vifaa

  1. U

    JamiiForums Tanzania Daraja La Muda Kwa Ajili Ya Kupitishia Vifaa Mbalimbali Vya Ujenzi Wa Daraja La Kudumu La Kigongo - Busisi

    Ujenzi huu ni maalumu na wa kimkakati ili kurahisisha Ujenzi wa Daraja la Kudumu la Kigongo - Busisi lenye urefu wa Kilometa 3.2 Matumî sahihi ya Rasilimali huleta Matokeo Mazuri Kwetu Sote
  2. MchunguZI

    JamiiForums Tanzania Ni uzembe kuendelea kuipamba Dar kwa flyovers wakati shuleni na hospitalini hakuna nyumba na vifaa vya kutosha

    Nimeona clip ya Polepole akimsifu Magufuli wakati akisoma kitabu ambacho nadhani ni ilani ya chama. Anachokitaja ni idadi ya flyovers zinazopangwa kujengwa; Moroko, Tazara, Magomeni, Mwenge, Chang’ombe na uhasibu, fire, Kinondoni, etc. Huu ni uhuni na ushenzi wa matumizi ya pesa ya taifa hili...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Wanyonge, bei ya vifaa vya ujenzi yapaa maradufu, kunani?

    Ewe Serikali ya wanyonge nini kinajiri huko kwenye viwanda vya vifaa vya ujenzi? mbona Bei inapaa sana na hatusikii tamko la serikali kuhusu kupaa huku kwa bei? Mathalani, kanda ya ziwa Cement ilikuwa inauzwa sh. 18500, baadae ikapaa hadi 19000, baada ya siku 5 ikapaa hadi 19500, baada ya siku...
  4. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mbarali: Dogo aliyepanda juu ya mti ili kumuona Tundu Lissu apewa zawadi ya vifaa vya shule

    Ama hakika kutoa ni moyo , makamanda wa Mbarali wamemkabidhi madaftari na vifaa vingine vya shule bwana mdogo aliyelazimika kupanda juu ya mti ili kushuhudia Tundu Lissu akimwaga sera jukwaani . Unaweza kuona kama ni jambo dogo lakini ni jambo linalofikirisha mno ! Unaweza kumsikiliza dogo...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kukosekana kwa ruzuku ya dawa na vifaa tiba kutoka Serikalini kwenda kwenye akaunti ya MSD ya Vituo vya Umma

    Nimejaribu kufanya tafiti kidogo juu ya ukosefu wa dawa na vifaa tiba kwenye vituo vya afya vya umma asilimia kubwa imechangiwa na serikali. Leo ukiandikiwa dawa tatu basi ujue utapata dawa moja au usipate kabisa. Kwenye majukwaa ya siasa inaongelea kuongezeka kwa bajeti ya dawa kutoka bil 30+...
  6. P

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya electronics vinahitajika!

    Wakuu habari ya asubuhi,vinahitajika vifaa hivi VARISTOR(32D431K) ,THERMISTOR(CT5D-11).mawasiliano yangu 0769164906
  7. Cannabis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: KEMSA yashutumiwa kufanya ununuzi wa vifaa kinga dhidi ya Corona kwa mara mbili ya bei halisi

    Kenya Medical Supply (KEMSA) ambayo inahusika na ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa vituo vyote vya Afya vilivyopo Kenya imeingia katika kashfa nyingine kutokana na ununuzi wa vifaa vya dharura dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Taarifa zinasema vifaa hivyo vilinunuliwa kwa gharama ya juu sana...
  8. CUF Habari

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Viti Maalum CUF akabidhi Computer na Printer kwa ajili ya Uchaguzi Handeni Mjini

    MHE. SONIA MAGOGO AKABIDHI VIFAA COMPUTER NA PRINTER KWA AJILI YA KUSAIDIA SHUGHULI NA UCHAGUZI WILAYANI HANDENI MJINI #HandeniMjiniNiSoniaMagogoSasa. #SoniaMagogoTenaMjengoni
  9. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania UNODC: Janga la COVID-19 limesababisha ongezeko la vifaa tiba bandia duniani

    Ongezeko la ghafla la mahitaji ya dawa na vifaa tiba vya kukabiliana na janga la virusi vya corona au COVID-19 limesababisha ongezeko la usafirishaji haramu wa dawa na vifaa visivyo na viwango vinavyostahili au bandia kwa mujibu wa ripoti ya utafiti iliyochapishwa na ofisi ya Umoja wa Mataifa...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya mziki/studio vinauzwa

    nauza vifaa vyote vya mziki na studio, vifaa vyangu ni mtumba toka uk /us /dubai na sa. nina speaker za mid na bass, busta, mixers, mic, monitor speaker, sound card na vinginevyo vingi..... napatikana dar es salaam, mikoani tunatuma kwa uaminifu au kukuletea kwa makubaliano! Bei ni kuanzia...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Je, vifaa vya utawala wa Trump ni “Ubaguzi” na “Kuwajibisha pande nyingine”?

    Rais Donald Trump ametoa tena hoja ya ubaguzi ambayo imeleta ufuatiliaji wa vyombo vya habari. Katika mkutano mkuu wa kampeni uliofanyika jimboni Oklahoma, rais Trump ameipatia virusi vya Corona jina la ubaguzi “Kong Flu”, ambalo limeleta swali kwamba je, vifaa vya utawala wa Trump ni “Ubaguzi”...
  12. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kule Moshi manispaa diwani wa CCM kata ya pasua na boma mbuzi wagawa vifaa vya covid 19 ikiwa no sehemu ya rushwa kampeni za ubunge

    Kuelekea uchaguzi mkuu October Moshi yametokea mengi kupitia wanaotaka kugombea ubunge Jimbo la Moshi mjini.kule kata za pasua na boma mbuzi madiwani wanaogawa vifaa vya kujikinga na corona wakati huo huo wakiomba Kura za ubunge .wakati huo huo wafuatao wako mitaani kuomba Kura na kugawa rushwa...
  13. Alex Hamadi Hamis

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kununua vifaa hivi vya production (USED)

    Camera: Canon 5D Mark III Lens: Canon EF 24-70mm f/2.8L Camera Gimbal: DJI Ronin S Laptop: MacBook Pro 15’inch 500GB Hard Drive: 1TB Transcend Camera mic: Rode VideoMic Pro Headphone: Sony MDR7506 Kama unavyo, tuchekiane hapa direct call: +255683018095 | WhatsApp: +255676095799
  14. M

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya ujenzi kwa kukodisha

    Habari zenu humu ndani. Mimi nina mashine ambazo naweza kukodisha au nikipata tender nifanye. mashine nilizokuwa nazo ni kama ifuatavyo 1) mashine ya kutengeneza pavers 2) mashine yakutengeneza matofali yale ya south africa 3) concrete mixer 4) tipa kubwa kwa tender za kokoto 5) mashine ya...
  15. No_Worries

    JamiiForums Tanzania Vifaa vya kufanyia grafting vinapatikana wapi?

    Wakuu, Tafadhali kama unajua vifaa kwa ajili ya ku-graft miti michanga ya maembe/parachichi vinapatikana wapi hata nchini Tanzania basi fanya uungwana wa kunitaarifu. Nimekuwa nikisoma/ kuangalia mtandaoni namna ya ku-graft nimeona kuwa ni kazi ninayoweza kuifanya mwenyewe na kupata miti...
  16. RockBom

    JamiiForums Tanzania Soko la vifaa vya kielectronic vya mtumba

    Habarini za majukumu! Naomba kufahamu masoko nafuu ya vifaa vya kielektronik vya mtumba mfano TV, Laptops nk. Nataka nianze kufanya biashara ya vifaa vya kielektronik vya mtumba.
  17. 100 others

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Iran wameonya US baada ya kupokea vifaa vya mapambano vya majini zaidi ya 100

    "Tunatangaza leo kwamba popote Wamarekani walipo, tuko karibu nao, na watahisi uwepo wetu hata zaidi katika siku za usoni" yalikuwa ni maneno ya mkuu wa walinzi wa maji wa Iran bw Alireza Tangsiri katika sherehe huko kusini mwa Iran. Pia alieleza kwa msisitizo kuwa "Iran hatamwabudu adui...
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Magereza yote kuwekwa vifaa vya upekuzi, CCTV

    JESHI la Magereza linakusudia kuongeza vifaa vya upekuzi magerezani na kufunga kamera za usalama za CCTV, ili kubaini vitendo viovu vinavyofanyika ndani ya magereza hayo. Hayo yalisemwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakati ikijibu swali la Mbunge Viti Maalumu, Rukia Kassim Ahmed (CUF)...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

    Karibu Wageni wameshawasili katika sherehe hii ambayo wateule kadhaa wataapishwa akiwemo Naibu waziri wa afya, Katibu tawala mkoa wa Pwani Mkurugenzi wa Takukuru na mabalozi. Rais Magufuli ameshaingia ukumbini tayari kuanza kuwaapisha wateule wake. ===== Baadhi ya mambo yaliyozungumzwa...
  20. manyonga

    JamiiForums Tanzania UVCCM Kagera watoa vifaa kwa ajili ya mapambano ya Covid-19

    _*UVCCM KAGERA WAUNGA MKONO MAPAMBANO DHIDI YA CORONA*_ Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi Ndg.HAPPINESS RUNYOGOTE pamoja na wajumbe wa Baraza kuu mkoa wa Kagera leo tarehe 21/05/2020 wameunga mkono juhudi za Mh Rais katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu...
Back
Top Bottom