Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Wasalaam JF,
Chonde chonde mabaharia wenzangu tumia akili na maarifa katika mazingira yako yoyote yale, kuwa makini sana na afya yako.
Wanawake wameamua wana kauli mbiu maisha ni mafupi wanachetua, wanachachua, wanashandua.
Kwa wastani kwa huu mfumo wa network, madalali na ofisini kutumika kama connection wanawake wanatumika na wanaume watatu kwa siku/wiki kiwango cha chini. Kwa mwezi ni angalau 9, possibility ya UTI ni 90% monthly.
Na mimba zinatolewa kama njugu kupitia kwenye mapusiz hayo hayo.
Ni hatari ni hatari hatari sana.
Jipende jitunze jali leo na kesho yako. Ole wenu mtumie pombe kama kivuli.
Wanawake Mungu anawaona.
Ni hayo tu.
Wadiz ndio mimi. 🙏🙏🙏
Chonde chonde mabaharia wenzangu tumia akili na maarifa katika mazingira yako yoyote yale, kuwa makini sana na afya yako.
Wanawake wameamua wana kauli mbiu maisha ni mafupi wanachetua, wanachachua, wanashandua.
Kwa wastani kwa huu mfumo wa network, madalali na ofisini kutumika kama connection wanawake wanatumika na wanaume watatu kwa siku/wiki kiwango cha chini. Kwa mwezi ni angalau 9, possibility ya UTI ni 90% monthly.
Na mimba zinatolewa kama njugu kupitia kwenye mapusiz hayo hayo.
Ni hatari ni hatari hatari sana.
Jipende jitunze jali leo na kesho yako. Ole wenu mtumie pombe kama kivuli.
Wanawake Mungu anawaona.
Ni hayo tu.
Wadiz ndio mimi. 🙏🙏🙏