Wasaalam.
Jogoo humpanda tetea ndani ya sekunde mbili anakuwa ashamaliza kazi.
Asilimia kubwa ya sisi wanaume naona tushakuwa kama Jogoo ndani ya sekunde Tano tunakuwa tushamaliza.
Wale tunaotumia sekunde chache kama kuku tukutane hapa tupeane mbinu za kuondoa hili tatizo.
Nawasilisha.
Jogoo humpanda tetea ndani ya sekunde mbili anakuwa ashamaliza kazi.
Asilimia kubwa ya sisi wanaume naona tushakuwa kama Jogoo ndani ya sekunde Tano tunakuwa tushamaliza.
Wale tunaotumia sekunde chache kama kuku tukutane hapa tupeane mbinu za kuondoa hili tatizo.
Nawasilisha.