Faida za kuoa mke zaidi ya mmoja katika jamii yetu kwa wanaume na wanawake

DR nijilekukasi

New Member
Aug 4, 2023
4
5
Zifuatazo ni faida za kuoa mke zaidi ya mmoja

01. kupunguza wimbi kubwa la machafu ya uzinifu kwenye jamii....sababu wanawake asilimia kubwa watakuwa kwenye stara

02. Kuongezeka kwa uchumi na kukua maendeleo katika jamii ,hili jambo linatokana na baraka kutoka kwa Mungu wetu tutapowastiri wanawake kutokana na machafu ya uzinifu kutapelekea baraka nyingi na kupanda kwa uchumi katika jamii.

03. Kupunguza wimbi la wanawake wanaotembea uchi mitaani kwa malengo ya kujiuza ili kukizi mahitaji ya kifamilia

04. Ongezeko la wanaume wachapakazi na wasiokuwa na fikra potofu za ujinga na tamaa

05. Kumheshimisha na kumtukuza mwanamke katika jamii kutokana na uzalilifu uliokuepo hapo mwanzo kabla ya ndoa za matara

06. Wanawake tasa watastirika katika jamii kutokana na aibu ya ndoa za kijinga zinazolenga kupata watoto pekee na si kulenga kuwahifadhi wanawake na uzinifu ivo wanawake hawa hawatopewa taraka bali watastirika na dini yao wataitekeleza kwa weledi kabisa.

07. Ongezeko la nguvu za kiume kwa wanaume kutokana na kukua kwa kifikra na kujiamini kiakili na kutokana na ushiriki wa tendo la ndoa mara kwa mara.

HIZI NI FAIDA CHACHE ZIPO FAIDA NYINGI TUTAENDELEA SIKU NYINGINE MUNGU AKIPENDA MWENYE MAONI RUKSA KWA LUGHA ZINAZOPENDEZA.
 
Zifuatazo ni faida za kuoa mke zaidi ya mmoja

01. kupunguza wimbi kubwa la machafu ya uzinifu kwenye jamii....sababu wanawake asilimia kubwa watakuwa kwenye stara

02. Kuongezeka kwa uchumi na kukua maendeleo katika jamii ,hili jambo linatokana na baraka kutoka kwa Mungu wetu tutapowastiri wanawake kutokana na machafu ya uzinifu kutapelekea baraka nyingi na kupanda kwa uchumi katika jamii.

03. Kupunguza wimbi la wanawake wanaotembea uchi mitaani kwa malengo ya kujiuza ili kukizi mahitaji ya kifamilia

04. Ongezeko la wanaume wachapakazi na wasiokuwa na fikra potofu za ujinga na tamaa

05. Kumheshimisha na kumtukuza mwanamke katika jamii kutokana na uzalilifu uliokuepo hapo mwanzo kabla ya ndoa za matara

06. Wanawake tasa watastirika katika jamii kutokana na aibu ya ndoa za kijinga zinazolenga kupata watoto pekee na si kulenga kuwahifadhi wanawake na uzinifu ivo wanawake hawa hawatopewa taraka bali watastirika na dini yao wataitekeleza kwa weledi kabisa.

07. Ongezeko la nguvu za kiume kwa wanaume kutokana na kukua kwa kifikra na kujiamini kiakili na kutokana na ushiriki wa tendo la ndoa mara kwa mara.

HIZI NI FAIDA CHACHE ZIPO FAIDA NYINGI TUTAENDELEA SIKU NYINGINE MUNGU AKIPENDA MWENYE MAONI RUKSA KWA LUGHA ZINAZOPENDEZA.
Kwamba watu wakioa mke zaidi ga mmoja shetani ndo ataacha kufanya kazi?
Kama wewe Ni muislam imeandika haya you are good to go lakini Kama Ni 'Mkristo' nakuonea huruma mkuu.
 
Zifuatazo ni faida za kuoa mke zaidi ya mmoja

01. kupunguza wimbi kubwa la machafu ya uzinifu kwenye jamii....sababu wanawake asilimia kubwa watakuwa kwenye stara

02. Kuongezeka kwa uchumi na kukua maendeleo katika jamii ,hili jambo linatokana na baraka kutoka kwa Mungu wetu tutapowastiri wanawake kutokana na machafu ya uzinifu kutapelekea baraka nyingi na kupanda kwa uchumi katika jamii.

03. Kupunguza wimbi la wanawake wanaotembea uchi mitaani kwa malengo ya kujiuza ili kukizi mahitaji ya kifamilia

04. Ongezeko la wanaume wachapakazi na wasiokuwa na fikra potofu za ujinga na tamaa

05. Kumheshimisha na kumtukuza mwanamke katika jamii kutokana na uzalilifu uliokuepo hapo mwanzo kabla ya ndoa za matara

06. Wanawake tasa watastirika katika jamii kutokana na aibu ya ndoa za kijinga zinazolenga kupata watoto pekee na si kulenga kuwahifadhi wanawake na uzinifu ivo wanawake hawa hawatopewa taraka bali watastirika na dini yao wataitekeleza kwa weledi kabisa.

07. Ongezeko la nguvu za kiume kwa wanaume kutokana na kukua kwa kifikra na kujiamini kiakili na kutokana na ushiriki wa tendo la ndoa mara kwa mara.

HIZI NI FAIDA CHACHE ZIPO FAIDA NYINGI TUTAENDELEA SIKU NYINGINE MUNGU AKIPENDA MWENYE MAONI RUKSA KWA LUGHA ZINAZOPENDEZA.
Huu ndio utamaduni wa mwafrika ila mzungu pamoja na utandawazi unaleta mambo ya kuwa na mke mmoja.
 
1.Kuoa mke zaidi ya mmoja huleta ujasiri kwa mwanaume kuchepuka.

2. "Kama alikuwa ananipenda mimi kwa dhati kwanini aongeze mke mwingine? Hapa upendo utakuwa umeisha" mke mkubwa. Hii uchochea migomo baridi. Na irresponsibility.

3. Mke mdogo huwa na dharau kwa mke mkubwa na mwishowe uhasama. Vita hii huamia hata kwa watoto kuchukiana na kutengana.

4. Mmoja kati ya hao wake akikosa uaminifu ni rahisi kuleta magonjwa kwenye familia.

5. Watoto wa mke mkubwa kumchukia baba yao kwasababu hupendelea familia ya mke mdogo.

6. Mapenzi kwa mke mdogo huwa shatashata mpaka mzeebaba anasahau kuwa anamke mkubwa.


Nk nk nk
 
1.Kuoa mke zaidi ya mmoja huleta ujasiri kwa mwanaume kuchepuka.

2. "Kama alikuwa ananipenda mimi kwa dhati kwanini aongeze mke mwingine? Hapa upendo utakuwa umeisha" mke mkubwa. Hii uchochea migomo baridi. Na irresponsibility.

3. Mke mdogo huwa na dharau kwa mke mkubwa na mwishowe uhasama. Vita hii huamia hata kwa watoto kuchukiana na kutengana.

4. Mmoja kati ya hao wake akikosa uaminifu ni rahisi kuleta magonjwa kwenye familia.

5. Watoto wa mke mkubwa kumchukia baba yao kwasababu hupendelea familia ya mke mdogo.

6. Mapenzi kwa mke mdogo huwa shatashata mpaka mzeebaba anasahau kuwa anamke mkubwa.


Nk nk nk
Hayo uliyoyataja yanatokea hata ukioa mke mmoja hamna nyumba ikakosa ugomvi kikubwa ili jambo linalenga hasa kuondosha machafu ya uzinifu kwenye jamii lakini ukioa kwa nia ya kutaka sifa huenda ukapata shida hata huyo mmoja atakushinda ndugu
 
Back
Top Bottom