GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
Na ili Kutuzuga zaidi Waafrika anatafutwa Mtu kisha anazusha Jambo fulani la taharuki hasa la Ugonjwa au Kifo ili Waafrika tuweke huko Akili zetu na tusijue kuwa kutokana na nchi za Afrika kudaiwa mno na Wazungu Wanaotudai sasa hata Viongozi wetu Waandamizi nao wakienda Ulaya Wanakamatwa mpaka Fedha zilipwe na zikilipwa tu ndiyo Wanaachiwa kurejea nchi zao na Kuungana na Wajukuu zao Wanaowapenda.
GENTAMYCINE namalizia kwa kusema ukiona Mbili imekamatwa hadi Deni Kubwa lilipwe. jua hata Moja nayo haiko mbali Kudakwa juu kwa juu na Waafrika tutaendelea Kuzugwa kuwa wana Kazi Maalum au wako katika Matibabu ya matatizo yao ya Vifua na Kukohoa kusikopona
Waafrika tulipeni Madeni ya Wazungu ili Ndege zetu na Viongozi wetu wasikamatwe Wakisafiri huko na tukaanza kupandikiziwa Propaganda kuwa Wanaumwa au Wamekufa ili tu kuruficha Waafrika na Aibu ya Viongozi wetu Wakubwa na Waandamizi kabisa Kukamatwa huko Ughaibuni.
Wenye Akili Kubwa, Wadadisi wa Masuala na Wafukuaji wa Taarifa zilizofichwa huwa Hawafichwi na Hawadanganyiki na wala Hawazugwi kizembe kizembe hali wakitaka kuujua Ukweli wataujua tu kama ambavyo sasa Umejulikana kwa Bara letu la Afrika.
GENTAMYCINE namalizia kwa kusema ukiona Mbili imekamatwa hadi Deni Kubwa lilipwe. jua hata Moja nayo haiko mbali Kudakwa juu kwa juu na Waafrika tutaendelea Kuzugwa kuwa wana Kazi Maalum au wako katika Matibabu ya matatizo yao ya Vifua na Kukohoa kusikopona
Waafrika tulipeni Madeni ya Wazungu ili Ndege zetu na Viongozi wetu wasikamatwe Wakisafiri huko na tukaanza kupandikiziwa Propaganda kuwa Wanaumwa au Wamekufa ili tu kuruficha Waafrika na Aibu ya Viongozi wetu Wakubwa na Waandamizi kabisa Kukamatwa huko Ughaibuni.
Wenye Akili Kubwa, Wadadisi wa Masuala na Wafukuaji wa Taarifa zilizofichwa huwa Hawafichwi na Hawadanganyiki na wala Hawazugwi kizembe kizembe hali wakitaka kuujua Ukweli wataujua tu kama ambavyo sasa Umejulikana kwa Bara letu la Afrika.