Wadau Habari zenu. Kuna dawa kuku mpya nilisikia muda kidogo ikitangazwa kwenye redio jina sikumbuki vizuri maana nilisikia kwa mbali tatu kwa moja yaani inakuwa na newcaster na mchanganyiko wa dawa zingine mbili na kufanya kuwa mchanganyiko wa dawa tatu kwa pamoja sasa swali langu kwa kisiwa cha habari Jamii forum hii dawa naweza kuipata wapi kwa maeneo ya mbagala, kariakoo na buguruni?
Nahitaji kwa haraka sana na kama unafahamu bei yake nijulishe pia
Nahitaji kwa haraka sana na kama unafahamu bei yake nijulishe pia