Hivi stendi ya mabasi Bukoba ina ukubwa gani hadi viongozi wa chama na Serikali watumie mabilioni kwenda kukagua ujenzi wake?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,105
Stendi ya Bukoba ni moja miradi ninayo amini ni midogo sana kwa mkoa kama Kagera ila ni kati ya miradi ambayo imetembelewa na watu wengi kwa mwaka huu.

Amekwenda Waziri Mkuu kuikagua, wameenda wabunge wote wa Kagera kupiga picha eneo husika,ameenda mara kadhaa Waziri Bashungwa, amekwenda Chongolo, amekwenda Katibu Mwenezi, amekwenda Makamu wa Rais na leo kaenda Mzee Kinana.

Hii kwangu ni fedhea kwawazaliwa wa Kagera. Tumedharaulika sana kwamba pamoja na kusambaa Duniani kote na kusoma kote hatuna uwezo wa kujenga stendi ya mabasi....this can not be accepted.

Mkoa mzima Mradi wa stendi miaka minne sasa ya awamu hii? Wakati hayayanafanyika sisi wapiga kura tunapumbazwa kuambiwa kama siyo awamu hii tusingepata stendi.

Nakubali kwamba wazaliwa wa Kagera hatupendi kwetu ila hii itoshe tuamke sasa tuanze kudhibiti hizi fedhea zinazofanywa na viongozi wetu. Haiwezekani leo tuonekane stendi ni jambo kubwa kwetu kiasi kwamba iwe Sehemu za propaganda za kampeni.....we deserve more than this, let us unit and wake up.

Tumejishusha sana thamani hadi wametambua value yetu mbona huko kanda zinazojitambua hakuna hizi propaganda? Arusha limejengwa jengo kubwa la posta Duniani hakukuwa mbambamba wala msururu wa kutembelea Mradi......we need such kind of investment wageni waje kufanya kazi Kagera tunufaike na tamaduni za nje.

Uwanja wa ndege tumenyimwa ukapelekwa Chato kwa sababu tu wanajua sisi hata bila maendeleo ndugu zetu wanaongeka tu. Watu wa Bukoba wanahitaji maendeleo siyo stendi inayoweza kujengwa kwa kodi za wananchi wa mijini pekee
 
Stendi ya Bukoba ni moja miradi ninayo amini ni midogo sana kwa mkoa kama Kagera ila ni kati ya miradi ambayo imetembelewa na watu wengi kwa mwaka huu.

Amekwenda Waziri Mkuu kuikagua, wameenda wabunge wote wa Kagera kupiga picha eneo husika,ameenda mara kadhaa Waziri Bashungwa, amekwenda Chongolo, amekwenda Katibu Mwenezi, amekwenda Makamu wa Rais na leo kaenda Mzee Kinana.

Hii kwangu ni fedhea kwawazaliwa wa Kagera. Tumedharaulika sana kwamba pamoja na kusambaa Duniani kote na kusoma kote hatuna uwezo wa kujenga stendi ya mabasi....this can not be accepted.

Mkoa mzima Mradi wa stendi miaka minne sasa ya awamu hii? Wakati hayayanafanyika sisi wapiga kura tunapumbazwa kuambiwa kama siyo awamu hii tusingepata stendi.

Nakubali kwamba wazaliwa wa Kagera hatupendi kwetu ila hii itoshe tuamke sasa tuanze kudhibiti hizi fedhea zinazofanywa na viongozi wetu. Haiwezekani leo tuonekane stendi ni jambo kubwa kwetu kiasi kwamba iwe Sehemu za propaganda za kampeni.....we deserve more than this, let us unit and wake up.

Tumejishusha sana thamani hadi wametambua value yetu mbona huko kanda zinazojitambua hakuna hizi propaganda? Arusha limejengwa jengo kubwa la posta Duniani hakukuwa mbambamba wala msururu wa kutembelea Mradi......we need such kind of investment wageni waje kufanya kazi Kagera tunufaike na tamaduni za nje.

Uwanja wa ndege tumenyimwa ukapelekwa Chato kwa sababu tu wanajua sisi hata bila maendeleo ndugu zetu wanaongeka tu. Watu wa Bukoba wanahitaji maendeleo siyo stendi inayoweza kujengwa kwa kodi za wananchi wa mijini pekee
Kafanye utafiti ujue kwanini wanakwenda!
 
Wahaya wametoko BK Ni Mazoba sana

Wajuaji wa kupindukia

Hata uwanja ni ujuaji wao ulifanya usijengwe

Msalimie Kagash,,,
Wahaya wametoka wap sasa mkuu kwenye mada ya stendi ya Bukoba?

Kwani stendi haijengwi?. Bukoba tu ndo wana tatizo la stendi tu?

Hio moshi yenu yenyew imechoka kama nini...kuna barabara kibao mjini moshi ni za vumbi...bila kusahau stendi imechakaa kweli kweli
Halafu uko hapa unatrash miji na makabila ya watu
 
Wahaya wametoka mkuu kwenye mada ya stendi ya Bukoba?

Kwani stendi haijengwi?. Bukoba tu ndo wana tatizo la stendi tu?

Hio moshi yenu yenyew imechoka kama nini...kuna barabara kibao mjini moshi ni za vumbi...bila kusahau stendi imechakaa kweli kweli
Halafu uko hapa unatrash miji na makabila ya watu
Stendi Mpya ya Moshi ipo kwenye asilimia 90% kukamilika

Hata hivyo Moshi stendi ya Sasa Bado ni nzuri inahitaji tu marekebisho madogo na kupakwa rangi majengo

Wahaya wanabishana sana hiyo stendi wengi wao awataki stendi mpya

Hata hivyo Moja ya miji yenye barabara za lami za uhakika na standard ya juu ni Moshi

Ukichukua ukubwa wa barabara zote za Moshi ( Lami za mitaani hata Arusha aiingii ndani

Mji umepangiliwa kwa asilimia 80% Barabara ni pana na zenye hifadhi ya kutosha
 
Watu wa Kagera ni watu poa sana ndio maana wanashambuliwa sana kwa ustaarabu wao wenyewe sehemu yoyote wanawekeza sio lazima kwao .
Wapo kama kabila la Igbo la Nigeria wanawekeza mji wowote wanasimika maendeleo
Ustarabu ni kuwekeza dar alafu ulienda kwenu unalala kwenye vichaka? choo tu tabu

Jengeni makwenu kuku nyie
 
CCM haitakiwi kabisa huko Bukoba. Ndiyo maana jiwe alipigwa mawe wakati wa kampeni. Juzi juzi naibu waziri Byabato amelia kama mbwa Koko aliyebondwa kichwa.

Kwahiyo huo msururu wa wanaccm ni ktk juhudi za kujisagisha
 
Stendi ya Bukoba ni moja miradi ninayo amini ni midogo sana kwa mkoa kama Kagera ila ni kati ya miradi ambayo imetembelewa na watu wengi kwa mwaka huu.

Amekwenda Waziri Mkuu kuikagua, wameenda wabunge wote wa Kagera kupiga picha eneo husika,ameenda mara kadhaa Waziri Bashungwa, amekwenda Chongolo, amekwenda Katibu Mwenezi, amekwenda Makamu wa Rais na leo kaenda Mzee Kinana.

Hii kwangu ni fedhea kwawazaliwa wa Kagera. Tumedharaulika sana kwamba pamoja na kusambaa Duniani kote na kusoma kote hatuna uwezo wa kujenga stendi ya mabasi....this can not be accepted.

Mkoa mzima Mradi wa stendi miaka minne sasa ya awamu hii? Wakati hayayanafanyika sisi wapiga kura tunapumbazwa kuambiwa kama siyo awamu hii tusingepata stendi.

Nakubali kwamba wazaliwa wa Kagera hatupendi kwetu ila hii itoshe tuamke sasa tuanze kudhibiti hizi fedhea zinazofanywa na viongozi wetu. Haiwezekani leo tuonekane stendi ni jambo kubwa kwetu kiasi kwamba iwe Sehemu za propaganda za kampeni.....we deserve more than this, let us unit and wake up.

Tumejishusha sana thamani hadi wametambua value yetu mbona huko kanda zinazojitambua hakuna hizi propaganda? Arusha limejengwa jengo kubwa la posta Duniani hakukuwa mbambamba wala msururu wa kutembelea Mradi......we need such kind of investment wageni waje kufanya kazi Kagera tunufaike na tamaduni za nje.

Uwanja wa ndege tumenyimwa ukapelekwa Chato kwa sababu tu wanajua sisi hata bila maendeleo ndugu zetu wanaongeka tu. Watu wa Bukoba wanahitaji maendeleo siyo stendi inayoweza kujengwa kwa kodi za wananchi wa mijini pekee
Kwahiyo wewe ulitakaje kwa mfano? Wasiende? Abashuti bwana!!!
 
Stendi ya Bukoba ni moja miradi ninayo amini ni midogo sana kwa mkoa kama Kagera ila ni kati ya miradi ambayo imetembelewa na watu wengi kwa mwaka huu.
sababu tu wanajua sisi hata bila maendeleo ndugu zetu wanaongeka tu. Watu wa Bukoba wanahitaji maendeleo siyo stendi inayoweza kujengwa kwa kodi za wananchi wa mijini pekee
Public good Haina maslahi ya kibiashara,so huwezi pima wajibu wa Serikali Kwa kuangalia face value ya mradi.
 
Stendi ya Bukoba ni moja miradi ninayo amini ni midogo sana kwa mkoa kama Kagera ila ni kati ya miradi ambayo imetembelewa na watu wengi kwa mwaka huu.

Amekwenda Waziri Mkuu kuikagua, wameenda wabunge wote wa Kagera kupiga picha eneo husika,ameenda mara kadhaa Waziri Bashungwa, amekwenda Chongolo, amekwenda Katibu Mwenezi, amekwenda Makamu wa Rais na leo kaenda Mzee Kinana.

Hii kwangu ni fedhea kwawazaliwa wa Kagera. Tumedharaulika sana kwamba pamoja na kusambaa Duniani kote na kusoma kote hatuna uwezo wa kujenga stendi ya mabasi....this can not be accepted.

Mkoa mzima Mradi wa stendi miaka minne sasa ya awamu hii? Wakati hayayanafanyika sisi wapiga kura tunapumbazwa kuambiwa kama siyo awamu hii tusingepata stendi.

Nakubali kwamba wazaliwa wa Kagera hatupendi kwetu ila hii itoshe tuamke sasa tuanze kudhibiti hizi fedhea zinazofanywa na viongozi wetu. Haiwezekani leo tuonekane stendi ni jambo kubwa kwetu kiasi kwamba iwe Sehemu za propaganda za kampeni.....we deserve more than this, let us unit and wake up.

Tumejishusha sana thamani hadi wametambua value yetu mbona huko kanda zinazojitambua hakuna hizi propaganda? Arusha limejengwa jengo kubwa la posta Duniani hakukuwa mbambamba wala msururu wa kutembelea Mradi......we need such kind of investment wageni waje kufanya kazi Kagera tunufaike na tamaduni za nje.

Uwanja wa ndege tumenyimwa ukapelekwa Chato kwa sababu tu wanajua sisi hata bila maendeleo ndugu zetu wanaongeka tu. Watu wa Bukoba wanahitaji maendeleo siyo stendi inayoweza kujengwa kwa kodi za wananchi wa mijini pekee


Sbb ni wahaya, hao kazi yao ni kubishana siku nzima, wiki, mwezi, miaka na miaka, ndio maana Mkoa wa Kagera ni wa mwisho katika maendeleo, yaani ni mkoa maskini katika list, wakati una kila kitu, ardhi nzuri sana, mazao mengi sana, hali ya hewa nzuri sana, ziwa kubwa victoria wanapata mazao ya ziwa, una wasomi wengi wamesomea sheria ili wabishane au washindane vizuri, tatizo lao wabishi na wanabishana kila wakati, ufisadi na upigaji uko sana kama ulimsikiliza RC wa Kagera, ndio maana maendeleo hayaji hivyo, wanapenda kesi kuliko jambo lolote, nadhani ndio maana viongozi wanafuatilia miradi kwa karibu huko, wahaya wasomi wengi ni wanasheria sbb ili waweze kujifunza kesi na kubishana sbb ndio asili yao..

Na mbaya kabisa kuliko yote kwa mhaya, ni kujifanya wanajua kila kitu, aliyesoma na asiyesoma, yaani wao wanajiona wanajua kila kitu, hii ni natural arrogance tunaita, na inawasumbua sana hii tabia mbovu.
 
Nyie nshomile mna matatizo sana, ubinafsi wenu unawasumbua. Jirani zenu Mwanza wamekamilisha stendi 2 kubwa za kisasa, nyie bado mnahangaika na kastendi kamoja tu.
Mmesoma sana na kwenda kote duniani, lakini elimu yenu haijawabadilisha.
 
Nyie nshomile mna matatizo sana, ubinafsi wenu unawasumbua. Jirani zenu Mwanza wamekamilisha stendi 2 kubwa za kisasa, nyie bado mnahangaika na kastendi kamoja tu.
Mmesoma sana na kwenda kote duniani, lakini elimu yenu haijawabadilisha.
Acha kuwatukana wakwe zangu
 
Nyie nshomile mna matatizo sana, ubinafsi wenu unawasumbua. Jirani zenu Mwanza wamekamilisha stendi 2 kubwa za kisasa, nyie bado mnahangaika na kastendi kamoja tu.
Mmesoma sana na kwenda kote duniani, lakini elimu yenu haijawabadilisha.
Wewe wahaya huwajui! Wanajua kila kitu!
 
Haiwezekani leo tuonekane stendi ni jambo kubwa kwetu kiasi kwamba iwe Sehemu za propaganda za kampeni.....we deserve more than this, let us unit and wake up.

Sasa watu wanaoweka sherehe ya kuzindua matundu ya choo, kukimbiza mwenge, kwenda kumpokea sijui mkuu wa nchi akitoka anakotoka n.k unategemea watafanya jambo gani jipya zaidi ya kama ambavyo umeeleza mkuu...

CCM ni janga, na namna yao ya kufikiri ni kielelezo cha namna Mtanzania alivyo nyuma katika kufikiri na kutenda...
 
Back
Top Bottom