Salaam wana JF,
Niende direct kwenye point. Tanzania imepeleka watu 736 katika mkutano wa mabadiliko tabia ya nchi huko Dubai #Cop28
Msafara ambao unajumiasha viongozi,wafanyabiashara,makatibu,wasaidizi nk.. Je nani anagharamia tiketi? Maradhi? Posho? Za kwenda na kurudi mpaka mkutano huo utakapokua umekwisha za wajumbe wote kwa taifa ambalo tunakopa kila kukicha !? Nina maswali mengi emu tuanzie hapo kwanza.
Kuangalia orodha ya majina ya wajumbe wote wa msafara fungua link 👉🏿 Mwango Capital: List of Tanzanian Attendees of COP 28
Nakaribiisha maoni.
Niende direct kwenye point. Tanzania imepeleka watu 736 katika mkutano wa mabadiliko tabia ya nchi huko Dubai #Cop28
Msafara ambao unajumiasha viongozi,wafanyabiashara,makatibu,wasaidizi nk.. Je nani anagharamia tiketi? Maradhi? Posho? Za kwenda na kurudi mpaka mkutano huo utakapokua umekwisha za wajumbe wote kwa taifa ambalo tunakopa kila kukicha !? Nina maswali mengi emu tuanzie hapo kwanza.
Kuangalia orodha ya majina ya wajumbe wote wa msafara fungua link 👉🏿 Mwango Capital: List of Tanzanian Attendees of COP 28
Nakaribiisha maoni.