Bosi akiwa mwanamke, wafanyakazi wakiume na wengineo wanakuwa wanamuita mama, badala ya kumpa heshima yake kwa kumuita bosi; ila bosi akiwa wakiume, ataitwa bosi na si kuitwa baba.
Kwa mtazamo wangu, mi naona hawa wanaoleta mahusiano ya kuitana mama katika maeneo ya kazi, huku wamama zao wazazi...