Wadau,
Kama mnavyokumbuka kuna kipindi viliibuka aina mpya za virusi vya korona vya kutoka South Africa, Brazil and UK.
Virus hivi hasa kile cha SA vilisemekana kuwa hatali zaidi na kuna baadhi ya nchi zilifikia hatua ya kisotisha safari zote kwenda SA
Muda umekwenda kwa sasa hatusikii chochote kuhusu hivyo virus na badala yake tunaletewa habari ya virus vipya vya kutoka India.
Swali langu la msingi ni je hiki kirus cha delta toka India ndicho kirus cha mwisho hatari ama labda baadaye kitakuja kingine na hiki cha delta kipigwe bench na wenye Dunia yao
Nidiclare interest kwamba mimi toka October mwaka Jana sichukui tahadhari yoyote dhidi ya korona na endapo hiki kirus cha delta kitapotea kwa style ile ile ya SA,BRAZIL & UK nitatangaza rasmi kuwa hakuna ugonjwa unaoitwa korona
Kama mnavyokumbuka kuna kipindi viliibuka aina mpya za virusi vya korona vya kutoka South Africa, Brazil and UK.
Virus hivi hasa kile cha SA vilisemekana kuwa hatali zaidi na kuna baadhi ya nchi zilifikia hatua ya kisotisha safari zote kwenda SA
Muda umekwenda kwa sasa hatusikii chochote kuhusu hivyo virus na badala yake tunaletewa habari ya virus vipya vya kutoka India.
Swali langu la msingi ni je hiki kirus cha delta toka India ndicho kirus cha mwisho hatari ama labda baadaye kitakuja kingine na hiki cha delta kipigwe bench na wenye Dunia yao
Nidiclare interest kwamba mimi toka October mwaka Jana sichukui tahadhari yoyote dhidi ya korona na endapo hiki kirus cha delta kitapotea kwa style ile ile ya SA,BRAZIL & UK nitatangaza rasmi kuwa hakuna ugonjwa unaoitwa korona