Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Jana kipenga cha siasa za uchaguzi kilipulizwa huko Zanzibar, tunao wakuu wa wilaya na mikoa ambao kasi ya kukimbilia mpira wa majukwaani siyo nzuri.
Wapo wakurugenzi ambao kazi ya kumanipulate issue siyo karma yao. Sasa wajiandae mkeka unakuja. Wasidhani kwamba chama kimewatenga bali speed ya kichaguz imekuwa kubwa zaidi.
Tupisheni hadi wakati mwingine tutakapowaita tena.
Wapo wakurugenzi ambao kazi ya kumanipulate issue siyo karma yao. Sasa wajiandae mkeka unakuja. Wasidhani kwamba chama kimewatenga bali speed ya kichaguz imekuwa kubwa zaidi.
Tupisheni hadi wakati mwingine tutakapowaita tena.