Nawashauri wanaume usiende chumvini unajimaliza hali ni mbaya sana wanawake wameamua liwalo na liwe

Wadiz

JF-Expert Member
Nov 10, 2022
5,411
11,061
Wasalaam JF,

Chonde chonde mabaharia wenzangu tumia akili na maarifa katika mazingira yako yoyote yale, kuwa makini sana na afya yako.

Wanawake wameamua wana kauli mbiu maisha ni mafupi wanachetua, wanachachua, wanashandua.

Kwa wastani kwa huu mfumo wa network, madalali na ofisini kutumika kama connection wanawake wanatumika na wanaume watatu kwa siku/wiki kiwango cha chini. Kwa mwezi ni angalau 9, possibility ya UTI ni 90% monthly.

Na mimba zinatolewa kama njugu kupitia kwenye mapusiz hayo hayo.

Ni hatari ni hatari hatari sana.

Jipende jitunze jali leo na kesho yako. Ole wenu mtumie pombe kama kivuli.

Wanawake Mungu anawaona.

Ni hayo tu.

Wadiz ndio mimi. 🙏🙏🙏
 
Wasalaam JF,

Chonde chonde mabaharia wenzangu tumia akili na maarifa katika mazingira yako yoyote yale, kuwa makini sana na afya yako.

Wanawake wameamua wana kauli mbiu maisha ni mafupi wanachetua, wanachachua, wanashandua.

Kwa wastani kwa huu mfumo wa network, madalali na ofisini kutumika kama connection wanawake wanatumika na wanaume watatu kwa siku/wiki kiwango cha chini. Kwa mwezi ni angalau 9, possibility ya UTI ni 90% monthly.

Na mimba zinatolewa kama njugu kupitia kwenye mapusiz hayo hayo.

Ni hatari ni hatari hatari sana.

Jipende jitunze jali leo na kesho yako. Ole wenu mtumie pombe kama kivuli.

Wanawake Mungu anawaona.

Ni hayo tu.

Wadiz ndio mimi. 🙏🙏🙏
😂😂 hili swala unaeza ongea hivi kwenye keyboard lakin😂😂
 
Weee wenzako tumeacha kama 10 nyumba huko sijui early twenty huko..


Wewe bado upo kwenye zama za kumridhisha mwanamke tena hadi kuzama chumvini...

Anayeridhishwa ni mwanaume sio mwanamke, mwanamke anaamua yeye kama anataka kuridhika basi anatoa ushirikiano mzuri..

Mwanaume very simple Ana communicate mahitaji yake very straight..

Sasa nani Ana mda wa kufanya guess work saizi tena mtu sio bikra
 
Labda nikatwe kichwa sinyonyi tupu ya mwanamke Mimi hata aweje tpuuuuuuu kuna mmoja alishanisihi sana ni UCHAFU
 
Unakutana na UTI sugu,vumbi la ukoko,majitaka,maji ya Dawasco kwa wale mijini,mikoani visima na ziwa.

Heshimuni pale sio mdomo ule ni sehemu ya uzalishaji
 
sijawahi ona mtu mwenye akili timamu kabisa, anabeba chakula kulia bafuni kama sio ... uchafu tu.
 
Back
Top Bottom