Huu utaratibu wa mawaziri,manaibu waziri na viongozi wengine kuwasimanga vijana kwamba ni watumia pombe unapaswa kukemewa sana. Naongea hivi nikiwa na sababu za msingi kadhaa;
1) Si kweli kwamba vijana wote ambao maisha yamewachapa na kuangukia kwenye pombe ni wavivu kufanya kazi. Wapo wachapa...
Miongoni mwa waliosimama jukwaani kuhutubia alikuwa ni rais Paul Kagame wa Rwanda. Alijikita kuzungumzia mzozo wa madeni unavyoyatia kitanzi mataifa yanayoendelea na kuyapunguzia kasi ya kutimiza Malengo ya Maendeleo Endelevu ikiwa ni pamoja na kutokomeza umasikini.
Amesema sababu ya hali hiyo...
Habari wana JF
Moja ya vitu vinaturudisha nyuma ni uwajibikaji wa viongozi katika nafasi zao , waziri mkuu ametembelea miradi ya maendeleo kigoma alivyojionea kama si sheria unatamani umpige mtu lakini hapana huwezi kufanya hivyo.
Kwa mujibu wa kauli iliyosikika ya PM ni kuwa halimashauri...
Mahojiano kabambe kuhusu utawala wetu kwa kina:
Mazungumzo na Rakesh Rajani Juu ya Demokrasia |Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S08
https://m.youtube.com/watch?v=T6cmRer8qjo
Umuhimu wa elimu kutufanya kuwa na ukombozi wa kifikra, kuchambua, kudadisi, kukosoa badala ya hali ya sasa...
Uhuru wa Kujieleza unamaanisha kuwa Huru kutoa maoni yako kwa njia yoyote ambayo haiondoi Haki za Watu wengine. Unaweza (na unapaswa) kujisikia Huru kukosoa kazi ambayo Viongozi wako waliochaguliwa wanafanya.
Ubadilishanaji Huru wa Mawazo, Maoni na Taarifa hutupatia Maarifa tunayohitaji kufanya...
Ni busara sana kuomba kusamehewa pale ambapo umekosea. Watanzania kulalamikia upatikanaji hafifu wa maji safi kwenye mabomba na kukatika katika kwa umeme naona ni kosa kubwa na hatustahili kuiomba serikali iboreshe huduma hizi muhimu kwa jamii.
Malalamiko haya yamekuwa ni kelele kwenye masikio...
Wakulima wa mbaazi wa hapa mjini Kibaya wanalalamikia kuwa viongozi wa Wilaya wameshindwa kulinda maslahi ya wakulima wa mbaazi Wilayani Kiteto na wao kugeuka ndio madalali wa zao hilo.
Wakulima wamepima mbaazi zao toka wiki Moja iliyopita na bado hela hawajalipwa.
Kibaya zaidi wao mbaazi yao...
Muda mfupi baada ya kuondoka Singida Fountain Gate FC, Kocha Ernest Middendorp ameweka wazi sababu ambayo imemuondoa kwenye klabu hiyo.
Akizungumza katika mahojiano na Mtangazaji Robert Marawa ambayo yamerushwa na 947 Joburg, kocha huyo amesema:
Baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika...
TANESCO sasa hivi wanakata umeme bila ya kutoa taarifa. Halafu hakuna kiongozi anayefuatilia wala kuzungumzia ili suala.
Ingekuwa Magufuli angeenda kushuhudia mwenyewe iko kina cha maji kama kweli kiko chini. Sasa hivi hata Waziri haendi sijui kazi yake ni nini yeye anapewa taarifa kama sie na...
"Hela tuliyopata tumeenda kununua Mayai Viza, Kuku Mweusi na Udi na kumpelekea Mganga wetu wa Kienyeji na kwa jinsi tunavyoenda Kuwaroga Watatukoma" Shabiki wa Timu Moja inayoshiriki Michuano iliyosifiwa na inayosapotiwa na Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ya Ndondo Cup' kwa Mikoa...
Najiuliza hivi wasomi wetu hawajui kama Kila siku tunaongozwa na katiba? Hivi wasomi wetu hawajui kama tunaiishi katiba tuliyonayo?
Hivi Rais wetu hajui kama Tanzania anayoiongoza iko hivyo anavyoiona kutokana na uwajibikaji Kwa katiba wa Kila raia wa Tanzania?
Iweje useme eti hawaijui?
Iweje...
TAMKO TAKATIFU NA TUKUKA
Waambieni hakuna Mchezaji mkubwa kuliko Simba SC yetu, Wameikuta na Wataiacha / Watatuachia. Huu Mtindo wa Kucheza Mpira kwa Kudekadeka, Kuringa na kama Wanalazimishwa uwe mwanzo na mwisho. Kama kuna Mchezaji anaona Simba SC siyo mahala pake aombe avunjiwe Mkataba wake...
Habari za jumapili!
Leo nimebahatika kuusikia wimbo wa mwanadada mmoja ambaye nimemfahamu kupitia wimbo huo.
"Mnatuona Nyani" ndio jina la wimbo huo.
Huyo dada amelalama, amelalamika, ametoa dukuduku lake, ametoa yamoyoni mwake, ametoa yanayomsibu, ametoa mtazamo wake dhidi ya wale...
Katika hali ya kipekee leo Rais katika zuara yake Masasi Mkoani Mtwara amepokea kero mbalimbali lakini kero hii ya mahusiano amewataka viongozi wakae. Ni kweli zipo kero nyingi lakini kero inapofikishwa kwa Rais inapata uzito.
Kero hii inaonesha bado tuna safari ndefu sana katika utekelezaji...
Ni matumaini yangu nyote mko salama.
Nimeona nilisemee hili maana limeenda!
Hivi kiongozi unatoa wapi ujasiri wa kukataa kuwasikiliza waliokuweka madarakani?
Hivi unavaaga viatu vya wale unaokataa kuwasikiliza?
Hebu fikiria umedhurumiwa na kiongozi fulani, unakwenda kushitaki kwa mamlaka ya juu...
MASIKINI ATABAKI KUWA MASIKINI na tajiri atatajirika zaidi aliimba msanii Jaguar toka Kenya. Msemo huu unaonekana kukita mzizi nchini Tanzania.
Tanzania inatumia bilioni 558 kwa mwaka kununua magari ya viongozi! Hatujapigia mahesabu gharama za vipuri,matengenezo na mafuta ya bure wanayopewa...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka majaji wapya aliyowateua hivi karibuni na viongozi wengine wa kiserekali kisha kuwaapisha leo kufanya kazi kwa uadilifu, weledi na uaminifu.
Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Ikulu jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwaapisha majaji wapya wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi Wateule Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 14 Septemba, 2023
https://www.youtube.com/live/UkbF5Mxsv7s?si=-fZrc0yrA0ppwyvs
===
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi...
Kuna sheria iko jikoni yenye kulenga kuboresha mafao ya viongozi wa kitaifa na kuhakikisha wenza wa viongozi hao kulipwa 25% kama mafao ya kustaafu. Pia familia zao kuvuna 60% ya mshahara mara baada ya viongozi wa kitaifa kufariki dunia.
La ajabu, huu muswada pamoja na kuchochewa na mapendekezo...
Akichangia Mjadala Katika Kipindi cha Minzani Kilichorushwa mubashara na TBC Kilichowajumuisha pia Shehe Salim Aliyekuwa Shehe mkuu Wa Dsm, Hamadi Rashid M/kiti Wa ADC na Mkongwe Steven Wasira.
Askofu Kilaini Amesema Si vyema Viongozi wa Dini Kutumia Mimbari Ukiwa bado umevaa Cheo chako au Joho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.