Amesema hatuwezi kujitenga kama kisiwa, lazima tuunde kamati ijulikane kama tunakubali au tunakaa na si kusikia habari tu za nchi nyingine na ikifika kwa Tanzania hamna kitu.
Rais Samia...
Mzuka wanaJF!
Dogo kawa kimya sana tangu alipokamatwa na kuswekwa ndani kwa kumdhihaki picha aliyeenda zake.
Sijui walimfanyia nini kituoni Oysterbay?
Yani hadi kasusa mitandao ya kijamii. Asiogope ajitokeze tu sasa hivi tumeona watu wanaujasiri kama CAG, Ndugai na Assad.
Pia Mo na Roma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.