Tazama picha hii vizuri ugundue viongozi wetu walivyo waoga

Siri yangu

JF-Expert Member
Jul 22, 2023
1,035
2,060
20231207_183430.jpg
 
Hawa ni wataalamu wa majanga ya namna gani mkuu,ama wako ktk anga la Hanang wakitafuta namna ya kupunguza athari za janga kitaalamu?

Naona km wana vifaa sitahiki kabisa vya kitaalamu nadhani km hawatokei chuo flani km team ya kutatua tatizo basi huenda wametokea hapo SA maana inasemekana hapa Africa wana ongoza kuwa na wataalamu wa majanga ya namna hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom