Wanaume tunaopenda fashion ni rahisi kupoteza ubingwa

The Eric

JF-Expert Member
Feb 23, 2019
5,059
8,176
Salaam!

Wanaume tuwe makini kwani kizuri kikizidi huwa kibaya.
Ushawahi kusikia finite na infinite, chenye mwanzo na mwisho relatively.....

Basi tunao penda kuvaa vizuri na kupendeza tuwe na mipaka.
Hususani sie wanaume, kwa sababu wakuu vipo vingi venye urembo na urembo ni addiction huvuta hisia na fahamu zetu na kuzidi kuvutiwa eg...(nimeeleza ni kwa namna gani urembo unavomfurahisha mtu kwa kuteka hisia zake).

1.Twapenda cheni,
2.saa nzuri,
3.mikanda mizuri,
4.perfumes,
5.kunyoa vizuri na kuweka nywele sawa,
6.kucha ziwe neat,
7. body liwe sexy yaani chest and packs ziwe formed well,
8.kuhusu nguo na viatu ndiyo funga kazi.
9.Hereni za kiume pia ziangaliwe siyo kuvaa hereni kila kona, hereni zivaliwe harusini tu au kwenye parties...wanawake hawana limits ya kuvaa hereni.

for real this fantasy will kill one oooh ๐Ÿ˜… in nigerian voice 'one man down'

Sweet life needs to be better prepared,
kingine ni kuwa hakikisha mwanaume unapo pendeza basi lazima uwe na demu yaani chick ni lazima ili uwe na opposition la sivyo utaanza kuvaa vibukta wenyewe tunaita vinjuga na vilapa vya kina careen afu uanze kununua hereni na kusuka mara vitatoo uchwara shingon, mara hivi mara uanze kubinua binua tutako na tusuruale ushenzi tushuke chini๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Hapo ndiyo nitauliza "Huko Shureni Mrisomea Ujinga" ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Angalizo:
Wengi hudhani kupoteza ubingwa ni kwa kupenda huja automatically kwa life styles za kila siku.... pia epuka kwenda kwenda saloon za kike na kukaa na group za ladies, hii kitu naona ya kusuka rasta inanipa wasiwasi... rasta fulani mtu anawaka ๐Ÿ˜…
 
Salaam!

Wanaume tuwe makini kwani kizuri kikizidi huwa kibaya.
Ushawahi kusikia finite na infinite, chenye mwanzo na mwisho relatively.....

Basi tunao penda kuvaa vizuri na kupendeza tuwe na mipaka.
Hususani sie wanaume, kwa sababu wakuu vipo vingi venye urembo na urembo ni addiction huvuta hisia na fahamu zetu na kuzidi kuvutiwa eg...(nimeeleza ni kwa namna gani urembo unavomfurahisha mtu kwa kuteka hisia zake).

1.Twapenda cheni,
2.saa nzuri,
3.mikanda mizuri,
4.perfumes,
5.kunyoa vizuri na kuweka nywele sawa,
6.kucha ziwe neat,
7. body liwe sexy yaani chest and packs ziwe formed well,
8.kuhusu nguo na viatu ndiyo funga kazi.
9.Hereni za kiume pia ziangaliwe siyo kuvaa hereni kila kona, hereni zivaliwe harusini tu au kwenye parties...wanawake hawana limits ya kuvaa hereni.

for real this fantasy will kill one oooh ๐Ÿ˜… in nigerian voice 'one man down'

Sweet life needs to be better prepared,
kingine ni kuwa hakikisha mwanaume unapo pendeza basi lazima uwe na demu yaani chick ni lazima ili uwe na opposition la sivyo utaanza kuvaa vibukta wenyewe tunaita vinjuga na vilapa vya kina careen afu uanze kununua hereni na kusuka mara vitatoo uchwara shingon, mara hivi mara uanze kubinua binua tutako na tusuruale ushenzi tushuke chini๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Hapo ndiyo nitauliza "Huko Shureni Mrisomea Ujinga" ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Angalizo:
Wengi hudhani kupoteza ubingwa ni kwa kupenda huja automatically kwa life styles za kila siku.... pia epuka kwenda kwenda saloon za kike na kukaa na group za ladies, hii kitu naona ya kusuka rasta inanipa wasiwasi... rasta fulani mtu anawaka ๐Ÿ˜…

Mods naomba huu uzi mpeleke jukwaa la mitindo na utanashati tafadhaliSAwa
Sawa umeeleweka!
 
Hizo hereni, kusuka nk ni vitu vya kikeikie lazima utongozwe na uwe punga tu.

Tatizo mnajiremba kama wanawake na sio wanaume.
Kupendeza kwa mwanaume ni simple ila ukicomplicate ndo hapo sasa unaangukia upande mwingine.

Na kwanini ukipendeza uwe na pisi pembeni, ili iweje??
Mkuu huwezi appear smart afu uzidishe usingle time will reach utaanza kujichukia.
 
Back
Top Bottom