Ushauri unahitajika; Kati ya Cyber security na Laboratory science in biotechnology

hermanthegreat

JF-Expert Member
Mar 2, 2021
853
2,037
Habari wanajf.

Kuna rafiki yangu kachaguliwa kozi mbili vyuo vitatu, anaomba ushauri vipi a confirm.

1. Cyber security (Arusha)
2. Laboratory science in biotechnology (SUA na MUST)

Msaada tafadhari , ipi Ina soko Sana ama Ina unafuu kwenye upatikanaji wa ajira
 
Cyber security na kwenda jela ni hivi 👇👇👇
20230819_133313-jpg.2730838
 

Attachments

  • 20230819_133313.jpg
    20230819_133313.jpg
    20.5 KB · Views: 15
Inategemea lakini Lab Science ni kitu kizur sana...
Kama ametoka familia duni, aende SUA akitoka hapo kaz anapata kirahisi sana...
1. TBS
2. TMDA
3. HOSPITALS
4.INDUSTRIES
5. PRIVATE LABS.
6. ENTREPRENEURSHIP

Hiyo nyingine sijui, wengi niliosoma nao Advance wanaishi miji mikubwa ndani na nje ya nchi kwa hiyo course..
 
Inategemea lakini Lab Science ni kitu kizur sana...
Kama ametoka familia duni, aende SUA akitoka hapo kaz anapata kirahisi sana...
1. TBS
2. TMDA
3. HOSPITALS
4.INDUSTRIES
5. PRIVATE LABS.
6. ENTREPRENEURSHIP

Hiyo nyingine sijui, wengi niliosoma nao Advance wanaishi miji mikubwa ndani na nje ya nchi kwa hiyo course..
Eti kirahisi 😂😂😂
 
Habari wanajf.

Kuna rafiki yangu kachaguliwa kozi mbili vyuo vitatu, anaomba ushauri vipi a confirm.

1. Cyber security (Arusha)
2. Laboratory science in biotechnology (SUA na MUST)

Msaada tafadhari , ipi Ina soko Sana ama Ina unafuu kwenye upatikanaji wa ajira
Asisome cyber. Hiyo kozi ni kama mvua za rasharasha tu, kama anataka ajira asome Biotech ni kozi mpya kwa tz na soko la ajira lipo. Lakini asisome MUST-chuo cha teknolojia asisome SUA, hao sua hata kilimo na ufugaji vilishawashinda
 
Back
Top Bottom