Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
Imagine huna hela huna lolote la maana ila kuna mwanamke kaamua uwe mume wake na kakuzalia watoto na hakuchit kamwe katulia kwenye ndoa na akitongozwa anawasemelezea kwako waliomtongoza.
Mwanamke kama huyu muheshimu sana akimlilia mungu wake KWA maboko unayomfanyia mungu atamjibu. Imagine una kichogo cha mkia wa jogoo na unapendwa!!!!!!
Mwanamke kama huyu muheshimu sana akimlilia mungu wake KWA maboko unayomfanyia mungu atamjibu. Imagine una kichogo cha mkia wa jogoo na unapendwa!!!!!!