Nikusaidie Waziri Faustin Ndugulile kudhibiti TCRA, TRA na TBS juu ya vifaa vya telecom feki

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Jf oyee

Kwako Dkt. Ndugulile, vyombo hivyo Hapo juu vimekuwa vikilalamikiwa kwa kutokuwa makini, kweli vyombo hivi vinatumia gharama Kubwa kuwepo huku ufanisi Wa kazi upo chini sana.

Nikianza na TRA, hawa wanaruhusu kuingia kwa vifaa ambavyo havina certificate of compliance. Hi yo kuruhusu vifaa feki ku endelea kuuzwa maduka Zipo redio feki, simu feki , kitu kikiwa kwenye box kina barcode kuonyeshs data kamili za ubuni wake inakuwaje kiwe mtaani mnakiona hakina barcode kinauzwa?

TBS, hawa wanatumia gharama kubwa kuingiza vifaa vya kuangalia ubora lakini maduka yanayouza vifaa vya telecom wana vifaa feki vingi. Hawa jamaa nawafananisha na walionunua vifaa vya covid 19 maana kila kifaa kinapitishwa kama bora. Tanesco wamepigwa mita mpya za luku. Ukienda workshop utazikuta nyingi tu zimeharibika. Bado kile kidude cha transmitter kikidondoka tu kioo kichaharibika kupata kipya elfu 70. Tanesco waliondoa mita za digital button kukomoa watumiaji maana zile zilikuwa zinakaa miaka hadi kumi lakini za leo zikikaa miezi sita shukru Mungu. Hizi mita zinatabia yakujilock mara kwa mara. Tanesco kuja kukufikia uaunlock wiki inapita. Hizi mita ni mawasiliano tosha kwa kuwa nazo ni radiocomm.

TCRA hawa ni wazee wa matamko, juzi juzi wamekalia kimya kuibiwa data. Vodacom baada ya uchaguzi walituibia sana, ukienda kwenye switchboard utakuta orodha ndefu ya wanaolalamikia kuibiwa bata. Voda wizi wameuficha kwenye vifurushi vya ofa. Ukilalamika wwnakwambia ofa haina record inaweza bad. ishwa bila kujulishwa. Kingine TCRA imekuwa na mikutano mingi na mafundi simu wakiwasisitiza kusoma, kila mwaka inatoa vitisho alafu haifanyi.

Juhudi kubwa zinakwamishwa na vishoka ,vishoka wanatumia vitambulisho vya machinga kuweka vimeza nje. Jinsi ya kuwaondoa, tanesco inatakiwa kukataza extension za umeme kutoka nyumba kuu kwani ni hatari kwa milipuko. Polis I itenge kikosi cha Lusaka vyeti ikishirikiana na vijana wanachama Wa PTT kill ichosajiliwa kama chama cha mafundi Simu.

Ikiwezekana Hawaii watu wakamatwe kwani ndio mabingwa Wa kutoogopa kubadiri IMEI Hawaii hawana cha kupoteza hivyo ufanya uharifu mkubwa na ndio wanachochea wizi Wa Simu. Kingine Serikali iliacha kufuatilia Simu zinaitwa feature phone. Hizi ziko duplicated vibaya mno.
 
Kwa aina ya Usanii unaofanywa na haya Makampuni ya Simu ambayo yanabebwa na Mamlaka na yana Jeuri pia sidhani kama Waziri atalifanikisha.
 
Ikiwezekana Hawaii watu wakamatwe kwani ndio mabingwa Wa kutoogopa kubadiri IMEI Hawaii hawana cha kupoteza hivyo ufanya uharifu mkubwa na ndio wanachochea wizi Wa Simu.
Kwani simu ikibadilishwa IMEI bado inafanya kazi?
Nilidhani fake IMEI zilishapatiwa ufumbuzi wa kudumu...

Hili la machinga kuvuta umeme barabarani umeongea la maana sana lakini hilo fupa sio la kutafunwa na Ndugulile.

Sekta ya Umachinga inahusisha wanyonge wa Magufuli, ni eneo hatari kuligusa. Labda CEO wa TANESCO ndio anaweza kujitutumua kwa kutumia protocols za kitaalam na kanuni zao, tatizo umachinga haujawa defined rasmi kama ni kitu gani na whether wanaweza kuvuta umeme popote walipo. Ndio upenyo unaotumiwa na wanaharakati wa wanyonge ili kuendeleza status quo na wao kuendelea kuajiriwa kwa kutetea wanyonge.
 
Jf oyee

Kwako Dkt. Ndugulile, vyombo hivyo Hapo juu vimekuwa vikilalamikiwa kwa kutokuwa makini, kweli vyombo hivi vinatumia gharama Kubwa kuwepo huku ufanisi Wa kazi upo chini sana.

Nikianza na TRA, hawa wanaruhusu kuingia kwa vifaa ambavyo havina certificate of compliance. Hi yo kuruhusu vifaa feki ku endelea kuuzwa maduka Zipo redio feki, simu feki , kitu kikiwa kwenye box kina barcode kuonyeshs data kamili za ubuni wake inakuwaje kiwe mtaani mnakiona hakina barcode kinauzwa?

TBS, hawa wanatumia gharama kubwa kuingiza vifaa vya kuangalia ubora lakini maduka yanayouza vifaa vya telecom wana vifaa feki vingi. Hawa jamaa nawafananisha na walionunua vifaa vya covid 19 maana kila kifaa kinapitishwa kama bora. Tanesco wamepigwa mita mpya za luku. Ukienda workshop utazikuta nyingi tu zimeharibika. Bado kile kidude cha transmitter kikidondoka tu kioo kichaharibika kupata kipya elfu 70. Tanesco waliondoa mita za digital button kukomoa watumiaji maana zile zilikuwa zinakaa miaka hadi kumi lakini za leo zikikaa miezi sita shukru Mungu. Hizi mita zinatabia yakujilock mara kwa mara. Tanesco kuja kukufikia uaunlock wiki inapita. Hizi mita ni mawasiliano tosha kwa kuwa nazo ni radiocomm.

TCRA hawa ni wazee wa matamko, juzi juzi wamekalia kimya kuibiwa data. Vodacom baada ya uchaguzi walituibia sana, ukienda kwenye switchboard utakuta orodha ndefu ya wanaolalamikia kuibiwa bata. Voda wizi wameuficha kwenye vifurushi vya ofa. Ukilalamika wwnakwambia ofa haina record inaweza bad. ishwa bila kujulishwa. Kingine TCRA imekuwa na mikutano mingi na mafundi simu wakiwasisitiza kusoma, kila mwaka inatoa vitisho alafu haifanyi.

Juhudi kubwa zinakwamishwa na vishoka ,vishoka wanatumia vitambulisho vya machinga kuweka vimeza nje. Jinsi ya kuwaondoa, tanesco inatakiwa kukataza extension za umeme kutoka nyumba kuu kwani ni hatari kwa milipuko. Polis I itenge kikosi cha Lusaka vyeti ikishirikiana na vijana wanachama Wa PTT kill ichosajiliwa kama chama cha mafundi Simu.

Ikiwezekana Hawaii watu wakamatwe kwani ndio mabingwa Wa kutoogopa kubadiri IMEI Hawaii hawana cha kupoteza hivyo ufanya uharifu mkubwa na ndio wanachochea wizi Wa Simu. Kingine Serikali iliacha kufuatilia Simu zinaitwa feature phone. Hizi ziko duplicated vibaya mno.


Kiujumla nikwamba, sehemu kubwa ya wizi na uhujumu uchumi ktk nchi hii , nipamoja na uliopo kwenye mitandao ya simu.

Hata ukihamia kampuni gani ya simu! Niwizi mtupu.

MFANO. Umenunua kufurushi cha kupiga unawekewa mashart ya kukitumia ndani ya mda frani... kwa nini? Si nimali yangu? Nisawa na kununua ruku hafu upewe mda wa kutumia.
Jingine linalonikera nikuambiwa baadhi ya dk utatumia kuanzia saa6 usiku hadi sa12, nani wakuacha kulala kuongea na simu? Kuna ofa zingine nizakuamuru ziondolewe mara moja. Maana niofa za kuonyesha dk lkn hazina manufaa kwa mtumiaji.
 
Eti kumbe hata Imei inaweza kubadilishwa.so ukinunua simu huna haja ya kukopi imei namba kumbe itabadilishwa tuu.

Serikali yetu bado sana.kumbe inawezekana mtu akazishisha kiwanda cha simu fake na wala asisitukie .au hata akawa anauza simu za wiz tuu
 
Eti kumbe hata Imei inaweza kubadilishwa.so ukinunua simu huna haja ya kukopi imei namba kumbe itabadilishwa tuu.

Serikali yetu bado sana.kumbe inawezekana mtu akazishisha kiwanda cha simu fake na wala asisitukie .au hata akawa anauza simu za wiz tuu
inabadilika kama kawaida tu, ukiona umenunua tecno, itel, infinix, oppo, sansung A series toka india wanazibadirisha pia ukienda posta kuna vijana wanauza mafeki mengi tu, ukienda kwenye webpage za vijana wengi utaona wanajitangaza wana firmware za simu copy jiulize zinaiingiaje
 
Kwani simu ikibadilishwa IMEI bado inafanya kazi?
Nilidhani fake IMEI zilishapatiwa ufumbuzi wa kudumu...

Hili la machinga kuvuta umeme barabarani umeongea la maana sana lakini hilo fupa sio la kutafunwa na Ndugulile.

Sekta ya Umachinga inahusisha wanyonge wa Magufuli, ni eneo hatari kuligusa. Labda CEO wa TANESCO ndio anaweza kujitutumua kwa kutumia protocols za kitaalam na kanuni zao, tatizo umachinga haujawa defined rasmi kama ni kitu gani na whether wanaweza kuvuta umeme popote walipo. Ndio upenyo unaotumiwa na wanaharakati wa wanyonge ili kuendeleza status quo na wao kuendelea kuajiriwa kwa kutetea wanyonge.
simu feki haziwezi kuisha kwani kwenye website zipo program nyingi za kukalculate imei isikutane na nyingine hivyo kualalishwa kama mpya. simu zenye IMEI mbili katika handset moja haziwezi kuwa na product code number hivto TAC yake upebwa na simu mojawapo, ni laisi kuziclone hivyo bado wamechemka kwa maana kwamba walishindwa kuajili vijana wanaotambua simu feki ambao wanatokana na mafundi, kila simu ina secrety code yake, kuitambua feki ukiingiza number inakuletea full information ya kitu halisi. kuibiwa kuko pale pale kwani ukiibiwa samsung huwezi ipata maana kioo chake kinakaribia na simu yenyewe hivyo mwizi atauza kama spare part atatoa betri, kioo, mifuniko, speaker, mic , mikanda adimu ya simu, hivyo kudhibiti wizi kama vijana wote watakuwa na lesen na vyumba halali vilivyosajiliwa wengi wataogopa kutunza vitu vya wizi lakini kila anayejisikia anafungua duka la kutengeneza simu uweezi kudhibiti kitu
 
Jf oyee

Kwako Dkt. Ndugulile, vyombo hivyo Hapo juu vimekuwa vikilalamikiwa kwa kutokuwa makini, kweli vyombo hivi vinatumia gharama Kubwa kuwepo huku ufanisi Wa kazi upo chini sana.

Nikianza na TRA, hawa wanaruhusu kuingia kwa vifaa ambavyo havina certificate of compliance. Hi yo kuruhusu vifaa feki ku endelea kuuzwa maduka Zipo redio feki, simu feki , kitu kikiwa kwenye box kina barcode kuonyeshs data kamili za ubuni wake inakuwaje kiwe mtaani mnakiona hakina barcode kinauzwa?

TBS, hawa wanatumia gharama kubwa kuingiza vifaa vya kuangalia ubora lakini maduka yanayouza vifaa vya telecom wana vifaa feki vingi. Hawa jamaa nawafananisha na walionunua vifaa vya covid 19 maana kila kifaa kinapitishwa kama bora. Tanesco wamepigwa mita mpya za luku. Ukienda workshop utazikuta nyingi tu zimeharibika. Bado kile kidude cha transmitter kikidondoka tu kioo kichaharibika kupata kipya elfu 70. Tanesco waliondoa mita za digital button kukomoa watumiaji maana zile zilikuwa zinakaa miaka hadi kumi lakini za leo zikikaa miezi sita shukru Mungu. Hizi mita zinatabia yakujilock mara kwa mara. Tanesco kuja kukufikia uaunlock wiki inapita. Hizi mita ni mawasiliano tosha kwa kuwa nazo ni radiocomm.

TCRA hawa ni wazee wa matamko, juzi juzi wamekalia kimya kuibiwa data. Vodacom baada ya uchaguzi walituibia sana, ukienda kwenye switchboard utakuta orodha ndefu ya wanaolalamikia kuibiwa bata. Voda wizi wameuficha kwenye vifurushi vya ofa. Ukilalamika wwnakwambia ofa haina record inaweza bad. ishwa bila kujulishwa. Kingine TCRA imekuwa na mikutano mingi na mafundi simu wakiwasisitiza kusoma, kila mwaka inatoa vitisho alafu haifanyi.

Juhudi kubwa zinakwamishwa na vishoka ,vishoka wanatumia vitambulisho vya machinga kuweka vimeza nje. Jinsi ya kuwaondoa, tanesco inatakiwa kukataza extension za umeme kutoka nyumba kuu kwani ni hatari kwa milipuko. Polis I itenge kikosi cha Lusaka vyeti ikishirikiana na vijana wanachama Wa PTT kill ichosajiliwa kama chama cha mafundi Simu.

Ikiwezekana Hawaii watu wakamatwe kwani ndio mabingwa Wa kutoogopa kubadiri IMEI Hawaii hawana cha kupoteza hivyo ufanya uharifu mkubwa na ndio wanachochea wizi Wa Simu. Kingine Serikali iliacha kufuatilia Simu zinaitwa feature phone. Hizi ziko duplicated vibaya mno.

Ndugu mchangiaji
Mheshimiwa waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Dr Faustine Ndungulile yeye anasimamia mamlaka ya mawasiliano Tanzania ( TCRA) kwa kuwa ni taasisi iliyopo chini ya wizara yake

Lakini shirika la viwango Tanzania ( TBS) lipo chini ya wizara ya viwanda na biashara chini ya Mheshimiwa Godfrey Mwambe

Na pia mamlaka ya mapato Tanzania ( TRA) iko chiji ya wizara ya fedha na mipango chini ya Mheshimiwa Dr Philip Mpango
 
4


Ndugu mchangiaji
Mheshimiwa waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Dr Faustine Ndungulile yeye anasimamia mamlaka ya mawasiliano Tanzania ( TCRA) kwa kuwa ni taasisi iliyopo chini ya wizara yake

Lakini shirika la viwango Tanzania ( TBS) lipo chini ya wizara ya viwanda na biashara chini ya Mheshimiwa Godfrey Mwambe

Na pia mamlaka ya mapato Tanzania ( TRA) iko chiji ya wizara ya fedha na mipango chini ya Mheshimiwa Dr Philip Mpango
kama ni hivyo wataendelea kufeli, inabidi kila idala itoe watu wawil waunganishe kitengo huyu TRA ikiwa na mashaka ya kitu inamuita TBS. Wote wakiwa na mashaka wamwite TCRA kukagua vitu vya telecom kama vimesajiliwa vina vibali kamili vya kimataifa hapo watafanikiwa
 
Jf oyee

Kwako Dkt. Ndugulile, vyombo hivyo Hapo juu vimekuwa vikilalamikiwa kwa kutokuwa makini, kweli vyombo hivi vinatumia gharama Kubwa kuwepo huku ufanisi Wa kazi upo chini sana.

Nikianza na TRA, hawa wanaruhusu kuingia kwa vifaa ambavyo havina certificate of compliance. Hi yo kuruhusu vifaa feki ku endelea kuuzwa maduka Zipo redio feki, simu feki , kitu kikiwa kwenye box kina barcode kuonyeshs data kamili za ubuni wake inakuwaje kiwe mtaani mnakiona hakina barcode kinauzwa?

TBS, hawa wanatumia gharama kubwa kuingiza vifaa vya kuangalia ubora lakini maduka yanayouza vifaa vya telecom wana vifaa feki vingi. Hawa jamaa nawafananisha na walionunua vifaa vya covid 19 maana kila kifaa kinapitishwa kama bora. Tanesco wamepigwa mita mpya za luku. Ukienda workshop utazikuta nyingi tu zimeharibika. Bado kile kidude cha transmitter kikidondoka tu kioo kichaharibika kupata kipya elfu 70. Tanesco waliondoa mita za digital button kukomoa watumiaji maana zile zilikuwa zinakaa miaka hadi kumi lakini za leo zikikaa miezi sita shukru Mungu. Hizi mita zinatabia yakujilock mara kwa mara. Tanesco kuja kukufikia uaunlock wiki inapita. Hizi mita ni mawasiliano tosha kwa kuwa nazo ni radiocomm.

TCRA hawa ni wazee wa matamko, juzi juzi wamekalia kimya kuibiwa data. Vodacom baada ya uchaguzi walituibia sana, ukienda kwenye switchboard utakuta orodha ndefu ya wanaolalamikia kuibiwa bata. Voda wizi wameuficha kwenye vifurushi vya ofa. Ukilalamika wwnakwambia ofa haina record inaweza bad. ishwa bila kujulishwa. Kingine TCRA imekuwa na mikutano mingi na mafundi simu wakiwasisitiza kusoma, kila mwaka inatoa vitisho alafu haifanyi.

Juhudi kubwa zinakwamishwa na vishoka ,vishoka wanatumia vitambulisho vya machinga kuweka vimeza nje. Jinsi ya kuwaondoa, tanesco inatakiwa kukataza extension za umeme kutoka nyumba kuu kwani ni hatari kwa milipuko. Polis I itenge kikosi cha Lusaka vyeti ikishirikiana na vijana wanachama Wa PTT kill ichosajiliwa kama chama cha mafundi Simu.

Ikiwezekana Hawaii watu wakamatwe kwani ndio mabingwa Wa kutoogopa kubadiri IMEI Hawaii hawana cha kupoteza hivyo ufanya uharifu mkubwa na ndio wanachochea wizi Wa Simu. Kingine Serikali iliacha kufuatilia Simu zinaitwa feature phone. Hizi ziko duplicated vibaya mno.
Mkuu,
Vifaa utambuzi vya TCRA vina ukomo wa wigo, eti mtu mwenye simu anafuatiliwa mawasiliano ya simu akiwa anaelekea kwa mfano Kibiti, Pwani kisha namba ya simu na IMEI zinapotea baadae inasomeka tena ikiwa maeneo ya ya Temeke, Tazara, Kibaha, Msata, Gairo lakini mwenye simu hiyo anayo hapo Dar hapo utaelewaje?

Kuna mafundi maalum wa ubadilishaji IMEI na hata laini za simu tulizothibitishiwa kuwa kama hazikusajiliwa haziwezi kwenda hewani lakini kwa sasa ni mwendo mdundo wahalifu wanatumi udhaifu uliokithiri katika vyombo vya udhibiti mawasiliano. Masharti ya kupata taarifu za uhalifu kisheria unachukua muda mrefu kupata majibu halali kiasi ambacho mharifu anaweza akasafiri hadi Ulaya na kurudi bila majibu kutoka.

Mh. Waziri wa ICT yupo pale kwa mtego wa kimkakati [He must put in place effective mitigating measures to control the rampant information technology abuse]
The government ICT regulators have to vigorously do enough to combat the situation as it is more than worse to talk about it inflicting innocent victims with huge losses.

The ministry must employ and contract the 'Cybersecurity intelligence Experts" who must be well seasoned, skilled and competently knowledgeable in teh field inter alia:
  • knowledge of computer operating systems, hardware and software
  • complex problem-solving skills
  • the ability to use your initiative
  • the ability to accept criticism and work well under pressure
  • telecommunications knowledge
  • to be thorough and pay attention to detail
  • persistence and determination
  • maths skills
  • to have a thorough understanding of computer systems and applications
Whose day to day roles invested in
  • identifying common weaknesses in IT networks
  • using digital resources to gather information and evidence
  • using computer forensics to identify attackers, their motivations and techniques
  • analysing threats to major security systems
  • monitoring new and evolving threats and assessing their potential impact
  • keeping databases of threats and hackers
  • producing threat assessment reports with recommendations for protective action
  • developing relationships with other organisations to safely share security knowledge
  • updating skills and knowledge to meet the global technology change;
The problem starts from here: 'IMEI security monitoring services' and electronically 'Device Check services'

IMEI as abbreaviated from 'International Mobile Equipment Identity'
Is a number, usually being unique, to identify 3GPP sometimes 3G (3rd Generation Partnership Project) and iDEN mobile phone (this is a wireless cellular networking technology available from a number of Cellular Providers. IDEN stands for Integrated Dispatch Enhanced Network and is a fully integrated TDMA digital wireless networking technology developed by Motorola) as well as some satellite phones(is a type of mobile phone that connects to other phones or the telephone network by radio through orbiting satellite instead of terrestrial cell sites, as cellphones do. The advantage of a satellite phone is that its use is not limited to areas covered by cell towers; it can be used in most or all geographic locations on the Earth's surface. It is usually found printed inside the battery compartment of the phone, but can also be displayed on-screen on most phones by entering *#06# it displays the active IMEI number of the mobile phone product that the SIM number transfer communication data through voice calls, data & SMS with MMI Supplementary Service Code on the dial-pad, or alongside other system information in the settings menu on smartphone operating systems.

GSM networks use the IMEI number to identify valid devices, and can stop a stolen phone from accessing the network. For example, if a mobile phone is stolen, the owner can have their network provider use the IMEI number to blocklist the phone. This renders the phone useless on that network and sometimes other networks, even if the thief changes the phone's subscriber identity module-SIM

Devices without a SIM card slot usually don't have the IMEI code. Nevertheless, the IMEI specifically identifies the device and has no particular relationship to the service subscriber. The phone identifies the subscriber by transmitting the International mobile subscriber identity (IMSI) number, which it stores on a SIM card that can, in theory, be transferred to any handset. However, the network's ability to know a subscriber's current, individual device enables many network and security features becomes a big challenge.

There is a typical challenge to trace the mobile phone location which are not smartphone due to technical grounds.
For the case of stolen mobile phone it is crucial that you encrypt your phone internal storage, set a startup code and enable device locator.

NB: The minister needs to capitalize the well skilled persons in the field with experience on which applicable equipment to be used to unearth the criminals through the electronic communication device irrespective of change to another product brand given the regular interactive persons are within the range of tracking by the service providers exclusive teh satellite phones. And if he doesn't yield positive and transformative outcomes teh seat may be hotter than ever before while he was administering a different portfolio.
 
Jf oyee

Kwako Dkt. Ndugulile, vyombo hivyo Hapo juu vimekuwa vikilalamikiwa kwa kutokuwa makini, kweli vyombo hivi vinatumia gharama Kubwa kuwepo huku ufanisi Wa kazi upo chini sana.

Nikianza na TRA, hawa wanaruhusu kuingia kwa vifaa ambavyo havina certificate of compliance. Hi yo kuruhusu vifaa feki ku endelea kuuzwa maduka Zipo redio feki, simu feki , kitu kikiwa kwenye box kina barcode kuonyeshs data kamili za ubuni wake inakuwaje kiwe mtaani mnakiona hakina barcode kinauzwa?

TBS, hawa wanatumia gharama kubwa kuingiza vifaa vya kuangalia ubora lakini maduka yanayouza vifaa vya telecom wana vifaa feki vingi. Hawa jamaa nawafananisha na walionunua vifaa vya covid 19 maana kila kifaa kinapitishwa kama bora. Tanesco wamepigwa mita mpya za luku. Ukienda workshop utazikuta nyingi tu zimeharibika. Bado kile kidude cha transmitter kikidondoka tu kioo kichaharibika kupata kipya elfu 70. Tanesco waliondoa mita za digital button kukomoa watumiaji maana zile zilikuwa zinakaa miaka hadi kumi lakini za leo zikikaa miezi sita shukru Mungu. Hizi mita zinatabia yakujilock mara kwa mara. Tanesco kuja kukufikia uaunlock wiki inapita. Hizi mita ni mawasiliano tosha kwa kuwa nazo ni radiocomm.

TCRA hawa ni wazee wa matamko, juzi juzi wamekalia kimya kuibiwa data. Vodacom baada ya uchaguzi walituibia sana, ukienda kwenye switchboard utakuta orodha ndefu ya wanaolalamikia kuibiwa bata. Voda wizi wameuficha kwenye vifurushi vya ofa. Ukilalamika wwnakwambia ofa haina record inaweza bad. ishwa bila kujulishwa. Kingine TCRA imekuwa na mikutano mingi na mafundi simu wakiwasisitiza kusoma, kila mwaka inatoa vitisho alafu haifanyi.

Juhudi kubwa zinakwamishwa na vishoka ,vishoka wanatumia vitambulisho vya machinga kuweka vimeza nje. Jinsi ya kuwaondoa, tanesco inatakiwa kukataza extension za umeme kutoka nyumba kuu kwani ni hatari kwa milipuko. Polis I itenge kikosi cha Lusaka vyeti ikishirikiana na vijana wanachama Wa PTT kill ichosajiliwa kama chama cha mafundi Simu.

Ikiwezekana Hawaii watu wakamatwe kwani ndio mabingwa Wa kutoogopa kubadiri IMEI Hawaii hawana cha kupoteza hivyo ufanya uharifu mkubwa na ndio wanachochea wizi Wa Simu. Kingine Serikali iliacha kufuatilia Simu zinaitwa feature phone. Hizi ziko duplicated vibaya mno.
Labda kwanza inabidi tufahamu kila taasisi na majukumu yake maana nijuavyo mimi TRA wao wanahusika na ukusanyaji wa kodi na kwa upande wa forodha baada ya taasisi husika kuruhusu uhalali wa bidhaa wao wanachokifanya ni kutoza kodi kwa mujibu wa sheria. Kitu ambacho wao wanaweza zuia ni zile bidhaa ambazo hata asiye mtaalamu kwa macho unaweza jua mfano matairi mitumba,pembe za tembo,picha za ngono n.k.

TBS wao kazi yao ni kuangalia ubora wa bidhaa na kama umekidhi ubora unaofaa bila kujali bidhaa hiyo inaingia au tayari ipo ndani ya soko.

TCRA wao jukumu kubwa walilopewa ni kuthibiti mawasiliano ndiyo kazi yao kubwa ya msingi.

Tukirudi sasa kwenye uzi, siyo kila bidhaa inayokuwa ipo dukani ambayo uhalisi wake ni wa nje ya nchi imepita kwenye maeneo rasmi namaanisha viwanja vya ndege, bandari,vituo vya treni,mipakani n.k. Ikumbukwe kuwa bado kuna biashara ya magendo na hii ndiyo athari kubwa sana ya biashara hii ya magendo ambapo bidhaa hazikaguliwi wala lipa kodi.
 
Hwaya makampuni ya simu yana umoja wao 'cartel' ambapo huungana na kufanya lolote kwa mtu ambae anataka kutishia ustawi wao na hutumia sana pesa kuwamaliza kuzima hoja. Fuatilieni wakati wa kikwete kuna waziri mmoja kijana alitumia sana vitisho kwao na kufanya hivyo alipiga hela chafu mno hadi alipokuja kuhamishwa na kupelekwa mazingira na huko akafanya yaleyale na mifuko ya plastic!
 
Wabongo wanapenda dezo na bei sawa na bure! China utapata kila kitu kutokana na pesa yako(Value for Money) ajabu ni kuwa wabongo hufanya manunuzi yaendanayo na pesa yake hivyo unapata kinachoendana na thamani ya pesa yako! China huzalisha bidhaa nyingi tu nzuri na imara
 
Back
Top Bottom