Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,702
Maendeleo ya Vitu yanayoleta Maendeleo ya Watu
Mtu anakuambia kwahiyo tutakula Madaraja ?
"Kwahiyo serikali iache kujenga Miundombinu ifanye kazi ya kugawa Sembe majumbani "
Robati amekuwa maarufu kuliko Bashiru hapo Mbogamoga HQ.Robert amewaharibu akili
Lingine hili hapa 'Raisi wa madaraja' tunaomba alishughulikie.!View attachment 1594846