Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta ambapo vile vile dukani hapo inatolewa huduma za kiufundi.
Vigezo
Kama unakidhi hapo mawasiliano watsapp 0759278651
Note: duka ni jipya tutaelewana kiwango cha malipo.
Vigezo
- Awe mkazi wa Arusha Mjini.
- Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta.
- Awe anajua vizuri spea za laptop na desktop na jinsi ya kubadilisha.
- Awe anajua kutoa kauli nzuri kwa wateja.
- Awe anajua laptops\destop versions na thamani zake.
Kama unakidhi hapo mawasiliano watsapp 0759278651
Note: duka ni jipya tutaelewana kiwango cha malipo.