Wanaume acheni kupima DNA

Mtanzania2020

JF-Expert Member
May 23, 2020
370
764
Screenshot 2023-07-26 131545.png

Serikali ya Uganda imewashauri wanaume kuacha kufanya vipimo vya vinasaba (DNA) kubaini ukweli wa uzazi, ikisema kuwa haina manufaa kwa ustawi wa nchi hiyo.

Waziri wa Afya Msingi wa nchi hiyo, Margaret Muhanga, anasema haijalishi kama wanaume wanaolea watoto ni baba zao kwa damu au la, na vipimo vya uraia vinathibitisha tu kuleta machafuko.

Uganda imekuwa ikiripoti visa vya vurugu katika familia kutokana na matokeo ya vipimo vya DNA vya uraia, baadhi yake vikisababisha vifo.

Hivi majuzi tu, mwanamume raia wa Israeli anadaiwa kumuua mkewe Mganda na kuzika mabaki yake katika tangi la maji taka baada ya matokeo ya sampuli ya DNA ya mtoto wao wa miezi 6 kuwa hasi.

East Africa TV
 
#HABARI Serikali ya Uganda imewashauri wanaume kuacha kufanya vipimo vya vinasaba (DNA) kubaini ukweli wa uzazi, ikisema kuwa haina manufaa kwa ustawi wa nchi hiyo.

Waziri wa Afya Msingi wa nchi hiyo, Margaret Muhanga, anasema haijalishi kama wanaume wanaolea watoto ni baba zao kwa damu au la, na vipimo vya uraia vinathibitisha tu kuleta machafuko.

Uganda imekuwa ikiripoti visa vya vurugu katika familia kutokana na matokeo ya vipimo vya DNA vya uraia, baadhi yake vikisababisha vifo.

Hivi majuzi tu, mwanamume raia wa Israeli anadaiwa kumuua mkewe Mganda na kuzika mabaki yake katika tangi la maji taka baada ya matokeo ya sampuli ya DNA ya mtoto wao wa miezi 6 kuwa hasi.

#EastAfricaTV
Badala ya kukemea Umalaya unaofanywa na wamama wenzie mpaka wanawazalia watoto michepuko yeye analeta porojo...
Anafikiri kulea mtoto ambae umechomekewa ni jambo dogo?...
Kituko hiki.
 
Ninaamini umeona. Ila kama mume wa mh. Janet muhanga hajaenda kufanya dna test mwambieni aende. Ni kubaya, simtukani ila kutokana na jinsia yake, hatakiwi kuaminiwa kabisaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom