Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Hizo hapo za kuku wa mayai wanauza wapi na kwa bei gani
Ansante mkuu nisadie kujua makampuni yap na contact zao,Zinaitwa Chicken Cage au wengine huita Battery Cage, kuna makampuni hasa Dar wanauza,bei huanzia 650,000 mpaka 900,000 kwa moja yenye uwezo wa kubeba kuku 96.
Bei inatofautiana kulingana na ubora wa cage kuna ngumu, za kati na zingine ni nyepesi.
Safi sana hiiHizo hapo za kuku wa mayai wanauza wapi na kwa bei gani
Kuna kampuni inaitwa Kuku Project nina namba zao +255767334333 wapo DarAnsante mkuu nisadie kujua makampuni yap na contact zao,
Ahsante mkuuKuna kampuni inaitwa Kuku Project nina namba zao +255767334333 wapo Dar
Ujanja huo sina, labda mtu aagize anikabidhi hapa nchini nimpe hela yake ila aweke chakwake cha juu kidogo.KAMA WEWE MJANJA AGIZA ALIBABA NI CHEAP
Mkuu ww unafuga ?upo wap ?nahitaji mayai kwa bei ya jumlaAhsante mkuu