wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Infinite_Kiumeni

    Moja Ya Kosa Wanaume Wengi Hufanya Wakiwa Na Mwanamke

    Shida ya kuishi na mwanamke ndo huanzia hapa. Shida ya kumpata mwanamke ndo huanzia hapa. Hupelekea mtu kusema mwanamke haeleweki. Hupelekea kutoelewana. Sababu anakua hana jibu kamili kutoka kwa mwanamke. Kosa hilo ni: Kumtafsiri mwanamke kwa maneno yake zaidi ya vitendo vyake. Kumsikiliza...
  2. Okrap

    Mambo 5 ambayo wanaume mnaweza kujifunza kutoka kwa wanawake.

    Wanaume mnaweza kujifunza kutoka kwetu wanawake. Tuna mengi ya kuwashirikisha mjifunze kutoka kwetu wanawake, kwa leo nitawapa mambo matano tu... 1. Wape kipaumbele watu wako Wanaume wengi ni wabinafsi kwa asili na ni wachoyo wenye roho mbaya. Bali wanawake wengi huweka maslahi ya familia...
  3. Nyendo

    Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Esther Mahawe: Nashangazwa na wanaume wanaojiua kisa mapenzi wakati sensa inaonesha wanawake ni wengi kuliko wanaume

    Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Esther Mahawe amesema anashangazwa na Wanaume wanaojiua kwasababu ya mapenzi wakati Sensa inaonesha kuwa Wanawake wako wengi nchini kuliko Wanaume hivyo wanaweza kuoa zaidi ya Mke mmoja. DC Mahawe amesema hayo leo Jumatatu Mei 8, 2023 wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa...
  4. V

    Hii imenishangaza

    Nimesikiliza kipindi cha malumbano ya hoja Radio one, Alhamisi hii, naskia mtu anajitambulisha kama somebody Msafiri Mwajuma Mariam. Ama like waaaaaaat! Niko sebuleni na dogo naye anashangaa, nkaelewa frustration aliyonayo kwenye kichwa chake. Anyway labda aliamua kutumia jina hilo kutokana na...
  5. Ricky Blair

    Ni kweli Wanaume wa Pwani hawapendi ugali?

    Nimenotice kwamba watu wa Pwani hata wanaume wa kande zote za Pwani kuanzia Tanga, Pwani yenyewe na Dar, Lindi, Mtwara na Zenj hawapendi Ugali sana wao ni wali sana sana tofauti na watu au wanaume wa sehemu zingine? Je ni kweli au generalization tu yangu?
  6. B

    Hivi sasa hivi bado kuna wanaume wakiombwa hela muda mfupi baada ya kutongoza wanatoa?

    Group yangu ya wana wote wakipigwa vizinga na wadada waliotongoza siku moja kabla wanakataa, hapa mtaani hadi madogo wa kiume wanaosoma sekondari wanajua hiyo style ya utapeli, nilishangaa sana kuona mtoto wa kiume wa form 2 akimwambia mwenzake, "huyo ukimtumia hela, ghetto kwako hatokuja, na...
  7. Unique Flower

    Jamani kwanini wanaume mko hivi

    Jamani kwanini wanaume hamtulii mnakosa Nini?? Lazima uwe na mweusi ,mweupe , mwarabu ,mhindi, yaaniwafrika hadi keroo . Mnachoshagaza serious , ni baada ya jirani yetu mkewe kasafiri na bado ameenda kuleta wadada wawili humo ndani Sasa mnakwama wapi?? Yaani unamsikia kabisa anakula nao good...
  8. Ndondombi Mulin

    Wanaume, Mitindo ya uchezaji na Uanaume

    Wanaume, Sherehe ni jambo lililowekwa na wanadamu ili waweze kufurahia mafanikio yao na wengine hufanya sherehe wakati wa kuomba Dua kwa miungu yao. Vilevile Sherehe ilikuwa ni swala ambalo hufanyika kuonyesha Mwanzo au Mwisho wa Maisha fulani au hatua fulani katika Maisha. Mfano; Kuzaliwa kwa...
  9. Okrap

    Wanaume wa nigeria wanavitu special

    Jaman wanaume wa nigeria hapana mfano wake hawa wanaume ni wapo tofauti sana uwanjani na hata kuhudumia wako makini sana wanaenda na muda Wanaume wa Tanzania igeni pia kwa hawa lakini nahisi wanakitu fulani ambacho nyuma ya panzia sikijui jamani nijuzeni kwanini kwenye sita kwa sita hawachoki...
  10. GENTAMYCINE

    Wanaume mnaowaachia wake zenu Kazi ya kupeleka Watoto kupanda School Vans alfajiri kuweni makini

    Leo ni mara ya Tatu kila nikiwa naenda Beach Kupasha (Mazoezini) Alfajiri ili nipate Nguvu Tukuka za Kuwajibika vyema Kitandani na wale ninaowabahatisha katika 18 zangu nakutana na Wake za Watu (tena Wengine nawajua kabisa) wakiwa Wanabanduliwa / Wanalalwa na Wajuba. Nilichokiona leo na ambacho...
  11. S

    Wanaume wa Tarime, hii ni tabia ya kipumbavu na kidhaifu sana. Badilikeni

    Nilienda zangu klabu moja maarufu Tarime mjini pale, nikakutana na tabia ya ajabu sana kutoka kwa wanaume wa maeneo yale. Ishu ilikua hivi, baada ya kuwa nimepoa zangu muda mrefu naskiliza tu mdundo kidogo kidogo, akanifata mwana mmoja ivi, pigo za kisharobaro kibaao. Kisha akaanza kuniambia...
  12. Mohammed wa 5

    Mimba ni kitega uchumi kwa mabinti wa sasa

    Habari zenu Wana Jamii forum am back again it's me mo mp5 mtoto wa kanali mtata... Kuna binti nilikuwa nae kwenye mahusiano tulikutana kwenye ofisi za TRA sababu wote tulifika kwa ajili ya shida moja hivo ikaleta maongezi kidogo kuhusu shida iliyotuleta pale ikapelekea tukaanza kufahamiana...
  13. Expensive life

    Mbuzi kagoma kwenda ndio mtindo pendwa zaidi kwa wanaume kunako sita kwa sita

    Wanaume wenzangu kuna ubishi hapa? Mbuzi kagoma kwenda, yaani baby mama anakuwa amepiga magoti huku amejibinua kidogo alooo 😋😋😋 Utamu wa hii style mwanamke awe na nyama laini (steki) vimbaumbau haiwafai hii.
  14. GENTAMYCINE

    Daktari wa Saikolojia Charity na Mtangazaji wa Radio One Haji leo mmetuangusha Wanaume kwa Kuukiri huu Udhaifu

    Leo katika Kipindi Bora duniani cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima Daktari wa Saikolojia Genius Charity Xavier Johnson na Kaka yangu Mtangazaji Haji Kibwana wamesema Kauli iliyoniumiza na Kuhisi huenda na Wao sasa wameshakamatika...
  15. B

    Saa nyingine wanaume tukipenda sana, first date tunamwalika mwanamke restaurant au sehemu nyingine tulivu ila sio gheto au lodge

    Kuna katabia ambacho wanaume tunacho, tukimpenda sana mwanamke hadi kujisemea akilini huyu akinikubali namwoa, tunaona noma kumwita gheto on first meeting, kwasababu tunahisi atakataa, na tutajiharibia cv kwa kuonekana wahuni, na hatutaki tukataliwe. Badala yake tunaomba tukutane mgahawani, au...
  16. Okrap

    Nawapenda sana wanaume lakini kuna vitu mnatakiwa kuviacha ili niwapende zaidi

    Hivi ni kweli mnakosa 3000 ya kununua mkanda mpaka mfunge na kamba za viatu wengine mnatumia utambi wa jiko la mafuta kufunga suruhali zenu kweli vijana wangu mnakosa kabisa 3000 kununua mkanda? Nunu mkanda wako vizuri funga kwenye nguo yako vizuri kama unachomekea shusha kidogo tu pendeza...
  17. Clepatina

    Wanaume wanaoijua hii Baiolojia ya wanawake ni wachache sana

    Roho wa Mungu ametamalaki juu yangu na kunituma kuandika huu uzi ili kuokoa ndoa na mahusiano yanayokaribia kuvunjika kwa jambo alillolitengeneza Mungu. Ninaongea na wewe mwanaume ambae umechoshwa na kiburi,gubu,jeuri na maneno ya kukera ya mkeo. Pole sana baba.Najua hicho sicho...
  18. Equation x

    Uchache wa wanaume halisi, unasababisha wadada kugombania mahusiano.

    Siku moja niliamua kuingia mtaani kushangaa shangaa uumbaji wa Mungu katika hii dunia. Baada ya kuchoka kuzurura, nikaamua niingie kiwanja fulani kilichotulia ili niweze kutafakari yote niliyoweza kuyaona katika hii dunia. Katika kuangaza angaza macho, ndipo nilipoweza kumuona mrembo mmoja...
  19. Kusini pride

    Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

    Nilimkuta mke wangu ni bikra kabisa yaani hymen iko slide kabisa kwahiyo mimi ndiyo nilikuwa mtu wa mwanzo kumtoa hiyo bikra ila na bado wahuni wimechapa bila hata ya kupindisha kabisa ila masela ni michosho sana. Labda sijui ni laana ya kuhasi uparoko wala hata sijui kuna moment katika maisha...
  20. jastertz

    TUONGEE KIUME: Neno mwanamume linavyotuumiza wanaume

    Ulipokuwa mtoto, ukiumia, ukaanza kulia, kama utabahatika kuambiwa pole basi neno litakalofuata litakuwa ni “Nyamaza, wanaume hawalii.” Labda waliotulea walikuwa na maana nyingine, lakini iwe kwa kujua au bila kujua na sisi watoto wa kiume tumeelewa kuwa walikuwa wanamaanisha mtoto wa kiume...
Back
Top Bottom