Case Study: Wanaume wanaohimizana watafute hela ili watoke na wanawake wazuri wengi wao background zao ni umaskini uliotukuka

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
wanaume wanaohimizana watafute hela ili watoke na wanawake wazuri, wengi wao background zao ni umaskini uliotukuka. Sehemu walizotokea na kuishi miaka mingi wameshakuwa brain washed kuiweka pesa mbele na ukifatilia vizuri kundi hili ndio wamekariri sana msemo wa "Tafuta Hela" , kwao Pesa ndio Mungu.

Ila ukifatilia wanaume ambao wako na background tangu wadogo, wengi unaona hata wanapoingia kwenye mahusiano wanaamini kuna mapenzi, Pesa inakuwepo lakini inakuwa nyuma ya penzi, sio kama kundi la kwanza, Kundi hili ni nadra sana hata kusikia misemo kama "Tafuta hela"

Nadhani utofauti mkubwa ni kwamba wale wanaozikuta ukubwani baada ya msoto wanawaona wanawake ni bidhaa kama za sokoni, hawaamini kabisa kwenye mapenzi, kwao linapokuja suala la mwanamke wanawaona ni vingamuzi. wanaamini mwanamke anachotaka ni pesa tu, wanaweza kukaa nje ya mkoa hata mwezi wao wanatuma pesa tu wanajua mwanamke anachotaka ni pesa tu, kwao Pesa ni kama Mungu.

Kwa upande wa wale walio vizuri na walizikuta hawa wanaamini mapenzi yapo, off course wanatoa pesa lakini wanaamini mapenzi sio pesa tu asilimia 100, hapa mara nyingi wakikukatana wao kwa wao na wenzao waliozikuta panakuwa hakuna shida, ila sasa wakijichanganya kutoka na mabinti wenye background za umasikini ni ngumu sana kuishi maana kila saa wanaombwa pesa, mabinti waliokutana nao huwa wana njaa kali sana.
 
Hata wanawake ambao wanaamini hakuna mapenzi bila hela nao wako na shida kubwa pahala.
Wengi wana back ground za kuishi kwenye umasikini, maisha yamewafanya watangulize pesa kiasi kwamba hata kwenye urafiki kusalitiana kwajili ya pesa ni kawaida. hata ndugu zao wakiona upo vizuri kiuchumi watamtumia sana binti yao kwa maslahi yao, wengine hufikia kuwashinikiza ndoa ivunjike wapate mali.

ndege warukao pamoja hufanana, ni kosa kubwa kuruka na ndege ambae mmetofautiana sana hasa kwenye ndoa zetu hizi ambazo ni muunganiko wa familia mbili
 
Wengi wana back ground za umasikini, wana njaa kali sana, sio wao tu bali hata ndugu zao wakiona upo vizuri kiuchumi watamtumia sana binti yao kwa maslahi yao, wengine hufikia kuwashauri ndoa ivunjike wapate mali.
Kifupi ni kwamba, binadamu yoyote ambaye anaamini mali au fedha ndiyo utambulisho wake (A Badge or Identity) wake mkubwa, huwa na matatizo makubwa sana kichwani. Sijui tulikwama wapi kama jamii aisee.
 
Kweli kabisa, badala ya kuhimizana watu wawe na maendeleo, tunahimizana kutafuta hela tununue magari tung'oe pisi za kwenda.
Nunua gari mkuu wacha maneno meni......😂
Kwanza duniani tunapita, sasa maendeleo ya nini wakati hapa tupo njiani...😎
 
Nunua gari mkuu wacha maneno meni......😂
Kwanza duniani tunapita, sasa maendeleo ya nini wakati hapa tupo njiani...😎
🤣🤣🤣🤣🤣 nitajichanga mkuu, ila sio kwa ajili ya kung'olea pisi kali. Hivi mkuu Crown si itanitosha?🤪
 
Unachokizungumza ni ukwel lkn chonde chonde hakikisha uwe na pesa, Hela sio katika mapenzi tu kuna matibabu, chakula, mavazi, makazi, vacation n.k
 
wanaume wanaohimizana watafute hela ili watoke na wanawake wazuri, wengi wao background zao ni umaskini uliotukuka. Sehemu walizotokea na kuishi miaka mingi wameshakuwa brain washed kuiweka pesa mbele na ukifatilia vizuri kundi hili ndio wamekariri sana msemo wa "Tafuta Hela" , kwao Pesa ndio Mungu.

Ila ukifatilia wanaume ambao wako na background tangu wadogo, wengi unaona hata wanapoingia kwenye mahusiano wanaamini kuna mapenzi, kundi hili ni nadra sana hata kusikia misemo kama "Tafuta hela"

Nadhani utofauti mkubwa ni kwamba wale wanaozikuta ukubwani baada ya msoto wanawaona wanawake ni bidhaa kama za sokoni, hawaamini kabisa kwenye mapenzi, kwao linapokuja suala la mwanamke wanawaona ni vingamuzi. wanaamini mwanamke anachotaka ni pesa tu, wanaweza kukaa nje ya mkoa hata mwezi wao wanatuma pesa tu wanajua mwanamke anachotaka ni pesa tu, kwao Pesa ni kama Mungu.

Kwa upande wa wale walio vizuri na walizikuta hawa wanaamini mapenzi yapo, off course wanatoa pesa lakini wanaamini mapenzi sio pesa tu asilimia 100, hapa mara nyingi wakikukatana wao kwa wao na wenzao waliozikuta panakuwa hakuna shida, ila sasa wakijichanganya kutoka na mabinti wenye background za umasikini ni ngumu sana kuishi maana kila saa wanaombwa pesa, mabinti waliokutana nao huwa wana njaa kali sana.
Naunga hoja mkono
 
wanaume wanaohimizana watafute hela ili watoke na wanawake wazuri, wengi wao background zao ni umaskini uliotukuka. Sehemu walizotokea na kuishi miaka mingi wameshakuwa brain washed kuiweka pesa mbele na ukifatilia vizuri kundi hili ndio wamekariri sana msemo wa "Tafuta Hela" , kwao Pesa ndio Mungu.

Ila ukifatilia wanaume ambao wako na background tangu wadogo, wengi unaona hata wanapoingia kwenye mahusiano wanaamini kuna mapenzi, kundi hili ni nadra sana hata kusikia misemo kama "Tafuta hela"

Nadhani utofauti mkubwa ni kwamba wale wanaozikuta ukubwani baada ya msoto wanawaona wanawake ni bidhaa kama za sokoni, hawaamini kabisa kwenye mapenzi, kwao linapokuja suala la mwanamke wanawaona ni vingamuzi. wanaamini mwanamke anachotaka ni pesa tu, wanaweza kukaa nje ya mkoa hata mwezi wao wanatuma pesa tu wanajua mwanamke anachotaka ni pesa tu, kwao Pesa ni kama Mungu.

Kwa upande wa wale walio vizuri na walizikuta hawa wanaamini mapenzi yapo, off course wanatoa pesa lakini wanaamini mapenzi sio pesa tu asilimia 100, hapa mara nyingi wakikukatana wao kwa wao na wenzao waliozikuta panakuwa hakuna shida, ila sasa wakijichanganya kutoka na mabinti wenye background za umasikini ni ngumu sana kuishi maana kila saa wanaombwa pesa, mabinti waliokutana nao huwa wana njaa kali sana.
Kuwa na back ground ya umaskini sio tatzo langu , tatizo langu nikufa maskini.
 
wanaume wanaohimizana watafute hela ili watoke na wanawake wazuri, wengi wao background zao ni umaskini uliotukuka. Sehemu walizotokea na kuishi miaka mingi wameshakuwa brain washed kuiweka pesa mbele na ukifatilia vizuri kundi hili ndio wamekariri sana msemo wa "Tafuta Hela" , kwao Pesa ndio Mungu.

Ila ukifatilia wanaume ambao wako na background tangu wadogo, wengi unaona hata wanapoingia kwenye mahusiano wanaamini kuna mapenzi, kundi hili ni nadra sana hata kusikia misemo kama "Tafuta hela"

Nadhani utofauti mkubwa ni kwamba wale wanaozikuta ukubwani baada ya msoto wanawaona wanawake ni bidhaa kama za sokoni, hawaamini kabisa kwenye mapenzi, kwao linapokuja suala la mwanamke wanawaona ni vingamuzi. wanaamini mwanamke anachotaka ni pesa tu, wanaweza kukaa nje ya mkoa hata mwezi wao wanatuma pesa tu wanajua mwanamke anachotaka ni pesa tu, kwao Pesa ni kama Mungu.

Kwa upande wa wale walio vizuri na walizikuta hawa wanaamini mapenzi yapo, off course wanatoa pesa lakini wanaamini mapenzi sio pesa tu asilimia 100, hapa mara nyingi wakikukatana wao kwa wao na wenzao waliozikuta panakuwa hakuna shida, ila sasa wakijichanganya kutoka na mabinti wenye background za umasikini ni ngumu sana kuishi maana kila saa wanaombwa pesa, mabinti waliokutana nao huwa wana njaa kali sana.
Mkuu kwamba unataka kusema wanawake hawataki pesa????!!!
 
Kwa hii tanzania wasio na back ground ya umaskini ni watoto wa viongozi wakubwa tu ,tofauti na apo wengi wetu ni kajamba nan , tutafute hela wakuu sio kwa ubaya.
 
Kifupi ni kwamba, binadamu yoyote ambaye anaamini mali au fedha ndiyo utambulisho wake (A Badge or Identity) wake mkubwa, huwa na matatizo makubwa sana kichwani. Sijui tulikwama wapi kama jamii aisee.
Na hii ukiicheki hata kwa wasanii weusi wa Marekani ipo sana, wengi wameishi maisha ya msoto, wakizipata ukubwani kila kitu kwao kinakuwa ni kuhusu pesa, washajenga mindset ya mitaa yao waliyokulia kwamba oesa pekee ndio kitu anachotaka mwanamke, hawaamini kabisa kwenye mahusiano.
 
Back
Top Bottom