umeme

  1. N

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu 'shoti' ya umeme

    Nilipigwa na shoti ya umeme ya nguvu tu siku moja katika harakati za kurekebisha hili na lile. Ajabu ni kuwa nilisikia kama mtu kanipiga rungu la kisogoni kiasi kwamba ilinilazimu kabisa kugeuka nyuma ili nione kama kuna mtu kafanya hivyo. Nilipowahadithia wenzangu(wale waliowahi kukumbana na...
  2. beth

    JamiiForums Tanzania Waziri Kalemani aitaka TANESCO kubaini vyanzo vipya vya umeme

    Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani ameiagiza Bodi na Menejimenti ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha kuwa wanafanya tafiti kubaini vyanzo vipya vya uzalishaji umeme ili kuongeza kiasi cha nishati hiyo nchini na kuweza kufikia lengo la kuwa na megawati 10,000 ifikapo mwaka...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Tarehe 18/12/2019 Masasi umeme wawaka 24 hours

    Hii ni habari ya kweli kwa mara ya kwanza katika mji wa Masasi umeme umewaka 24 hours pasipo kukatika. Mji wa Masasi wakazi wake walikuwa wakiteseka na kupata shida ya umeme mpaka hivi majuzi walipoungwa kwenye gridi ya taifa. Leo watu wa Masasi wamefanya kazi zao toka asubuhi mpaka jioni...
  4. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli unadanganywa; Umeme wa REA haujawafikia wananchi wengi vijijini

    Niko natembelea ndugu zangu walioko pembezoni mwa miji kadhaa ambao vijiji au tuviite vitongoji au mitaa katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka, cha kushangaza havina umeme. Viongozi wengi wamekuja na kupiga uongo eti wanaletewa umeme wa REA awamu ya tatu ni mwaka wa tano...
  5. beth

    JamiiForums Tanzania Tanesco kununua magari 106 ya kuwafuata wateja

    Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) linapanga kununua magari 106 kwa ajili ya uboreshaji wa utoaji wa huduma kwa wateja ikiwamo kitengo cha dharura kwa ajili ya kuwahudumia wateja baada ya kupata kibali cha ununuzi. Aidha, shirika hilo limesema uboreshaji wa mfumo wa umeme katika kituo cha...
  6. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania South Africa: Rais amekatisha ziara kwa sababu ya mafuriko na kukatika kwa umeme

    chanzo DW mchana wa leo Pametokea mafuriko huko SA. Hali hiyo imepelekea nchi hiyo kukosa umeme kwa siku tatu mfululizo. Kwa kuona na kwa kujali wananchi wake, raisi wa huko amekatisha ziara yake nje ya nchi kuja kuungana na wananchi wake kukabiliana na hali hiyo. Ametoa siku tatu kuikabili...
  7. Aahm

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme Mtwara tupewe Taarifa

    Kwa muda wa miezi kadhaa sasa pamekuwa na ukatikaji wa Umeme kwenye baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Mtwara kama vile Mikindani, Msijute mpk Mpapura, wananchi hawaelewi tatizo ni nini, kwa siku Umeme unakatika zaidi ya Mara 6,Mh Waziri tunaomba msaada wako,isitoshe gesi inazalishwa hapa hapa
  8. Lawrance franci

    JamiiForums Tanzania Jipatie mashine zote kwetu

    *DOT MACHINERY PRODUCTS* TUNAUZA MACHINE ZA UJENZI|VIWANDANI|MAJUMBANI|KILIMO|USAFI| CAR WASH MASHINE INAYOTUMIA DIESEL-2.5M BOTTLE JACK KUANZIA 100,000/= - 300,000/= MASHINE YA KUPUKUCHULIA MAHINDI-YA UMEME 1.2M YA DIESEL 1M JACK YA KUBEBEA MIZIGO KUANZIA 2.9M-3.7M GENERATOR YA 6.5KW,YA...
  9. MZK

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Waziri wa Nishati Dk. Kalemani katika mradi wa umeme Rusumo, waulize NELSAP-CU ziko wapi bilioni 70 (US$ 32 Million) RAP, LADP na ESMP?

    Mawaziri wa wanaohusika na Nishati wa Tanzania, Burundi Na Rwanda Ijumaa ya Tarehe 6 December 2019 wanatarajia kuzuru mradi wa Umeme wa Maporomoko ya Mto Rusumo. Mradi huu unatekelezwa na ubia wa Nchi hizi Tatu kwa Mkopo wa Takribani dola za Marekani Milioni 500 ili kuzalisha 80MW ambazo ni...
  10. Mshuza2

    JamiiForums Tanzania KERO: Umeme wa kununua kwa zamu na nyumba za kupanga ni janga

    Wakuu, nimepita sehemu hii jioni kuna ugomvi mkubwa kisa ni zamu za umeme, kiukweli hizi luku ni nzuri kama wapangaji wako wachache na wanaelewana vinginevyo ni majanga. Hivi haiwezekani kila mpangaji akawa na mita yake kama vile switch? Mabachela inakula kwao zaidi wanaotoka asubuhi kurudi...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tanesco Tegeta lazima kuna jipu. Mnakata umeme zaidi ya saa 20 mara kwa mara

    Jamani mpaka inaboa, umeme wanakata masaa 20 ukipiga nguzo imeanguka, haya mara kuna tatizo linashughulikiwa . Haiwezekani maeneo hayohayo yakapata matatizo ndani ya wiki moja. Vitu vyetu vinaharibika. Lazma kuna uzembe. Tunaomba meneja wa kituo cha TANESCO Tegeta ajitafakari. Miundombinu ya...
  12. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Napendekeza taa za mwanga barabarani na nyaya za simu zifungwe kwenye nguzo za umeme

    Yaani badala ya kununua milingoti ya chuma na wire kwa ajili ya kufunga zile taa za mwanga barabarani, napendekeza taa ziwe zinafungwa kwenye mistimu ya umeme iliyopo kando kando ya barabara na ziungwe kwenye umeme moja kwa moja, hii itakoa fedha nyingi mno. Pia badala ya kusimika mistimu ya...
  13. MTV MBONGO

    JamiiForums Tanzania Misri wanatujengea bwawa na umeme lakini mjini Cairo wachina wanawajengea wamisri jengo lefu kuliko yote Afrika

    Wakuu nimestaajabishwa na hili: Wakati sisi kwetu tunajengewa Bwawa na Umeme wa Teknolojia ya juu, Wamisri wamempa tenda Mchina kuwajengea Jengo na Mnara utakaokuwa mrefu kuliko yote Afrika. Nilidhani kwa hili la Umeme, ingetosha kwa wao kujenga minara na majengo. Kweli Mungu hampi mtu kila kitu
  14. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Uganda na Rwanda zinaongoza Afrika Mashariki katika Teknolojia ya Magari ya Umeme

    Habari! Uganda na Rwanda ziko mbioni zaidi ya mataifa mengine ya Afrika Mashariki katika mabadiliko ya kiteknolojia kuelekea magari yatumiayo nishati ya umeme ingawa mapungufu ya miundombinu yanazuia uwekezaji katika sekta hiyo inayoibukia. Mataifa hayo mawili tayari yamezindua viwanda maalumu...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Mgao wa umeme umeanza hapa Mwanza?

    Maeneo mengi hapa hakuna umeme. Hivi mgao wa umeme umeanza tena? Tulikwisha sahau kama kuna mgao wa umeme. Kama umeanza basi mtuarifu tufufue majenereta yetu.
  16. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa miaka 9 atatunukiwa shahada ya uhandisi wa umeme

    Alikuwa na umri wa miaka minne alipoanza shule ya msingi, lakini hata kabla ya wanafunzi wenzake kuanza sekondari, Laurent Simons anahitimu shahada ya chuo kikuu akiwa na umri wa miaka tisa. Laurent Simons kutoka Ubelgiji alitumia muda wa mwaka mmoja kumaliza darasa la kwanza katika shule ya...
  17. MZK

    JamiiForums Tanzania Mradi wa umeme wa maporomoko ya Rusumo gharama kubwa mara 4 ya mradi wa umeme Stiegler’s Gorge pigo kwa walala hoi wa (Tanzania, Rwanda na Burundi)

    Mradi wa Umeme wa maporomoko ya Mto Rusumo uliopo mpakani wa Tanzania na Rwanda, unazishirikisha Nchi tatu za Tanzania, Rwanda na Burundi unaendeshwa kwa mkopo Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo Afrika kupitia taasisi au mtu kati anayeitwa NELSAP, mradi huu unatarajiwa utakapokamilika...
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Cybertruck: Tesla yapata aibu wakati wa uzinduzi wa gari lake la umeme

    Tesla imezindua gari linalotumia umeme ambalo hatahivyo liliiaibisha kampuni hiyo wakati wa uzinduzi huo. Wakati walipokuwa wakionyesha jinsi madirisha ya gari hilo yalioundwa na glasi isiyovunjika; kwa bahati mbaya wakati wa maonyesho yalivunjika. Elon Musk alisikika akitukana kabla ya kutoa...
  19. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Vitongoji 4,000 Pwani kupata umeme karibuni

    KUTOKANA na serikali kutenga Sh bilioni 179 kwa ajili ya kusambaza umeme nchini, zaidi ya vitongoji 4,000 mkoani Pwani ambavyo havijapata huduma hiyo vitanufaika kupitia mradi wa ujazilizi. Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kukatika kwa umeme Wilayani Rorya

    Napenda kumtaarifu Mhe. Kalemani - Waziri wa Nishati juu ya kukatika kwa umeme mara kwa mara Wilayani Rorya. Ikifika muda wa saa moja usiku na kuendelea utashuhudia ghafla umeme unakatika hata kwa muda wa masaa mawili. Umeme unaweza kurudi na tena ghafla unakatika. Mhe. Waziri alituaminisha...
Back
Top Bottom